sw_tn/1ch/28/09.md

520 B

Mungu wa baba yako

Daudi anajiita "baba yako" kwasababu hiii ni tafrija maalumu. "Mungu wangu"

moyo wako wote

"kabisa"

anachunguza mioyo yote na kufahamu amasa ya kila wazo la mtu

Hii mistari miwili ina maana moja na kuweka mkazo kwamba Yahweh anajua mawazo na nia za kila mtu.

Ukimtafuta, ataonekana kwako

"ukijaribu kumpata Yahweh akusikilize wewe, atafanya hivyo"

Elewa

"Ona sasa" "Kumbuka" aua "Kuwa na tahadhari"

Kuwa imara na ufanye

Neno "imara" hapa la husu nguvu ya nia na uweza wa tabia.