forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.2 KiB
Markdown
32 lines
1.2 KiB
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Hapa, neno "ndugu" humaanisaha Mkristo mwenza
|
|
|
|
# Yeye asemeye
|
|
|
|
"Yeyote asemaye" au "Wale wanaodai." Hiaimanishi mtu yeyote.
|
|
|
|
# yuko kwenye nuru
|
|
|
|
Hii ni picha ya kuishi kwa haki. Watu wanapofanya lililo haki, wanaweza kulifanya nuruni siyo kwa kificho gizani.: "hufanya lililo sahihi"
|
|
|
|
# yuko katika giza hata sasa
|
|
|
|
Hii ni picha ya kuishi maisha ya dhambi. Watu wanapofanya yaliyo maovu, hupenda kujificha gizani. : "yuko gizani, akitenda lililo ovu"
|
|
|
|
# hakuna jambo lolote liwezalo kumkwaza.
|
|
|
|
hakuna litakalomsababisha kujikwaa." Neno "kujikwaa" ni fumbo linalomaanisha kuanguka kiroho au kimaadili. : " hakuna litakalomsababisha kutenda dhambi" au "hatashindwa lipendezalo kwa Mungu"
|
|
|
|
# yuko gizani na anatembea gizani
|
|
|
|
wazo hili linalofanana limesemwa mara mbiili kusisitiza kulivyo uovu kumchukia mwamini mwenzako. "anaishi gizani au anaishi katika giza la dhamb
|
|
|
|
# hajui wapi aendako
|
|
|
|
Hii ni picha ya Mwamini anayeishi isivyompasa Mkristo kuishi. : "hata hajui kwamba analofanya ni ovu"
|
|
|
|
# giza limeyapofusha macho yake
|
|
|
|
"giza limemfanya asiweze kuonona." giza ni fumbo au mfano kwa ajili ya dhambi au uovu. : "dhambi imefanya isiwezekane kwake kuielewa kweli"
|