forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
600 B
Markdown
20 lines
600 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Watu wa Israeli wanampaka mafuta Sulemani kuwa mfalme wa Israeli.
|
||
|
|
||
|
# Wakerethi ... Wapelethi
|
||
|
|
||
|
majina ya makundi ya watu
|
||
|
|
||
|
# Gihoni
|
||
|
|
||
|
jina la kisima, mahali ambapo maji baridi hutoka katikta ardhi
|
||
|
|
||
|
# akachukua pembe lenye mafuta hemani
|
||
|
|
||
|
alichukua pemba maalumu la mnyama lililokuwa limejaa mafuta ya mizeituni ambayo makuhani walikuwa wameyatunza kwenye hema maalumu ya BWANA.
|
||
|
|
||
|
# pembe ya mafuta
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kumaanisha 1) pembe ya mnyama iliyojaa mafuta ya mizeiituni au 2) choombo ambacho kilitumika badala ya pembe lakini watu bado waliendelea kuita pembe, "chombo cha mafuta"
|