sw_tn/mrk/08/intro.md

33 lines
1.3 KiB
Markdown
Raw Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# Marko 08 Maelezo ya Jumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana maalum katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Mkate
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Wakati Yesu alifanya muujiza na kulisha na mkate kwa umati mkubwa wa watu, labda walikumbuka wakati Mungu alifanya ajabu zamani akalisha watu wa
Israeli jangwani.
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Chachu ni kiungo kinachosababisha mkate kuwa kubwa kabla ya kuoka. Katika sura hii, Yesu anatumia chachu kama sitiari ya mambo ambayo yanabadili jinsi watu wanavyofikiri, kuzungumza, na kutenda. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### "Kizazi cha uzinzi"
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Wakati Yesu aliwaita watu "kizazi cha uzinzi," alikuwa akiwaambia kuwa hawakuwa waaminifu kwa Mungu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faithful]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/peopleofgod]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Maswali ya uhuishaji
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Yesu alitumia maswali mengi yauhuishaji kama njia ya kuwafundisha wanafunzi (Marko 8:17-21) na kuwakaripia watu (Marko 8:12). (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Kitendawili
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Kitendawili ni taarifa ya kweli inayoonekana kuelezea kitu kisichowezekana. Yesu anatumia kitambo wakati anasema, "Yeyote anayetaka kuokoa maisha yake atayapoteza, na yeyote anayepoteza maisha yake kwa ajili yangu atayapata" (Marko 8:35-37).
## Links:
* __[Mark 08:01 Notes](./01.md)__
2021-09-10 19:21:44 +00:00
__[<<](../07/intro.md) | [>>](../09/intro.md)__