forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1013 B
Markdown
32 lines
1013 B
Markdown
# Kristo aliutoa uhai wake kwa ajili yetu.
|
|
|
|
Maelezo haya humaanisha: "Kristo kwa kupenda kwake mwenyewe aliutoa uhai wake kwa ajili yetu" au "Kristo kwa kupenda kwake alitufia sisi."
|
|
|
|
# Mali za ulimwengu.
|
|
|
|
"Mali zinazomilikiwa kama vile pesa, chakula, au nguo."
|
|
|
|
# Humuona ndugu yake mwenye uhitaji.
|
|
|
|
"Na humtambua muumini mwenzake anayehitaji msaada."
|
|
|
|
# Na huufunga moyo wake wa huruma kwa ajili yake.
|
|
|
|
Maelezo haya humaanisha kwamba, "lakini hamwonei huruma." au lakini hapendi kumsaidia."
|
|
|
|
# Upendo wa Mungu unakaaje ndani ya mtu huyo?
|
|
|
|
Yohana anatumia swali kuwafundisha wasikilizaji wake. Hii ingeweza kutafsiriwa kama usemi: "Upendo wa Mungu haumo ndani yake."
|
|
|
|
# Watoto wangu wapendwa.
|
|
|
|
"Watoto au wapendwa waumini wenzi wangu."
|
|
|
|
# Haya tusipende kwa maneno wala kwa mdomo.
|
|
|
|
Kifungu hiki, "kwa maneno" na "kwa mdomo" yote mawili yanalenga kile ambacho mtu anasema. " Usiseme tu ili mradi kwamba unawapenda watu."
|
|
|
|
# Bali katika matendo na kweli
|
|
|
|
"Bali onesha kwamba kweli unawapenda watu kwa kuwasaidia."
|