sw_tn/1jn/02/09.md

1.2 KiB

Maelezo ya Jumla

Hapa, neno "ndugu" humaanisaha Mkristo mwenza

Yeye asemeye

"Yeyote asemaye" au "Wale wanaodai." Hiaimanishi mtu yeyote.

yuko kwenye nuru

Hii ni picha ya kuishi kwa haki. Watu wanapofanya lililo haki, wanaweza kulifanya nuruni siyo kwa kificho gizani.: "hufanya lililo sahihi"

yuko katika giza hata sasa

Hii ni picha ya kuishi maisha ya dhambi. Watu wanapofanya yaliyo maovu, hupenda kujificha gizani. : "yuko gizani, akitenda lililo ovu"

hakuna jambo lolote liwezalo kumkwaza.

hakuna litakalomsababisha kujikwaa." Neno "kujikwaa" ni fumbo linalomaanisha kuanguka kiroho au kimaadili. : " hakuna litakalomsababisha kutenda dhambi" au "hatashindwa lipendezalo kwa Mungu"

yuko gizani na anatembea gizani

wazo hili linalofanana limesemwa mara mbiili kusisitiza kulivyo uovu kumchukia mwamini mwenzako. "anaishi gizani au anaishi katika giza la dhamb

hajui wapi aendako

Hii ni picha ya Mwamini anayeishi isivyompasa Mkristo kuishi. : "hata hajui kwamba analofanya ni ovu"

giza limeyapofusha macho yake

"giza limemfanya asiweze kuonona." giza ni fumbo au mfano kwa ajili ya dhambi au uovu. : "dhambi imefanya isiwezekane kwake kuielewa kweli"