forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
375 B
Markdown
8 lines
375 B
Markdown
# huu mwili wa kuhalibika...na usioharibika
|
|
|
|
"mwili huu unaweza kuoza... usioweza kuoza" angalia tafasiri inayofanana na hii katika 15:42
|
|
|
|
# Kifo, ushindi wako uko wapi? Kifo, uko wapi uchungu wako?"
|
|
|
|
Paulo anasema haya kufanya dhihaka dhidi ya nguvu ya kifo ambayo tayari Kristo amekwisha kuishinda. kwa maneno mengine ni kwamba: " Kifo hakina ushindi. Kifo hakina makali."
|