forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
520 B
Markdown
24 lines
520 B
Markdown
# Mungu wa baba yako
|
|
|
|
Daudi anajiita "baba yako" kwasababu hiii ni tafrija maalumu. "Mungu wangu"
|
|
|
|
# moyo wako wote
|
|
|
|
"kabisa"
|
|
|
|
# anachunguza mioyo yote na kufahamu amasa ya kila wazo la mtu
|
|
|
|
Hii mistari miwili ina maana moja na kuweka mkazo kwamba Yahweh anajua mawazo na nia za kila mtu.
|
|
|
|
# Ukimtafuta, ataonekana kwako
|
|
|
|
"ukijaribu kumpata Yahweh akusikilize wewe, atafanya hivyo"
|
|
|
|
# Elewa
|
|
|
|
"Ona sasa" "Kumbuka" aua "Kuwa na tahadhari"
|
|
|
|
# Kuwa imara na ufanye
|
|
|
|
Neno "imara" hapa la husu nguvu ya nia na uweza wa tabia.
|