sw_tn/1co/15/54.md

375 B

huu mwili wa kuhalibika...na usioharibika

"mwili huu unaweza kuoza... usioweza kuoza" angalia tafasiri inayofanana na hii katika 15:42

Kifo, ushindi wako uko wapi? Kifo, uko wapi uchungu wako?"

Paulo anasema haya kufanya dhihaka dhidi ya nguvu ya kifo ambayo tayari Kristo amekwisha kuishinda. kwa maneno mengine ni kwamba: " Kifo hakina ushindi. Kifo hakina makali."