bracket rc links

This commit is contained in:
Larry Versaw 2021-09-10 15:41:39 -06:00
parent 21b2270efc
commit 688382b572
225 changed files with 545 additions and 545 deletions

View File

@ -10,27 +10,27 @@ Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi upande wa kulia zaidi kuliko ma
### Mgongano
Katika sura hii, Paulo anakaripia kanisa kwa kugawanyika na kwa kufuata mitume tofauti. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/apostle)
Katika sura hii, Paulo anakaripia kanisa kwa kugawanyika na kwa kufuata mitume tofauti. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/apostle]])
### Vipaji vya kiroho
Vipaji vya kiroho ni uwezo usio wa kawaida wa kusaidia kanisa. Roho Mtakatifu anatoa vipaji hivi kwa Wakristo baada ya kumwamini Yesu. Paulo anaorodhesha vipaji vya kiroho katika Sura ya 12. Wasomi wengine wanaamini kwamba Roho Mtakatifu alitoa baadhi ya vipaji hivi katika kanisa la kwanza tu ili kusaidia kuanzisha kanisa. Wasomi wengine wanaamini kwamba vipaji vyote vya Roho bado vinapatikana ili kuwasaidia Wakristo wote katika historia ya kanisa. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/faith)
Vipaji vya kiroho ni uwezo usio wa kawaida wa kusaidia kanisa. Roho Mtakatifu anatoa vipaji hivi kwa Wakristo baada ya kumwamini Yesu. Paulo anaorodhesha vipaji vya kiroho katika Sura ya 12. Wasomi wengine wanaamini kwamba Roho Mtakatifu alitoa baadhi ya vipaji hivi katika kanisa la kwanza tu ili kusaidia kuanzisha kanisa. Wasomi wengine wanaamini kwamba vipaji vyote vya Roho bado vinapatikana ili kuwasaidia Wakristo wote katika historia ya kanisa. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]])
## Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
### Misemo
Katika sura hii, Paulo anaelezea kurudi kwa Kristo kwa kutumia maneno mawili tofauti: "ufunuo wa Bwana wetu Yesu Kristo" na "siku ya Bwana wetu Yesu Kristo." (See: rc://*/ta/man/translate/figs-idiom)
Katika sura hii, Paulo anaelezea kurudi kwa Kristo kwa kutumia maneno mawili tofauti: "ufunuo wa Bwana wetu Yesu Kristo" na "siku ya Bwana wetu Yesu Kristo." (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-idiom]])
### Maswali ya uhuishaji
Paulo hutumia maswali ya uhuishaji ili kuwakaripia Wakorintho kwa kugawanyika katika vikundi na kwa kutegemea hekima ya kibinadamu. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion)
Paulo hutumia maswali ya uhuishaji ili kuwakaripia Wakorintho kwa kugawanyika katika vikundi na kwa kutegemea hekima ya kibinadamu. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
### Kikwazo
Kikwazo ni mwamba ambamo watu wanajikwaa. Hapa ina maana kwamba Wayahudi wanaona vigumu kuamini kuwa Mungu alimruhusu Masihi wake kusulubiwa. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Kikwazo ni mwamba ambamo watu wanajikwaa. Hapa ina maana kwamba Wayahudi wanaona vigumu kuamini kuwa Mungu alimruhusu Masihi wake kusulubiwa. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
## Links:

View File

@ -8,7 +8,7 @@ Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi upande wa kulia zaidi kuliko ma
### Hekima
Paulo anaendeleza majadiliano kutoka sura ya kwanza ambayo yanalinganisha hekima ya binadamu na hekima ya Mungu. Kwa Paulo, hekima inaweza kuwa rahisi na mawazo ya kibinadamu kuwa pumbavu. Alisema hekima kutoka kwa Roho Mtakatifu ndiyo hekima pekee ya kweli. Paulo anatumia neno "hekima iliyofichwa" wakati anapozungumzia ukweli uliojulikana hapo awali. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/wise]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/foolish)
Paulo anaendeleza majadiliano kutoka sura ya kwanza ambayo yanalinganisha hekima ya binadamu na hekima ya Mungu. Kwa Paulo, hekima inaweza kuwa rahisi na mawazo ya kibinadamu kuwa pumbavu. Alisema hekima kutoka kwa Roho Mtakatifu ndiyo hekima pekee ya kweli. Paulo anatumia neno "hekima iliyofichwa" wakati anapozungumzia ukweli uliojulikana hapo awali. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/wise]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/foolish]])
## Links:

View File

@ -8,13 +8,13 @@ Baadhi ya tafsiri huweka nukuu kutoka kwa Agano la Kale upande wa kulia zaidi kw
### Watu wa kimwili
Waumini wa Korintho walikuwa hawajakomaa kwa sababu ya vitendo vyao vibaya. Anawaita "wa kimwili," maana matendo yao ni kama ya wasioamini. Neno hili linatumika kwa kinyume na wale ambao ni wa "kiroho." Wakristo wanaofuata "mwili" wao wanatenda upumbavu. Wao wanafuata hekima ya ulimwengu. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/flesh]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/foolish]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/wise)
Waumini wa Korintho walikuwa hawajakomaa kwa sababu ya vitendo vyao vibaya. Anawaita "wa kimwili," maana matendo yao ni kama ya wasioamini. Neno hili linatumika kwa kinyume na wale ambao ni wa "kiroho." Wakristo wanaofuata "mwili" wao wanatenda upumbavu. Wao wanafuata hekima ya ulimwengu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/flesh]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/foolish]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/wise]])
## Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
### Mifano
Kuna mifano nyingi katika sura hii. Paulo anatumia "watoto" na "maziwa" ili kuonyesha kutokomaa kwa kiroho. Anatumia mifano nyingi na kumwagilia maji ili kuelezea majukumu yake na Apolo katika kukuza kanisa la Korintho. Paulo anatumia mifano mingine katika kusaidia kufundisha ukweli wa kiroho kwa Wakorintho na kuwasaidia kuelewa mafundisho yake. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Kuna mifano nyingi katika sura hii. Paulo anatumia "watoto" na "maziwa" ili kuonyesha kutokomaa kwa kiroho. Anatumia mifano nyingi na kumwagilia maji ili kuelezea majukumu yake na Apolo katika kukuza kanisa la Korintho. Paulo anatumia mifano mingine katika kusaidia kufundisha ukweli wa kiroho kwa Wakorintho na kuwasaidia kuelewa mafundisho yake. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
## Links:

View File

@ -4,21 +4,21 @@
### Kiburi
Paulo analinganisha Wakorintho walio na kiburi na mitume walio wanyenyekevu. Waumini wa Korintho hawakuwa na sababu ya kuwa na kiburi. Yote waliyokuwa nayo, na waliyokuwa; yalikuwa zawadi kutoka kwa Mungu. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/apostle)
Paulo analinganisha Wakorintho walio na kiburi na mitume walio wanyenyekevu. Waumini wa Korintho hawakuwa na sababu ya kuwa na kiburi. Yote waliyokuwa nayo, na waliyokuwa; yalikuwa zawadi kutoka kwa Mungu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/apostle]])
## Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
### Mifano
Paulo anatumia mifano nyingi katika sura hii. Anaelezea mitume kama watumishi. Paulo anazungumza juu ya gwaride la ushindi ambapo mitume watakuwa ni wafungwa ambao watauawa. Anatumia fimbo ili kumaanisha adhabu. Anajiita baba yao kwa sababu yeye ni "baba yao wa kiroho." (See: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit)
Paulo anatumia mifano nyingi katika sura hii. Anaelezea mitume kama watumishi. Paulo anazungumza juu ya gwaride la ushindi ambapo mitume watakuwa ni wafungwa ambao watauawa. Anatumia fimbo ili kumaanisha adhabu. Anajiita baba yao kwa sababu yeye ni "baba yao wa kiroho." (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit]])
### Kinaya
Paulo anatumia kinaya kuwaaibisha Wakorintho kwa kuwa na kiburi. Waumini wa Korintho wanatawala lakini mitume wanateseka. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-irony)
Paulo anatumia kinaya kuwaaibisha Wakorintho kwa kuwa na kiburi. Waumini wa Korintho wanatawala lakini mitume wanateseka. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-irony]])
### Maswali ya uhuishaji
Paulo anatumia maswali kadhaa ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia kusisitiza neno muhimu anapofundisha Wakorintho. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion)
Paulo anatumia maswali kadhaa ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia kusisitiza neno muhimu anapofundisha Wakorintho. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]])
## Links:

View File

@ -8,15 +8,15 @@ Baadhi ya tafsiri huweka nukuu kutoka kwa Agano la Kale upande wa kulia zaidi kw
### Maneno ya badla ya kupunguza uzito
Paulo anatumia maneno ya rahisi ya kupunguza uzito kuelezea mada nyeti. Sura hii inahusika na uasherati wa kijinsia wa mwanachama mmoja wa kanisa. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-euphemism]] and [[rc://*/tw/dict/bible/other/fornication)
Paulo anatumia maneno ya rahisi ya kupunguza uzito kuelezea mada nyeti. Sura hii inahusika na uasherati wa kijinsia wa mwanachama mmoja wa kanisa. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-euphemism]] and [[rc://*/tw/dict/bible/other/fornication]])
### Mfano
Paulo anatumia ulinganisho uliopanuliwa kwa kutumia sitiari nyingi. Chachu inawakilisha uovu. Mkate labda inawakilisha kanisa nzima. Mikate isiyotiwa chachu inawakilisha kuishi kwa utakatifu. Basi kifungu hiki kina maana: Je, hujui kwamba uovu mdogo utaathiri kanisa lote? Hivyo basi uondoe uovu huu ili uweze kuishi kwa utakatifu. Kristo ametolewa kama sadaka kwa ajili yetu. Kwa hiyo tuwe waaminifu na wa kweli na sio waovu na wanaofanya mabaya. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/evil]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/unleavenedbread]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/purify]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/passover)
Paulo anatumia ulinganisho uliopanuliwa kwa kutumia sitiari nyingi. Chachu inawakilisha uovu. Mkate labda inawakilisha kanisa nzima. Mikate isiyotiwa chachu inawakilisha kuishi kwa utakatifu. Basi kifungu hiki kina maana: Je, hujui kwamba uovu mdogo utaathiri kanisa lote? Hivyo basi uondoe uovu huu ili uweze kuishi kwa utakatifu. Kristo ametolewa kama sadaka kwa ajili yetu. Kwa hiyo tuwe waaminifu na wa kweli na sio waovu na wanaofanya mabaya. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/evil]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/unleavenedbread]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/purify]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/passover]])
### Maswali ya uhuishaji
Paulo anatumia maswali ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia ili kusisitiza maneno muhimu anapofundisha Wakorintho. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion)
Paulo anatumia maswali ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia ili kusisitiza maneno muhimu anapofundisha Wakorintho. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]])
## Links:

View File

@ -4,17 +4,17 @@
### Mashtaka
Paulo anafundisha kwamba Mkristo hapaswi kuchukua Mkristo mwingine kwa mahakamani mbele ya hakimu asiye Mkristo. Ni bora zaidi kudanganywa. Wakristo watawahukumu malaika. Kwa hiyo wanapaswa kuwa na uwezo wa kutatua matatizo kati yao wenyewe. Ni mbaya sana kutumia mahakama kumdanganya mwamini mwingine. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/judge)
Paulo anafundisha kwamba Mkristo hapaswi kuchukua Mkristo mwingine kwa mahakamani mbele ya hakimu asiye Mkristo. Ni bora zaidi kudanganywa. Wakristo watawahukumu malaika. Kwa hiyo wanapaswa kuwa na uwezo wa kutatua matatizo kati yao wenyewe. Ni mbaya sana kutumia mahakama kumdanganya mwamini mwingine. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/judge]])
## Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
### Mfano
Hekalu la Roho Mtakatifu ni mfano muhimu. Inaelezea mahali ambapo Roho Mtakatifu anakaa na kuabudiwa. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Hekalu la Roho Mtakatifu ni mfano muhimu. Inaelezea mahali ambapo Roho Mtakatifu anakaa na kuabudiwa. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
### Maswali ya uhuishaji
Paulo anatumia maswali kadhaa ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia kusisitiza manen muhimu anapofundisha Wakorintho. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion)
Paulo anatumia maswali kadhaa ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia kusisitiza manen muhimu anapofundisha Wakorintho. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]])
## Links:

View File

@ -8,13 +8,13 @@ Paulo anaanza kujibu mfululizo wa maswali ambayo Wakorintho wanaweza kumwuliza.
### Talaka
Paulo anasema Wakristo walio katika ndoa hawapaswi kutaliki. Mkristo aliyeolewa na asiyeamini hapaswi kuacha mume au mke wake. Ikiwa mume au mke asiyeamini anaondoka, hii sio dhambi. Paulo anashauri kwamba, kwa sababu ya nyakati ngumu na kuwa muda ambapo Yesu atarudi umekaribia, inakubalika kutoolewa. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/believe]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin)
Paulo anasema Wakristo walio katika ndoa hawapaswi kutaliki. Mkristo aliyeolewa na asiyeamini hapaswi kuacha mume au mke wake. Ikiwa mume au mke asiyeamini anaondoka, hii sio dhambi. Paulo anashauri kwamba, kwa sababu ya nyakati ngumu na kuwa muda ambapo Yesu atarudi umekaribia, inakubalika kutoolewa. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/believe]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]])
## Takwimu muhimu za matamshi katika sura hii
### Maneno ya rahisi ya kupunguza uzito
Paulo anatumia maneno ya rahisi ya kupunguza uzito kwa busara kutaja mahusiano ya ngono. Hii mara nyingi hii ni mada nyeti. Tamaduni nyingi hazitaki kuzungumza waziwazi kuhusu mambo haya. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-euphemism)
Paulo anatumia maneno ya rahisi ya kupunguza uzito kwa busara kutaja mahusiano ya ngono. Hii mara nyingi hii ni mada nyeti. Tamaduni nyingi hazitaki kuzungumza waziwazi kuhusu mambo haya. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-euphemism]])
## Links:

View File

@ -14,17 +14,17 @@ Watu walimshtaki Paulo kwa kutaka fedha tu kutoka kanisani. Paulo alijibu kwamba
### Mifano
Paulo anatumia mifano nyingi katika sura hii. Sitiari hizi hifundisho maneno ya ukweli ngumu. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Paulo anatumia mifano nyingi katika sura hii. Sitiari hizi hifundisho maneno ya ukweli ngumu. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
### Muktadha
Kifungu hiki ni muhimu kwa sababu Paulo "anaweka katika muktadha" kuhubiri kwa injili kwa watu mbalimbali. Hii ina maana kwamba Paulo hujiweka mwenyewe pamoja na Injili kueleweka, bila matendo yake kuzuia injili. Mtafsiri anapaswa kuchukua huduma ya ziada kuhifadhi nyanja za "kuwekwa katika muktadha" hii ikiwa inawezekana. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/goodnews)
Kifungu hiki ni muhimu kwa sababu Paulo "anaweka katika muktadha" kuhubiri kwa injili kwa watu mbalimbali. Hii ina maana kwamba Paulo hujiweka mwenyewe pamoja na Injili kueleweka, bila matendo yake kuzuia injili. Mtafsiri anapaswa kuchukua huduma ya ziada kuhifadhi nyanja za "kuwekwa katika muktadha" hii ikiwa inawezekana. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/goodnews]])
### Maswali ya uhuishaji
Paulo anatumia maswali mengi ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia kusisitiza maneno mbalimbali anapofundisha Wakorintho.(See: rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion)
Paulo anatumia maswali mengi ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia kusisitiza maneno mbalimbali anapofundisha Wakorintho.(See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]])
## Links:

View File

@ -4,21 +4,21 @@
Sura za 8-10 pamoja zinajibu swali: "Je, inakubalika kula nyama ambayo imetolewa dhabihu kwa sanamu?"
Katika sura hii, Paulo anatumia kutoka kuwaonya watu kutotenda dhambi. Kisha, anarudi kujadili nyama inayotolewa kwa sanamu. Anatumia Mlo wa Bwana kama mfano. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/sin)
Katika sura hii, Paulo anatumia kutoka kuwaonya watu kutotenda dhambi. Kisha, anarudi kujadili nyama inayotolewa kwa sanamu. Anatumia Mlo wa Bwana kama mfano. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]])
## Dhana maalum katika sura hii
### Kutoka
Paulo anatumia uzoefu wa Israeli kutoka Misri na kutembea jangwani kama onyo kwa waumini. Ingawa Waisraeli walimfuata Musa, wote walikufa njiani. Hakuna hata mmoja aliyefikia Nchi ya Ahadi. Wengine waliabudu sanamu, wengine walimjaribu Mungu, na wengine walinung'unika. Paulo anawaonya Wakristo wasitende dhambi. Tunaweza kushinda majaribu kwa sababu Mungu hutoa njia ya kuepuka. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/promisedland)
Paulo anatumia uzoefu wa Israeli kutoka Misri na kutembea jangwani kama onyo kwa waumini. Ingawa Waisraeli walimfuata Musa, wote walikufa njiani. Hakuna hata mmoja aliyefikia Nchi ya Ahadi. Wengine waliabudu sanamu, wengine walimjaribu Mungu, na wengine walinung'unika. Paulo anawaonya Wakristo wasitende dhambi. Tunaweza kushinda majaribu kwa sababu Mungu hutoa njia ya kuepuka. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/promisedland]])
### Kula nyama iliyotolewa dhabihu kwa sanamu
Paulo anazungumzia nyama iliyotolewa kwa sanamu. Wakristo wanaruhusiwa kula, lakini inaweza kuumiza wengine. Kwa hiyo wakati wa kununua nyama au kukula na rafiki, usiulize ikiwa imetolewa kwa sanamu. Lakini ikiwa mtu anakuambia kuwa imetolewa kwa sanamu, usiile kwa ajili ya mtu huyo. Usimkosee mtu yeyote. Jaribu kuwaokoa badala yake. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/save)
Paulo anazungumzia nyama iliyotolewa kwa sanamu. Wakristo wanaruhusiwa kula, lakini inaweza kuumiza wengine. Kwa hiyo wakati wa kununua nyama au kukula na rafiki, usiulize ikiwa imetolewa kwa sanamu. Lakini ikiwa mtu anakuambia kuwa imetolewa kwa sanamu, usiile kwa ajili ya mtu huyo. Usimkosee mtu yeyote. Jaribu kuwaokoa badala yake. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/save]])
### Maswali ya uhuishaji
Paulo anatumia maswali mengi ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia kusisitiza maneno mmbalimbali anapofundisha Wakorintho.(See: rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion)
Paulo anatumia maswali mengi ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia kusisitiza maneno mmbalimbali anapofundisha Wakorintho.(See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]])
## Links:

View File

@ -15,17 +15,17 @@ Maagizo ya Paulo hapa yanajadiliwa na wasomi. Labda kulikuwa wanawake ambao wali
### Meza ya Bwana
Kulikuwa na matatizo katika Wakorintho kwa jinsi walikula Meza ya Bwana. Hawakutenda kwa umoja. katika Wakorintho kwa jinsi walikula Meza ya Bwana, baadhi yao walikula chakula chao wenyewe bila kushirikiana. Baadhi yao walilewa wakati watu masikini walipokuwa na njaa. Paulo alifundisha kwamba waumini wanadharau kifo cha Kristo kama wanakula Meza ya Bwana na kufanya dhambi au wakati
wanavunja ushirika na wenzao. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/reconcile)
wanavunja ushirika na wenzao. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/reconcile]])
## Mifanyo ya muhimu za matamshi katika sura hii
### Maswali ya uhuishaji
Paulo hutumia maswali ya uhuishaji ili kuwakaripia watu kwa kutofuata kwao sheria za ibada aliyopendekeza. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion)
Paulo hutumia maswali ya uhuishaji ili kuwakaripia watu kwa kutofuata kwao sheria za ibada aliyopendekeza. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]])
### Kichwa
Paulo anatumia "kichwa" kama kielelezo cha mamlaka katika mstari wa 3 na pia kutaja kichwa halisi cha mtu katika mstari wa 4 na kuendelea. Kwa kuwa hayo ni ya karibu sana, inawezekana kwamba Paulo alitumia "kichwa" kwa makusudi kwa njia hii. Hii inaonyesha kwamba mawazo katika aya hizi ziliunganishwa. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-metonymy)
Paulo anatumia "kichwa" kama kielelezo cha mamlaka katika mstari wa 3 na pia kutaja kichwa halisi cha mtu katika mstari wa 4 na kuendelea. Kwa kuwa hayo ni ya karibu sana, inawezekana kwamba Paulo alitumia "kichwa" kwa makusudi kwa njia hii. Hii inaonyesha kwamba mawazo katika aya hizi ziliunganishwa. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metonymy]])
## Links:

View File

@ -10,7 +10,7 @@ Sura hii inaanza sehemu mpya. Sura za 12-14 zinajadili vipaji vya kiroho ndani y
### Kanisa, mwili wa Kristo
Hii ni mfano muhimu katika Maandiko. Kanisa lina sehemu nyingi. Kila sehemu ina kazi tofauti. Zinakusanywa kuunda kanisa moja. Sehemu zote tofauti ni muhimu. Kila sehemu inapaswa kujali sehemu nyingine zote, hata zile zinazoonekana kutokuwa muhimu. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Hii ni mfano muhimu katika Maandiko. Kanisa lina sehemu nyingi. Kila sehemu ina kazi tofauti. Zinakusanywa kuunda kanisa moja. Sehemu zote tofauti ni muhimu. Kila sehemu inapaswa kujali sehemu nyingine zote, hata zile zinazoonekana kutokuwa muhimu. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

View File

@ -8,13 +8,13 @@ Paulo anaonekana kuacha mafundisho yake kuhusu vipaji vya kiroho. Hata hivyo, la
### Upendo
Upendo ni sifa muhimu zaidi ya mwamini. Sura hii inaeleza kikamilifu kuhusu upendo. Paulo anaeleza kwa nini upendo ni muhimu zaidi kuliko vipaji vya Roho. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/love)
Upendo ni sifa muhimu zaidi ya mwamini. Sura hii inaeleza kikamilifu kuhusu upendo. Paulo anaeleza kwa nini upendo ni muhimu zaidi kuliko vipaji vya Roho. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/love]])
## mifano mhimu ya matamshi katika sura hii
### Mifano
Paulo anatumia mifano nyingi tofauti katika sura hii. Anatumia sitiari hizi kuwafundisha Wakorintho, hasa katika mada ngumu. Wasomaji mara nyingi wanahitaji ufahamu wa kiroho kuelewa mafundisho haya. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Paulo anatumia mifano nyingi tofauti katika sura hii. Anatumia sitiari hizi kuwafundisha Wakorintho, hasa katika mada ngumu. Wasomaji mara nyingi wanahitaji ufahamu wa kiroho kuelewa mafundisho haya. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
## Links:

View File

@ -14,7 +14,7 @@ Wasomi hawakubaliani juu ya maana halisi ya kipaji cha ndimi. Paulo anaelezea ki
### Unabii
Wasomi hawakubaliani juu ya maana halisi ya unabii kama kipaji cha kiroho. Paulo anasema manabii wanaweza kujenga kanisa lote. Anaelezea unabii kama kipaji kwa waumini. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/prophet)
Wasomi hawakubaliani juu ya maana halisi ya unabii kama kipaji cha kiroho. Paulo anasema manabii wanaweza kujenga kanisa lote. Anaelezea unabii kama kipaji kwa waumini. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/prophet]])
## Links:

View File

@ -4,13 +4,13 @@
### Ufufuo
Sura hii inajumuisha mafundisho muhimu kuhusu ufufuo wa Yesu. Watu wa Kigiriki hawakuamini kwamba mtu anaweza kuishi baada ya kufa. Paulo anatetea ufufuo wa Yesu. Anafundisha kwa nini ni muhimu kwa waumini wote. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/resurrection]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/believe)
Sura hii inajumuisha mafundisho muhimu kuhusu ufufuo wa Yesu. Watu wa Kigiriki hawakuamini kwamba mtu anaweza kuishi baada ya kufa. Paulo anatetea ufufuo wa Yesu. Anafundisha kwa nini ni muhimu kwa waumini wote. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/resurrection]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/believe]])
## Dhana maalum katika sura hii
### Ufufuo
Paulo anaonyesha ufufuo kama ushahidi wa mwisho kwamba Yesu ni Mungu. Kristo ni wa kwanza kati ya wengi ambao Mungu atawafufua. Ufufuo ni muhimu kwa Injili. Mafundisho machache tu ni ya muhimu kama haya.(See: rc://*/tw/dict/bible/kt/goodnews]] and [[rc://*/tw/dict/bible/other/raise)
Paulo anaonyesha ufufuo kama ushahidi wa mwisho kwamba Yesu ni Mungu. Kristo ni wa kwanza kati ya wengi ambao Mungu atawafufua. Ufufuo ni muhimu kwa Injili. Mafundisho machache tu ni ya muhimu kama haya.(See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/goodnews]] and [[rc://*/tw/dict/bible/other/raise]])
## Mifano muhimu za matamshi katika sura hii

View File

@ -29,7 +29,7 @@ Paulo alianzisha kanisa lililokutana huko Korintho. Alikuwa akiishi katika mji w
### Je, kichwa cha kitabu hiki kinapaswa kutafsiriwaje?
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "Wakorintho wa Kwanza." Au wanaweza kuchagua kichwa wazi, kama "Barua ya kwanza ya Paulo kwa Kanisa la Korintho." (See: rc://*/ta/man/translate/translate-names)
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "Wakorintho wa Kwanza." Au wanaweza kuchagua kichwa wazi, kama "Barua ya kwanza ya Paulo kwa Kanisa la Korintho." (See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-names]])
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za Kidini na za Kitamaduni
@ -55,7 +55,7 @@ UDB mara nyingi husaidia ikiwa wafasiri wanafikiria juu ya jinsi ya kuwakilisha
### Nini maana ya "mwili"?
Paulo mara nyingi alitumia maneno "mwili" au "kimwili" kwa kutaja Wakristo ambao walifanya mambo ya dhambi. Hata hivyo, sio ulimwengu wa kimwili ambao ni mbaya. Paulo pia alielezea Wakristo ambao waliishi kwa njia ya haki kama "kiroho." Hii ni kwa sababu walifanya kile Roho Mtakatifu aliwafundisha kufanya. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/flesh]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit)
Paulo mara nyingi alitumia maneno "mwili" au "kimwili" kwa kutaja Wakristo ambao walifanya mambo ya dhambi. Hata hivyo, sio ulimwengu wa kimwili ambao ni mbaya. Paulo pia alielezea Wakristo ambao waliishi kwa njia ya haki kama "kiroho." Hii ni kwa sababu walifanya kile Roho Mtakatifu aliwafundisha kufanya. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/flesh]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit]])
### Paulo alimaanisha nini kwa maneno "katika Kristo," "katika Bwana," na kadhalika?
@ -73,4 +73,4 @@ Kwa aya zifuatazo, matoleo ya kisasa ya Biblia yanatofautiana na matoleo ya zama
* "na kwamba mimi hutoa mwili wangu kuchomwa moto." (13: 3) Baadhi ya matoleo ya zamani yanasema, "na kwamba ninatoa mwili wangu ili nipate kujivunia."
* "Lakini kama mtu hajui jambo hili, asitambuliwe." (14:38) Baadhi ya matoleo ya zamani husema, "Lakini ikiwa kuna mtu yeyote asiyejua jambo hilo, basi asijue."
(See: [[rc://*/ta/man/jit/translate-textvariants]])
(See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-textvariants]])

View File

@ -8,13 +8,13 @@ Hii ni barua ambayo Yohana aliwaandikia Wakristo.
### Wakristo na dhambi
Katika sura hii Yohana anafundisha kwamba Wakristo wote bado ni wenye dhambi. Lakini Mungu anaendelea kusamehe dhambi za Mkristo. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/forgive)
Katika sura hii Yohana anafundisha kwamba Wakristo wote bado ni wenye dhambi. Lakini Mungu anaendelea kusamehe dhambi za Mkristo. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/forgive]])
## Mifano muhimu ya matamshi katika sura hii
### Mifano
Katika sura hii Yohana anaandika kwamba Mungu ni mwanga. Mwanga ni mfano ya ufahamu na uadilifu. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous)
Katika sura hii Yohana anaandika kwamba Mungu ni mwanga. Mwanga ni mfano ya ufahamu na uadilifu. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]])
Yohana pia anaandika kuhusu watu wanaotembea katika nuru au katika giza. Kutembea ni mfano ya tabia au kuishi. Watu wanaotembea katika mwanga huelewa kilicho haki na kukifanya. Watu wanaotembea katika giza hawawezi kuelewa yaliyo sawa, na wanatenda dhambi.

View File

@ -4,7 +4,7 @@
### Mpinga Kristo
Katika sura hii Yohana anaandika juu ya mpinga Kristo maalum na wapinga Kristo wengi. Neno "mpinga Kristo" linamaanisha "anayepinga Kristo." Mpinga Kristo ni mtu atakayekuja siku za mwisho na kuiga kazi ya Yesu, lakini ataifanya kwa uovu. Kabla ya mtu huyu kuja, kutakuwa na watu wengi wanaofanya kazi dhidi ya Kristo; wao pia huitwa "wapinga Kristo." (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/antichrist]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lastday]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/evil)
Katika sura hii Yohana anaandika juu ya mpinga Kristo maalum na wapinga Kristo wengi. Neno "mpinga Kristo" linamaanisha "anayepinga Kristo." Mpinga Kristo ni mtu atakayekuja siku za mwisho na kuiga kazi ya Yesu, lakini ataifanya kwa uovu. Kabla ya mtu huyu kuja, kutakuwa na watu wengi wanaofanya kazi dhidi ya Kristo; wao pia huitwa "wapinga Kristo." (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/antichrist]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lastday]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/evil]])
## Mifano muhimu ya matamshi katika sura hii
@ -18,7 +18,7 @@ Kutembea ni mfano ya tabia, kutojua ambapo mtu anaenda ni mfano ya kutojua jinsi
Nuru ni mfano wa kujua na kufanya kile kilicho sahihi, na giza na upofu ni mfano ya kutojua kilicho sahihi na kutenda mabaya.
Watu wanaopotosha wengine ni mfano ya kufundisha watu mambo yasiyo ya kweli. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Watu wanaopotosha wengine ni mfano ya kufundisha watu mambo yasiyo ya kweli. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
## Links:

View File

@ -4,7 +4,7 @@
### Watoto wa Mungu
Mungu aliumba watu wote, lakini watu wanaweza tu kuwa watoto wa Mungu kwa kumwamini Yesu. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/believe)
Mungu aliumba watu wote, lakini watu wanaweza tu kuwa watoto wa Mungu kwa kumwamini Yesu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/believe]])
### Kaini
@ -18,7 +18,7 @@ Kujua" ni neno la kitenzi kinachotumika kwa njia mbili tofauti katika sura hii.
### "Yeye anayezingatia amri za Mungu anakaa ndani yake, na Mungu anakaa ndani yake"
Wasomi wengi wanaamini kama hii inamaanisha kubaki katika mapenzi ya Mungu wala sio kumaanisha kuokolewa. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/eternity]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/save)
Wasomi wengi wanaamini kama hii inamaanisha kubaki katika mapenzi ya Mungu wala sio kumaanisha kuokolewa. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/eternity]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/save]])
## Links:

View File

@ -4,13 +4,13 @@
### Roho
Neno hili "roho" linatumiwa kwa njia tofauti katika sura hii. Wakati mwingine neno "roho" linamaanisha viumbe wa kiroho. Wakati mwingine inahusu tabia ya kitu fulani. Kwa mfano "roho ya mpinga Kristo," "roho ya kweli," na "roho ya hitilafu" inamaanisha kile ambacho ni mfano wa mpinga Kristo, ukweli, na kosa. "Roho" (iliyoandikwa na herufi kubwa "R") na "Roho wa Mungu" inamaanisha Mungu. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/antichrist)
Neno hili "roho" linatumiwa kwa njia tofauti katika sura hii. Wakati mwingine neno "roho" linamaanisha viumbe wa kiroho. Wakati mwingine inahusu tabia ya kitu fulani. Kwa mfano "roho ya mpinga Kristo," "roho ya kweli," na "roho ya hitilafu" inamaanisha kile ambacho ni mfano wa mpinga Kristo, ukweli, na kosa. "Roho" (iliyoandikwa na herufi kubwa "R") na "Roho wa Mungu" inamaanisha Mungu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/antichrist]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
### Kupenda Mungu
Ikiwa watu wanampenda Mungu, wanapaswa kuonyesha katika njia wanayoishi na jinsi wanavyowatendea watu wengine. Kufanya hivyo kunaweza kutuhakikishia kuwa Mungu ametuokoa na kwamba sisi ni wake, lakini kupenda wengine haituokoi. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/save)
Ikiwa watu wanampenda Mungu, wanapaswa kuonyesha katika njia wanayoishi na jinsi wanavyowatendea watu wengine. Kufanya hivyo kunaweza kutuhakikishia kuwa Mungu ametuokoa na kwamba sisi ni wake, lakini kupenda wengine haituokoi. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/save]])
## Links:

View File

@ -4,7 +4,7 @@
### Watoto waliozaliwa kutoka kwa Mungu
Watu wanapoamini Yesu, Mungu huwafanya watoto wake na kuwapa uzima wa milele. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/believe)
Watu wanapoamini Yesu, Mungu huwafanya watoto wake na kuwapa uzima wa milele. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/believe]])
### Kuishi Kikristo
@ -14,11 +14,11 @@ Watu wanaomwamini Yesu wanapaswa kutii amri za Mungu na kupenda watoto wake.
### Kifo
Wakati Yohana anaandika juu ya kifo katika sura hii, anaelezea kifo cha kimwili. (See: rc://*/tw/dict/bible/other/death)
Wakati Yohana anaandika juu ya kifo katika sura hii, anaelezea kifo cha kimwili. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/other/death]])
### "Ulimwengu wote upo katika uwezo wa mwovu"
Maneno "yule mwovu" yanamaanisha Shetani. Mungu amemruhusu aongoze ulimwengu, lakini hatimaye Mungu ana mamlaka juu ya kila kitu. Mungu anawaweka watoto wake salama mbali na mwovu. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/satan)
Maneno "yule mwovu" yanamaanisha Shetani. Mungu amemruhusu aongoze ulimwengu, lakini hatimaye Mungu ana mamlaka juu ya kila kitu. Mungu anawaweka watoto wake salama mbali na mwovu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/satan]])
## Links:

View File

@ -19,13 +19,13 @@ Yohana aliandika barua hii kwa Wakristo wakati ambapo walimu wa uongo walikuwa w
### Je, kichwa cha kitabu hiki kinapaswa kutafsiriwaje?
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "1 Yohana" au "Yohana wa Kwanza." Au wanaweza kuchagua kichwa cha wazi, kama "Barua ya Kwanza Kutoka kwa Yohana" au "Barua ya Kwanza Aliyoandika Yohana." (See: rc://*/ta/man/translate/translate-names)
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "1 Yohana" au "Yohana wa Kwanza." Au wanaweza kuchagua kichwa cha wazi, kama "Barua ya Kwanza Kutoka kwa Yohana" au "Barua ya Kwanza Aliyoandika Yohana." (See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-names]])
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za Kidini na za Kitamaduni
### Ni watu wapi ambao Yohana alizungumza dhidi yao?
Watu ambao Yohana alizungumza dhidi yao inawezekana kwamba walikuwa wale ambao wangejulikana kama Wagnostiki. Watu hawa waliamini kwamba dunia ni uovu. Kwa kuwa waliamini kwamba Yesu alikuwa wa kiungu, walikanusha kwamba alikuwa mwanadamu kweli. Hii ni kwa sababu walidhani Mungu hawezi kuwa mwanadamu kwa sababu mwili ni uovu. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/evil)
Watu ambao Yohana alizungumza dhidi yao inawezekana kwamba walikuwa wale ambao wangejulikana kama Wagnostiki. Watu hawa waliamini kwamba dunia ni uovu. Kwa kuwa waliamini kwamba Yesu alikuwa wa kiungu, walikanusha kwamba alikuwa mwanadamu kweli. Hii ni kwa sababu walidhani Mungu hawezi kuwa mwanadamu kwa sababu mwili ni uovu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/evil]])
## Sehemu ya 3: Masuala muhimu ya Tafsiri
@ -45,6 +45,6 @@ Yafuatayo ni masuala muhimu zaidi ya maandishi katika 1 Yohana:
* "Na ninyi nyote mnajua ukweli." (2:20) ULB, UDB, na matoleo ya kisasa zaidi yasoma hivi au ifuatavyo: "Na ninyi nyote mna ujuzi." Baadhi ya matoleo ya zamani yana, "na mnajua vitu vyote."
* "na hivi ndivyo tulivyo!" (3:1). ULB, UDB, na matoleo ya kisasa zaidi kusoma hivi. Baadhi ya maandishi ya zamani yameacha maneno haya.
* "na kila roho isiyokubali Yesu haitoki kwa Mungu." (4:3) ULB, UDB, na matoleo ya kisasa zaidi yana somo hili. Baadhi ya maandishi ya kale yanasoma, "na kila roho isiyokubali kwamba Yesu amekuja katika mwili sio ya Mungu."
* "Kwa maana kuna watatu wanaoshuhudia mbinguni: Baba, Neno, na Roho Mtakatifu, na hawa watatu ni mmoja.Nao kuna watatu ambao wanashuhudia duniani: Roho, maji, na damu; na hawa tatu ni kama moja." (5:7-8). ULB, UDB, na matoleo mengine mengi hayasomi hivi. Watafsiri wanashauriwa kutafsiri hii kama ULB inavyofanya. Hata hivyo, ikiwa katika eneo la watafsiri, kuna matoleo ya zamani ya Biblia ambayo yanajumuisha kifungu hiki, watafsiri wanaweza kukijumuisha. Ikiwa imejumuishwa, inapaswa kuwekwa ndani ya mabano ya mraba ([]) ili kuonyesha kwamba labda haipo katika toleo la awali la 1 Yohana. (See: rc://*/ta/man/translate/translate-textvariants)
* "Kwa maana kuna watatu wanaoshuhudia mbinguni: Baba, Neno, na Roho Mtakatifu, na hawa watatu ni mmoja.Nao kuna watatu ambao wanashuhudia duniani: Roho, maji, na damu; na hawa tatu ni kama moja." (5:7-8). ULB, UDB, na matoleo mengine mengi hayasomi hivi. Watafsiri wanashauriwa kutafsiri hii kama ULB inavyofanya. Hata hivyo, ikiwa katika eneo la watafsiri, kuna matoleo ya zamani ya Biblia ambayo yanajumuisha kifungu hiki, watafsiri wanaweza kukijumuisha. Ikiwa imejumuishwa, inapaswa kuwekwa ndani ya mabano ya mraba ([]) ili kuonyesha kwamba labda haipo katika toleo la awali la 1 Yohana. (See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-textvariants]])
(See: [[rc://*/ta/man/jit/translate-textvariants]])
(See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-textvariants]])

View File

@ -12,11 +12,11 @@ Yesu atakaporudi tena, kila mtu ataona jinsi watu wa Mungu walikuwa wawe na iman
### Utakatifu
Mungu anataka watu wake wawe watakatifu kwa sababu Mungu ni Mtakatifu. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/holy)
Mungu anataka watu wake wawe watakatifu kwa sababu Mungu ni Mtakatifu. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/holy]])
### Milele
Petero anawaambia watu kuishi kwa ajili ya vitu vya kudumu milele na kuacha kuishi kwa ajili ya vitu vya dunia hii ambavyo vitaisha. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/eternity)
Petero anawaambia watu kuishi kwa ajili ya vitu vya kudumu milele na kuacha kuishi kwa ajili ya vitu vya dunia hii ambavyo vitaisha. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/eternity]])
## Maswala mengine ya utata katika sura hii

View File

@ -8,13 +8,13 @@ Watafsiri wengine wametenga mistari ya ushairi mbele zaidi kuelekea kulia kuliko
### Mawe
Bibilia inatumia jengo lililojengwa kwa mawe makubwa kama mfano wa kanisa. Yesu ni jiwe kuu la pembeni, jiwe la muhimu. Mitume na manabii ndio msingi, sehemu ya jengo hili ambamo mawe mengine yanasimamia. Katika sura hii Wakristo ni mawe ambayo yanatengeneza kuta za jengo. (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor and rc://*/tw/dict/bible/kt/cornerstone and rc://*/tw/dict/bible/other/foundation)
Bibilia inatumia jengo lililojengwa kwa mawe makubwa kama mfano wa kanisa. Yesu ni jiwe kuu la pembeni, jiwe la muhimu. Mitume na manabii ndio msingi, sehemu ya jengo hili ambamo mawe mengine yanasimamia. Katika sura hii Wakristo ni mawe ambayo yanatengeneza kuta za jengo. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/cornerstone]] and [[rc://*/tw/dict/bible/other/foundation]])
## Mifano muhimu za usemi katika sura hii
### Maziwa na watoto
Wakati Petero anawaambia wasomaji wake kwamba "watamani maziwa halisi ya kiroho", anatumia mfano ya mtoto mchanga ambaye hawezi kula chakula kigumu. Anataka kuwaelezea wasomaji wake kwamba wanaweza tu kuelewa vitu rahisi kuhusu maisha ya kumfurahisha Mungu. (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Wakati Petero anawaambia wasomaji wake kwamba "watamani maziwa halisi ya kiroho", anatumia mfano ya mtoto mchanga ambaye hawezi kula chakula kigumu. Anataka kuwaelezea wasomaji wake kwamba wanaweza tu kuelewa vitu rahisi kuhusu maisha ya kumfurahisha Mungu. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
## Links:

View File

@ -18,7 +18,7 @@ Petero alitaka wasomaji wake kukubaliana na kila mmoja wao. Muhimu zaidi aliwata
### Mfano
Petero ananukuu Zaburi ambayo inamfafanua Mungu kama mtu aliye na macho, masikio na uso. Hata hivyo Mungu ni roho na kwa hivyo hawezi kuwa na macho, masikio ama uso wa kibinadamu. Lakini yeye anafahamu wafanyacho watu na huwadhibu watu waovu. (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Petero ananukuu Zaburi ambayo inamfafanua Mungu kama mtu aliye na macho, masikio na uso. Hata hivyo Mungu ni roho na kwa hivyo hawezi kuwa na macho, masikio ama uso wa kibinadamu. Lakini yeye anafahamu wafanyacho watu na huwadhibu watu waovu. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
## Links:

View File

@ -8,17 +8,17 @@ Watu wengi wa kale katika Mashariki ya karibu wangemalizia barua jinsi Petero an
### Mataji
Taji ambalo mchungaji Mkuu atapeana ni tuzo, kitu ambacho watu hupokea wakitenda mema. (Tazama: //en/tw/dict/bible/other/reward)
Taji ambalo mchungaji Mkuu atapeana ni tuzo, kitu ambacho watu hupokea wakitenda mema. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/other/reward]])
## Mifano muhimu ya usemi katika sura hii
### Simba
Wanyama wote wanawaogopa simba kwa sababu ya kasi na nguvu zao na pia wanakula karibu kila aina za wanyama. Pia wanakula binadamu. Shetani anataka kuwafanya watu wa Mungu kuwa waoga na kwa hivyo Petero anatumia mfano ya simba kufundisha wasomaji wake kwamba Shetani anaweza kudhuru miili yao. Lakini wakimwamini Mungu na kumtii, watakuwa watu wa Mungu na Mungu atawahudumia, (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-simile)
Wanyama wote wanawaogopa simba kwa sababu ya kasi na nguvu zao na pia wanakula karibu kila aina za wanyama. Pia wanakula binadamu. Shetani anataka kuwafanya watu wa Mungu kuwa waoga na kwa hivyo Petero anatumia mfano ya simba kufundisha wasomaji wake kwamba Shetani anaweza kudhuru miili yao. Lakini wakimwamini Mungu na kumtii, watakuwa watu wa Mungu na Mungu atawahudumia, (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-simile]])
### Babuloni
"Babuloni ilikuwa taifa ovu katika Agano la Kale. Taifa hilo liliharibu jiji la Yerusalemu na likawateka Wayahudi kutoka maboma yao na wakawatawala. Petero anatumia Babuloni kama mfano ya taifa ambalo lilikuwa linawatesa Wakristo aliokuwa anawaandikia. Huenda aliamaanisha Yerusalemu kwa sababu Wayahudi walikuwa wanawatesa sana Wakristo ama aliashiria Roma kwa sababu Warumi walikuwa wanawatesa Wakristo. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/evil and rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
"Babuloni ilikuwa taifa ovu katika Agano la Kale. Taifa hilo liliharibu jiji la Yerusalemu na likawateka Wayahudi kutoka maboma yao na wakawatawala. Petero anatumia Babuloni kama mfano ya taifa ambalo lilikuwa linawatesa Wakristo aliokuwa anawaandikia. Huenda aliamaanisha Yerusalemu kwa sababu Wayahudi walikuwa wanawatesa sana Wakristo ama aliashiria Roma kwa sababu Warumi walikuwa wanawatesa Wakristo. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/evil]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
## Links:

View File

@ -20,7 +20,7 @@ Petero alibainisha kwamba aliandika barua hii kwa ajili ya "kukutia moyo na kush
### Kichwa cha kitabu hiki kitafsiriwe namna gani?
Watafsiri wanweza kuamua kukiita kitabo hiki na jina lake la kiasili, 1 Petero", ama "Petero wa Kwanza" ama wanaweza kuchagua kichwa kinachoeleweka zaidi kama "Barua ya kwanza kutoka kwa Petero" ama "Barua ya kwanza alioandika Petero."(Tazama: rc://*/ta/man/translate/translate-names)
Watafsiri wanweza kuamua kukiita kitabo hiki na jina lake la kiasili, 1 Petero", ama "Petero wa Kwanza" ama wanaweza kuchagua kichwa kinachoeleweka zaidi kama "Barua ya kwanza kutoka kwa Petero" ama "Barua ya kwanza alioandika Petero."(Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/translate-names]])
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za kidini na Kitamaduni
@ -32,7 +32,7 @@ Kuna uwezekano Petero alikuwa Roma akiandika barua hii. Aliupa mji wa Roma jina
### Umoja na wingi wa "wewe" na "nyinyi"
Katika kitabu hiki "Mimi" inaashiria Petero isipokuwa kwa sehemu mbili: 1 Petero:1:6 na 1 Petero 2:6. Neno "nyinyi" limetumika kwa wingi kuashiria hadhira ya Petero. (Tazama: : rc://*/ta/man/translate/figs-you)
Katika kitabu hiki "Mimi" inaashiria Petero isipokuwa kwa sehemu mbili: 1 Petero:1:6 na 1 Petero 2:6. Neno "nyinyi" limetumika kwa wingi kuashiria hadhira ya Petero. (Tazama: : [[rc://*/ta/man/translate/figs-you]])
### Ni maswala gani muhimu katika maandishi ya kitabu cha 1 Petero?
@ -40,4 +40,4 @@ Katika kitabu hiki "Mimi" inaashiria Petero isipokuwa kwa sehemu mbili: 1 Petero
Iwapo tafsiri ya Bibilia ipo katika eneo kwa jumla, watafsiri wanafaa kuzingatia kutumia masomo yanayopatikana katika matoleo hayo. Kama sivyo watafsiri wanashauriwa kufuata masomo ya kisasa.
(See: [[rc://*/ta/man/jit/translate-textvariants]])
(See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-textvariants]])

View File

@ -8,7 +8,7 @@ Mstari wa kwanza unatanguliza barua hii kirasmi. Barua za kale katika Mashariki
### Ugumu
Watu wengine waliwatesa sana Wakristo wa Thesalonike. Lakini Wakristo hao waliyachukulia mateso hayo kwa njia nzuri. (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-explicit)
Watu wengine waliwatesa sana Wakristo wa Thesalonike. Lakini Wakristo hao waliyachukulia mateso hayo kwa njia nzuri. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-explicit]])
## Links:

View File

@ -4,11 +4,11 @@
### Shahidi ya Mkristo
Paulo anathamini "Shahidi yake ya Kikristo" kama dhihirisho kwamba injili ni ya ukweli. Paulo anasema kwamba kuwa mtakatifu ama kuishi uungu unashuhudia wasio Wakristo. Paulo anatetea tabia yake ili shahidi wake isiathiriwe. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/testimony and rc://*/tw/dict/bible/kt/godly and rc://*/tw/dict/bible/kt/holy)
Paulo anathamini "Shahidi yake ya Kikristo" kama dhihirisho kwamba injili ni ya ukweli. Paulo anasema kwamba kuwa mtakatifu ama kuishi uungu unashuhudia wasio Wakristo. Paulo anatetea tabia yake ili shahidi wake isiathiriwe. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/testimony]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/godly]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/holy]])
### Kuishi Kikristo
Sheria ya Musa ilihitaji watu kutoa dhabihu ya wanyama au ya nafaka ndani ya hekalu. Mungu hahitaji dhabihu nyakati hizi. Mungu anahitaji watu waishi kama sadaka.Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses)
Sheria ya Musa ilihitaji watu kutoa dhabihu ya wanyama au ya nafaka ndani ya hekalu. Mungu hahitaji dhabihu nyakati hizi. Mungu anahitaji watu waishi kama sadaka.Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]])
## Links:

View File

@ -4,7 +4,7 @@
### Kusimama
Katika sura hii Paulo anatumia "simama imara" kuonyesha kuwa imara. Hii ni njia ya kawaida ya kuelezea kuwa imara ama mwaminifu. Paulo anatumia "Kutingizwa" kama kinyume cha kuwa imara. Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/faithful)
Katika sura hii Paulo anatumia "simama imara" kuonyesha kuwa imara. Hii ni njia ya kawaida ya kuelezea kuwa imara ama mwaminifu. Paulo anatumia "Kutingizwa" kama kinyume cha kuwa imara. Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faithful]])
## Links:

View File

@ -12,7 +12,7 @@ Katika kanisa la mwanzo, watu walijiuliza chenye kingefanyika iwapo mtu angekufa
### "Kunyakuliwa mawinguni tumlaki Bwana hewani"
Kifungu hiki kinaashiria wakati Yesu atakapowaita wale waliomwamini. Wasomi wanatofautiana iwapo hii inaashiria kurudi kwake Yesu kwa mara ya mwisho kwa utukufu ama hapana. (Tazama:rc://*/tw/dict/bible/kt/believe)
Kifungu hiki kinaashiria wakati Yesu atakapowaita wale waliomwamini. Wasomi wanatofautiana iwapo hii inaashiria kurudi kwake Yesu kwa mara ya mwisho kwa utukufu ama hapana. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/believe]])
## Links:

View File

@ -8,7 +8,7 @@ Paulo anamalizia barua yake kama barua za kawaida nyakati za kale kule Mashariki
### Siku ya bwana
Wakati kamili wa ujio wa siku ya Bwana itakuwa ni kwa ghafla pasipotarajiwa. Hii ndiyo maana ya "kama mwizi usiku". Kwa sababu hii, Wakristo waishi wakijiandaaa kurudi kwa Bwana. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/dayofthelord and rc://*/ta/man/translate/figs-simile)
Wakati kamili wa ujio wa siku ya Bwana itakuwa ni kwa ghafla pasipotarajiwa. Hii ndiyo maana ya "kama mwizi usiku". Kwa sababu hii, Wakristo waishi wakijiandaaa kurudi kwa Bwana. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/dayofthelord]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-simile]])
### "Kukata kiu ya Kiroho"

View File

@ -33,7 +33,7 @@ Paulo anajibu kwa habari iliyoletwa na Timoteo kuhusu waumini wa Thesalonike.Wau
### Kichwa cha kitabu hiki kitafsiriwe vipi?
Watafsiri wanaweza chagua kichwa cha asili kama "Wathesalonike 1" ama "Wathesalonike wa kwanza". Wanaweza pia kuchagua kichwa cha kueleweka zaidi kama "Barua ya Kwanza ya Paulo kwa Wakristo waThesalonike," ama "Barua ya Kwanza kwa Wakristo wa Thesalonike." Tazama: rc://*/ta/man/translate/translate-names)
Watafsiri wanaweza chagua kichwa cha asili kama "Wathesalonike 1" ama "Wathesalonike wa kwanza". Wanaweza pia kuchagua kichwa cha kueleweka zaidi kama "Barua ya Kwanza ya Paulo kwa Wakristo waThesalonike," ama "Barua ya Kwanza kwa Wakristo wa Thesalonike." Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/translate-names]])
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za kidini na kitamaduni
@ -59,4 +59,4 @@ Katika mistari ifuatayo, matoleo ya kale yanatofoautiana na ya kisasa. Toleo la
* "Badala yake tulikuwa wapole miongoni mwenu kama mama anavyowafariji watoto wake." (2:7).Matoleo mengine ya kisasa na ya zamani yanasoma,"Tulikuwa kama watoto wachanga miongoni mwenu, jinsi mama hufariji watoto wake."
* "Timotheo ndugu yetu na mfanyikazi mwenzetu wa Mungu" (3:2)Matoleo mengine husema, "Timotheo, ndugu na mtumishi wa Mungu."
(See: [[rc://*/ta/man/jit/translate-textvariants]])
(See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-textvariants]])

View File

@ -14,7 +14,7 @@ Kanisa lilitumia vyeo tofauti vya viongozi wa kanisa. Vyeo vingine vilijumuisha,
### Sifa za tabia
Sura hii inaorodhesha sifa chache ambazo lazima mwanaume anayetaka kuwa mwangalizi ama shemasi katika kanisa awe nazo. (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-abstractnouns)
Sura hii inaorodhesha sifa chache ambazo lazima mwanaume anayetaka kuwa mwangalizi ama shemasi katika kanisa awe nazo. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-abstractnouns]])
## Links:

View File

@ -2,13 +2,13 @@
## Muundo na mpangilio
1 Timotheo 4:1-3 ni unabii Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/prophet)
1 Timotheo 4:1-3 ni unabii Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/prophet]])
## Maswala mengine ya utata katika tafsiri ya sura hii
### Siku za baadaye
Hii ni njia nyingine ya kuashiria siku za mwisho( Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/lastday)
Hii ni njia nyingine ya kuashiria siku za mwisho( Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lastday]])
## Links:

View File

@ -34,19 +34,19 @@ mwongozi wa makanisa.
### Kichwa cha kitabu hiki kitafsiriwe namna gani?
Watafsiri wanaweza amua kukiita kitabu hiki kutumia jina lake la kiasili, "1 Timotheo" ama "Timotheo wa Kwanza" ama wanaezatumia kichwa kinachoeleweka zaidi kama "Barua ya Kwanza kwa Timotheo" (Tazama: rc://*/ta/man/translate/translate-names)
Watafsiri wanaweza amua kukiita kitabu hiki kutumia jina lake la kiasili, "1 Timotheo" ama "Timotheo wa Kwanza" ama wanaezatumia kichwa kinachoeleweka zaidi kama "Barua ya Kwanza kwa Timotheo" (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/translate-names]])
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za kidini na kitamaduni
### Uanafunzi ni nini?
Uanafunzi ni hali ya kuwafanya watu wawe wanafunzi wa Kristo. Lengo kuu la uanafunzi ni kuwafanya Wakristo kuwa kama Kristo. Barua hii inatoa mwelekeo jinsi kiongozi anatakiwa kumfunza Mkristo ambaye hajakomaa. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/disciple)
Uanafunzi ni hali ya kuwafanya watu wawe wanafunzi wa Kristo. Lengo kuu la uanafunzi ni kuwafanya Wakristo kuwa kama Kristo. Barua hii inatoa mwelekeo jinsi kiongozi anatakiwa kumfunza Mkristo ambaye hajakomaa. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/disciple]])
## Sehemu ya 3: Maswala muhimu ya tafsiri
### Wingi na umoja wa "wewe"
Neno "mimi" katika kitabu hiki linaashiria Paulo. "Wewe" inamaanisha Timotheo. Tofauti ya haya ni 6:21 (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-exclusive and rc://*/ta/man/translate/figs-you)
Neno "mimi" katika kitabu hiki linaashiria Paulo. "Wewe" inamaanisha Timotheo. Tofauti ya haya ni 6:21 (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-exclusive]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-you]])
### Paulo alimaanisha nini na maelezo "ndani ya Kristo" na "ndani ya Bwana" na kadhalika?
@ -58,4 +58,4 @@ Katika aya ifuatayo,matoleo ya kisasa yanatofautiana na matoleo ya kale. Toleo l
* "Utauwa ndiyo njia ya kupata pesa zaidi" Matoleo mengine ya kale yanasoma, "Utauwa ni njia ya kupata pesa zaidi. Jiepushe na vitu hivyo." (6:5).
(See: [[rc://*/ta/man/jit/translate-textvariants]])
(See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-textvariants]])

View File

@ -18,7 +18,7 @@ Faraja ni neno kuu ya sura hii. Roho Mtakatifu huwafariji Wakristo. Pengine Wako
### Swali la uhuishaji
Paulo anatumia maswali mawili ya uhuishaji ili kujitetea dhidi ya madai yasiyokuwa ya kweli. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion)
Paulo anatumia maswali mawili ya uhuishaji ili kujitetea dhidi ya madai yasiyokuwa ya kweli. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
@ -28,7 +28,7 @@ Paulo anatumia neno "sisi". Hii inawezekana kuwakilisha Timotheo na yeye mwenyew
### Dhamana
Paulo anasema kuwa Roho Mtakatifu ni dhamana, ambayo ina maana ya ahadi au malipo ya kwanza, ya maisha ya Milele ya Mkristo. Wakristo wanaokolewa salama. Lakini hawatapata ahadi zote za Mungu mpaka baada ya kufa. Roho Mtakatifu ni dhamana ya kibinafsi kwamba haya yatafanyika. Wazo hili linatoka kwa tamko la biashara. Mtu hutoa kitu cha bei kubwa kwa mtu mwingine kama "dhamana" kwamba watalipa pesa zote baadaye. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/eternity]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/save)
Paulo anasema kuwa Roho Mtakatifu ni dhamana, ambayo ina maana ya ahadi au malipo ya kwanza, ya maisha ya Milele ya Mkristo. Wakristo wanaokolewa salama. Lakini hawatapata ahadi zote za Mungu mpaka baada ya kufa. Roho Mtakatifu ni dhamana ya kibinafsi kwamba haya yatafanyika. Wazo hili linatoka kwa tamko la biashara. Mtu hutoa kitu cha bei kubwa kwa mtu mwingine kama "dhamana" kwamba watalipa pesa zote baadaye. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/eternity]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/save]])
## Links:

View File

@ -4,7 +4,7 @@
### Uandishi wa hasira
Katika sura hii, Paulo anaelezea barua aliyowaandikia Wakorintho hapo awali. Barua hiyo ilikuwa na sauti kali na ya kurekebisha. Paulo labda aliandika barua hiyo baada ya barua inayojulikana kama Wakorintho wa Kwanza na kabla ya barua hii. Anasema kuwa kanisa lilipaswa kumkemea mwanachama mkosaji. Paulo sasa anawahimiza kuwa na neema kwa mtu huyo. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/grace]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-explicit)
Katika sura hii, Paulo anaelezea barua aliyowaandikia Wakorintho hapo awali. Barua hiyo ilikuwa na sauti kali na ya kurekebisha. Paulo labda aliandika barua hiyo baada ya barua inayojulikana kama Wakorintho wa Kwanza na kabla ya barua hii. Anasema kuwa kanisa lilipaswa kumkemea mwanachama mkosaji. Paulo sasa anawahimiza kuwa na neema kwa mtu huyo. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/grace]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-explicit]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

View File

@ -8,19 +8,19 @@ Paulo anaendelea kujitetea. Paulo anaona Wakristo wa Korintho kama ushahidi wa k
### Sheria ya Musa
Paulo anakumbuka wakati Mungu alitoa amri kumi juu ya vibao vya mawe. Hii inawakilisha sheria ya Musa. Sheria ilikuwa nzuri kwa sababu ilitoka kwa Mungu. Lakini Mungu aliwaadhibu Waisraeli kwa sababu hawakuitii. Sura hii inaweza kuwa vigumu kwa watafsiri kuelewa ikiwa Agano la Kale bado halijatafsiriwa. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/covenant]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/reveal)
Paulo anakumbuka wakati Mungu alitoa amri kumi juu ya vibao vya mawe. Hii inawakilisha sheria ya Musa. Sheria ilikuwa nzuri kwa sababu ilitoka kwa Mungu. Lakini Mungu aliwaadhibu Waisraeli kwa sababu hawakuitii. Sura hii inaweza kuwa vigumu kwa watafsiri kuelewa ikiwa Agano la Kale bado halijatafsiriwa. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/covenant]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/reveal]])
## Mifano muhimu ya matamshi katika sura hii
### Mifano
Paulo anatumia mifano nyingi katika sura hii kuelezea kweli ngumu za kirorho. Haijulikani kama hii inafanya mafundisho ya Paulo rahisi au vigumu zaidi kuelewa. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Paulo anatumia mifano nyingi katika sura hii kuelezea kweli ngumu za kirorho. Haijulikani kama hii inafanya mafundisho ya Paulo rahisi au vigumu zaidi kuelewa. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
### "Hili ni agano sio la andiko bali la Roho."
Paulo anatofautisha agano la kale na agano jipya. Agano jipya sio mfumo wa sheria na kanuni. Hapa "Roho" labda inamaanisha Roho Mtakatifu. Inaweza pia kuelezea asili ya agano jipya kuwa ya kiroho.(See: rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit)
Paulo anatofautisha agano la kale na agano jipya. Agano jipya sio mfumo wa sheria na kanuni. Hapa "Roho" labda inamaanisha Roho Mtakatifu. Inaweza pia kuelezea asili ya agano jipya kuwa ya kiroho.(See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit]])
## Links:

View File

@ -8,23 +8,23 @@ Sura hii inaanza na neno "kwa hiyo." Neno hili linaunganisha na neno lililofundi
### Huduma
Paulo anawahudumia watu kwa kuwaambia kuhusu Kristo. Yeye hajaribu kuwadanganya watu kuamini. Ikiwa hawaelewi injili, ni kwa sababu tatizo ni la kiroho. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit)
Paulo anawahudumia watu kwa kuwaambia kuhusu Kristo. Yeye hajaribu kuwadanganya watu kuamini. Ikiwa hawaelewi injili, ni kwa sababu tatizo ni la kiroho. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit]])
## Mifanu muhimu ya matamshi katika sura hii
### Mwanga na giza
Biblia mara nyingi inazungumza juu ya watu wasio na haki, watu ambao hawana fadhili za Mungu, kama wanaozunguka gizani. Inazungumzia mwanga ni kama inawawezesha watu wenye dhambi kuwa waadilifu, kuelewa kile wanachokosea na kuanza kumtii Mungu. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous)
Biblia mara nyingi inazungumza juu ya watu wasio na haki, watu ambao hawana fadhili za Mungu, kama wanaozunguka gizani. Inazungumzia mwanga ni kama inawawezesha watu wenye dhambi kuwa waadilifu, kuelewa kile wanachokosea na kuanza kumtii Mungu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]])
### Maisha na kifo
Paulo hataji hapa maisha ya kimwili na kifo ya kimwili. Maisha inawakilisha maisha mapya Mkristo aliyo nayo katika Yesu. Kifo kinawakilisha njia ya zamani ya kuishi kabla ya kumwamini Yesu. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/life]] and [[rc://*/tw/dict/bible/other/death]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith)
Paulo hataji hapa maisha ya kimwili na kifo ya kimwili. Maisha inawakilisha maisha mapya Mkristo aliyo nayo katika Yesu. Kifo kinawakilisha njia ya zamani ya kuishi kabla ya kumwamini Yesu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/life]] and [[rc://*/tw/dict/bible/other/death]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
### Matumaini
Paulo anarudia katika mawazo kwa namuna ya kimakusudi. Anatoa taarifa. Kisha anatoa maneno yanayoonekana kuwa kukataa au kupinga au kutoa utofauti. Haya yote pamoja yanampa msomaji tumaini katika hali ngumu. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/hope)
Paulo anarudia katika mawazo kwa namuna ya kimakusudi. Anatoa taarifa. Kisha anatoa maneno yanayoonekana kuwa kukataa au kupinga au kutoa utofauti. Haya yote pamoja yanampa msomaji tumaini katika hali ngumu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/hope]])
## Links:

View File

@ -4,23 +4,23 @@
### Miili mipya mbinguni
Paulo anajua kwamba atakapokufa atapata mwili bora zaidi. Kwa sababu hii, yeye haogopi kuuawa kwa ajili ya kuhubiri injili. Kwa hiyo anawaambia wengine kwamba wao pia wanaweza kuunganishwa na Mungu. Kristo ataondoa dhambi zao na kuwapa haki yake. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/goodnews]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/reconcile]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous)
Paulo anajua kwamba atakapokufa atapata mwili bora zaidi. Kwa sababu hii, yeye haogopi kuuawa kwa ajili ya kuhubiri injili. Kwa hiyo anawaambia wengine kwamba wao pia wanaweza kuunganishwa na Mungu. Kristo ataondoa dhambi zao na kuwapa haki yake. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/goodnews]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/reconcile]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]])
### Uumbaji mpya
Uumbaji wa zamani na uumbaji mpya unaelezea jinsi Paulo anavyoonyesha Uumbaji wa zamani na uumbaji mpya. Dhana hizi pia ni sawa na mtu wa zamani na mtu mpya. Neno "zamani" labda halielezei asili ya dhambi ambayo mtu anazaliwa nayo. Inamaanisha njia ya zamani ya kuishi au Mkristo aliyekuwa amefungwa katika dhambi. "Uumbaji mpya" ni asili mpya au maisha mapya ambayo Mungu humpa mtu baada ya kumwamini Kristo. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/faith)
Uumbaji wa zamani na uumbaji mpya unaelezea jinsi Paulo anavyoonyesha Uumbaji wa zamani na uumbaji mpya. Dhana hizi pia ni sawa na mtu wa zamani na mtu mpya. Neno "zamani" labda halielezei asili ya dhambi ambayo mtu anazaliwa nayo. Inamaanisha njia ya zamani ya kuishi au Mkristo aliyekuwa amefungwa katika dhambi. "Uumbaji mpya" ni asili mpya au maisha mapya ambayo Mungu humpa mtu baada ya kumwamini Kristo. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]])
## Mfano muhimu ya matamshi katika sura hii
### Nyumbani
Nyumbani mwa Wakristo haipo tena ulimwenguni. Nyumbani halisi mwa Mkristo iko mbinguni. Kwa kutumia mfano huu, Paulo anasisitiza kuwa mazingira ya Kikristo katika ulimwengu huu ni ya muda mfupi. Inatoa tumaini kwa wale wanaosumbuliwa. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/heaven]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/hope)
Nyumbani mwa Wakristo haipo tena ulimwenguni. Nyumbani halisi mwa Mkristo iko mbinguni. Kwa kutumia mfano huu, Paulo anasisitiza kuwa mazingira ya Kikristo katika ulimwengu huu ni ya muda mfupi. Inatoa tumaini kwa wale wanaosumbuliwa. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/heaven]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/hope]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
### "Ujumbe wa upatanisho"
Hii inahusu injili. Paulo anawaita watu ambao wana chuki kwa Mungu kutubu na kuunganishwa naye. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/repent]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/reconcile)
Hii inahusu injili. Paulo anawaita watu ambao wana chuki kwa Mungu kutubu na kuunganishwa naye. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/repent]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/reconcile]])
## Links:

View File

@ -14,15 +14,15 @@ Paulo anawakilisha Wakristo kama watumishi wa Mungu. Mungu anawaita Wakristo kum
### Maneno ya tofauti
Paulo anatumia jozi nne za utofauti: haki dhidi ya uasi, mwanga dhidi ya giza, Kristo dhidi ya Shetani, na hekalu la Mungu dhidi ya sanamu. Tofauti hizi zinaonyesha tofauti kati ya Wakristo na wasio Wakristo. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]] and [[rc://*/tw/dict/bible/other/light]] and [[rc://*/tw/dict/bible/other/darkness)
Paulo anatumia jozi nne za utofauti: haki dhidi ya uasi, mwanga dhidi ya giza, Kristo dhidi ya Shetani, na hekalu la Mungu dhidi ya sanamu. Tofauti hizi zinaonyesha tofauti kati ya Wakristo na wasio Wakristo. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]] and [[rc://*/tw/dict/bible/other/light]] and [[rc://*/tw/dict/bible/other/darkness]])
### Mwanga na giza
Biblia mara nyingi inazungumzia watu wasio na haki, watu ambao hawampendezi Mungu, kama kwamba walikuwa wakizunguka gizani. Inazungumza juu ya mwanga ni kama inawawezesha watu wenye dhambi kuwa waadilifu, na kuelewa kile wanachokosea na kuanza kumtii Mungu. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous)
Biblia mara nyingi inazungumzia watu wasio na haki, watu ambao hawampendezi Mungu, kama kwamba walikuwa wakizunguka gizani. Inazungumza juu ya mwanga ni kama inawawezesha watu wenye dhambi kuwa waadilifu, na kuelewa kile wanachokosea na kuanza kumtii Mungu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]])
### Maswali ya uhuishaji
Paulo anatumia maswali ya uhuishaji mfululizo kwa kufundisha wasomaji wake. Maswali haya yote yana maana sawa sawa: Wakristo hawapaswi kushirikiana na wale wanaoishi katika dhambi. Paulo anarudia katika maswali haya kwa msisitizo. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin)
Paulo anatumia maswali ya uhuishaji mfululizo kwa kufundisha wasomaji wake. Maswali haya yote yana maana sawa sawa: Wakristo hawapaswi kushirikiana na wale wanaoishi katika dhambi. Paulo anarudia katika maswali haya kwa msisitizo. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

View File

@ -8,11 +8,11 @@ Katika mistari ya 2-4, Paulo anamaliza kujitetea kwake. Halafu anaandika juu ya
### Usafi na uchafu
Wakristo ni "wasafi" kwa maana kwamba Mungu amewatakasa kutoka kwa dhambi. Hawakuhitaji ya kuwa na wasiwasi ya kuwa safi kulingana na sheria ya Musa. Kuishi kwa ukafiri huweza kumfanya Mkristo kutokuwa msafi. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/clean]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses)
Wakristo ni "wasafi" kwa maana kwamba Mungu amewatakasa kutoka kwa dhambi. Hawakuhitaji ya kuwa na wasiwasi ya kuwa safi kulingana na sheria ya Musa. Kuishi kwa ukafiri huweza kumfanya Mkristo kutokuwa msafi. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/clean]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]])
### Huzuni na masikitiko
Maneno "huzuni" na "masikitiko" katika sura hii yanaonyesha kwamba Wakorintho walikuwa wamesononeka kiasi cha kutubu. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/repent)
Maneno "huzuni" na "masikitiko" katika sura hii yanaonyesha kwamba Wakorintho walikuwa wamesononeka kiasi cha kutubu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/repent]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
@ -22,7 +22,7 @@ Labda Paulo anatumia neno "sisi" kuwakilisha Timotheo na yeye mwenyewe. Au labda
### Hali ya awali
Sura hii inazungumzia kwa kina hali nyingine ya awali. Tunaweza kufikiria mambo fulani ya hali hii kutokana na taarifa katika sura hii. Lakini ni bora kutoingiza aina hii ya habari kamili katika tafsiri. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-explicit)
Sura hii inazungumzia kwa kina hali nyingine ya awali. Tunaweza kufikiria mambo fulani ya hali hii kutokana na taarifa katika sura hii. Lakini ni bora kutoingiza aina hii ya habari kamili katika tafsiri. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-explicit]])
## Links:

View File

@ -8,7 +8,7 @@ Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi upande wa kulia zaidi kuliko ma
### Mifano
Paulo anatumia mifano mitatu ya kilimo. Anazitumia kufundisha kuhusu kutoa kwa waumini maskini. Mifano humsaidia Paulo kueleza kwamba Mungu atawapa thawabu wale wanaotoa kwa ukarimu. Paulo hakusema ni lini au vipi Mungu atakavyowapa tuzo hilo. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/other/reward)
Paulo anatumia mifano mitatu ya kilimo. Anazitumia kufundisha kuhusu kutoa kwa waumini maskini. Mifano humsaidia Paulo kueleza kwamba Mungu atawapa thawabu wale wanaotoa kwa ukarimu. Paulo hakusema ni lini au vipi Mungu atakavyowapa tuzo hilo. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/other/reward]])
## Links:

View File

@ -16,13 +16,13 @@ Katika sura hii, Paulo anarudi kutetea mamlaka yake. Pia analinganisha jinsi ana
### Mifano
Katika mistari ya 3-6, Paulo anatumia mifano nyingi ya vita. Huenda anayatumia kama sehemu ya mfano kubwa juu ya Wakristo kuwa katika vita vya kiroho. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Katika mistari ya 3-6, Paulo anatumia mifano nyingi ya vita. Huenda anayatumia kama sehemu ya mfano kubwa juu ya Wakristo kuwa katika vita vya kiroho. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
### Mwili
"Labda mwili ni mfano wa asili ya dhambi. Paulo hafundishi kwamba miili yetu ni ya dhambi. Labda Paulo anafundisha kwamba wakati wote Wakristo tunapoishi ("katika mwili"), tutaendelea kutenda dhambi. Lakini asili yetu mpya itapigana dhidi ya asili yetu ya zamani. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/flesh)
"Labda mwili ni mfano wa asili ya dhambi. Paulo hafundishi kwamba miili yetu ni ya dhambi. Labda Paulo anafundisha kwamba wakati wote Wakristo tunapoishi ("katika mwili"), tutaendelea kutenda dhambi. Lakini asili yetu mpya itapigana dhidi ya asili yetu ya zamani. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/flesh]])
## Links:

View File

@ -8,17 +8,17 @@ Katika sura hii, Paulo anaendelea kutetea mamlaka yake.
### Mafundisho ya uwongo
Wakorintho walikuwa haraka kukubali walimu wa uongo. Walifundisha mambo kuhusu Yesu na injili ambayo yalikuwa tofauti na yasiyo ya kweli. Kinyume na walimu wa uongo, Paulo aliwatumikia Wakorintho kwa moyo wake wote. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/goodnews)
Wakorintho walikuwa haraka kukubali walimu wa uongo. Walifundisha mambo kuhusu Yesu na injili ambayo yalikuwa tofauti na yasiyo ya kweli. Kinyume na walimu wa uongo, Paulo aliwatumikia Wakorintho kwa moyo wake wote. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/goodnews]])
### Mwanga
Mwanga hutumiwa kawaida katika Agano Jipya kama mfano. Paulo hapa anatumia nuru ili kuonyesha ufunuo wa Mungu na haki yake. Giza linamaanisha dhambi. Dhambi inatafuta kubaki kufichwa kutoka kwa Mungu. (See: rc://*/tw/dict/bible/other/light]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]] and [[rc://*/tw/dict/bible/other/darkness]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin)
Mwanga hutumiwa kawaida katika Agano Jipya kama mfano. Paulo hapa anatumia nuru ili kuonyesha ufunuo wa Mungu na haki yake. Giza linamaanisha dhambi. Dhambi inatafuta kubaki kufichwa kutoka kwa Mungu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/other/light]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]] and [[rc://*/tw/dict/bible/other/darkness]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]])
## Mifano muhimu ya matamshi katika sura hii
### Mifano
Paulo anaanza sura hii kwa mfano iliyopanuliwa. Anajilinganisha na baba wa bibi harusi ambaye anampa bintiye bikira kwa bwana harusi. Tamaduni za harusi hubadilika kulingana na historia ya kitamaduni. Lakini wazo la kumwonyesha mtu kama mtoto mzima na mtakatifu linaonyeshwa wazi katika kifungu hiki. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/holy]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-explicit)
Paulo anaanza sura hii kwa mfano iliyopanuliwa. Anajilinganisha na baba wa bibi harusi ambaye anampa bintiye bikira kwa bwana harusi. Tamaduni za harusi hubadilika kulingana na historia ya kitamaduni. Lakini wazo la kumwonyesha mtu kama mtoto mzima na mtakatifu linaonyeshwa wazi katika kifungu hiki. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/holy]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-explicit]])
### Kinaya
@ -28,7 +28,7 @@ Sura hii imejaa kinaya. Paulo ana matumaini ya kuwaaibisha waumini wa Korintho k
Taarifa hii, "Kwa maana mnavumilia kwa furaha wapumbavu, ninyi wenyewe ni wenye busara!" ina maana kwamba waumini wa Korintho wanadhani kama walikuwa wenye busara sana lakini Paulo hakubaliani nao.
"Nitasema kwa aibu yetu kwamba tulikuwa dhaifu sana kufanya hivyo." Paulo anazungumza kuhusu tabia anayodhani ni mbaya sana ili kuepuka. Anazungumza kana kwamba anafikiri yeye anafanya makosa kwa kutofanya hivyo. Anatumia swali la uhuishaji pia kama kinaya. "Je, nilikosa kwa kujinyenyekeza ili uweze kuinuliwa?" (See: rc://*/ta/man/translate/figs-irony]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/apostle]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion)
"Nitasema kwa aibu yetu kwamba tulikuwa dhaifu sana kufanya hivyo." Paulo anazungumza kuhusu tabia anayodhani ni mbaya sana ili kuepuka. Anazungumza kana kwamba anafikiri yeye anafanya makosa kwa kutofanya hivyo. Anatumia swali la uhuishaji pia kama kinaya. "Je, nilikosa kwa kujinyenyekeza ili uweze kuinuliwa?" (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-irony]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/apostle]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]])
### Maswali ya uhuishaji

View File

@ -4,13 +4,13 @@
Paulo anaendelea kutetea mamlaka yake katika sura hii.
Wakati Paulo alikuwa pamoja na Wakorintho, alijitokeza kuwa mtume kwa matendo yake yenye nguvu. Yeye hakuwahi kuchukua chochote kutoka kwao. Sasa kwa vile anakuja kwa mara ya tatu, bado hatachukua chochote. Anatarajia kwamba atakapowatembelea, hatahitaji kuwa mkali kwao. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/apostle)
Wakati Paulo alikuwa pamoja na Wakorintho, alijitokeza kuwa mtume kwa matendo yake yenye nguvu. Yeye hakuwahi kuchukua chochote kutoka kwao. Sasa kwa vile anakuja kwa mara ya tatu, bado hatachukua chochote. Anatarajia kwamba atakapowatembelea, hatahitaji kuwa mkali kwao. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/apostle]])
## Dhana maalum katika sura hii
### Maono ya Paulo
Paulo sasa anatetea mamlaka yake kwa kusema juu ya maono mazuri ya mbinguni. Ingawa anazungumza kama mtu wa tatu katika mistari ya 2-5, mstari wa 7 unaonyesha kwamba alikuwa mtu aliyepata maono. Ilikuwa kubwa sana kiasi cha Mungu kumpa ulemavu ili kumfanya awe mnyenyekevu. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/heaven)
Paulo sasa anatetea mamlaka yake kwa kusema juu ya maono mazuri ya mbinguni. Ingawa anazungumza kama mtu wa tatu katika mistari ya 2-5, mstari wa 7 unaonyesha kwamba alikuwa mtu aliyepata maono. Ilikuwa kubwa sana kiasi cha Mungu kumpa ulemavu ili kumfanya awe mnyenyekevu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/heaven]])
### Mbingu ya tatu
@ -21,11 +21,11 @@ mbingu ya pili").
### Maswali ya hekima
Paulo anatumia maswali mengi ya uhuishaji anapojitetea dhidi ya maadui zake ambao walimshtaki: "Kwa nini mlikuwa wa hadhi ya chini zaidi kuliko makanisa yote, isipokuwa kwamba sikuwa mzigo kwenu?" "Je, Tito aliwatoza kitu? Je, hatukutembea kwa njia ile ile? Je, hatukuenda kwa hatua moja?" na "Je, unadhani wakati huu wote tumejitetea kwako?" (See: rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion)
Paulo anatumia maswali mengi ya uhuishaji anapojitetea dhidi ya maadui zake ambao walimshtaki: "Kwa nini mlikuwa wa hadhi ya chini zaidi kuliko makanisa yote, isipokuwa kwamba sikuwa mzigo kwenu?" "Je, Tito aliwatoza kitu? Je, hatukutembea kwa njia ile ile? Je, hatukuenda kwa hatua moja?" na "Je, unadhani wakati huu wote tumejitetea kwako?" (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]])
### Kejeli
Paulo anatumia kejeli, aina ya kinaya, wakati anapowakumbusha jinsi alivyowasaidia bila gharama. Anasema, "Nisamehe kwa makosa haya!" Pia hutumia kinaya ya kawaida wakati anasema: "Lakini, kwa kuwa mimi ni mwangalifu, mimi ndiye niliyekukuta kwa udanganyifu." Anaitumia kuanzisha utetezi wake dhidi ya mashtaka haya kwa kuonyesha jinsi ambavyo haingewezekana kuwa kweli. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-irony)
Paulo anatumia kejeli, aina ya kinaya, wakati anapowakumbusha jinsi alivyowasaidia bila gharama. Anasema, "Nisamehe kwa makosa haya!" Pia hutumia kinaya ya kawaida wakati anasema: "Lakini, kwa kuwa mimi ni mwangalifu, mimi ndiye niliyekukuta kwa udanganyifu." Anaitumia kuanzisha utetezi wake dhidi ya mashtaka haya kwa kuonyesha jinsi ambavyo haingewezekana kuwa kweli. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-irony]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

View File

@ -8,7 +8,7 @@ Katika sura hii, Paulo anamaliza kutetea mamlaka yake. Kisha anahitimisha barua
### Maandalizi
Paulo anawaeleza Wakorintho anapojitayarisha kuwatembelea. Anatumaini kuepuka tatizo ya kumwadhibu yeyote kanisani ili aweze kuwatembelea kwa furaha. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/disciple)
Paulo anawaeleza Wakorintho anapojitayarisha kuwatembelea. Anatumaini kuepuka tatizo ya kumwadhibu yeyote kanisani ili aweze kuwatembelea kwa furaha. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/disciple]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
@ -18,7 +18,7 @@ Paulo kila mara anatumia maneno tofauti "nguvu" na "udhaifu" katika sura hii. Mt
### "Jichunguzeni na muone kama mko katika imani. Mjijaribu wenyewe."
Wasomi wamegawanyika juu ya maana ya maneno haya. Wasomi wengine wanasema kwamba Wakristo wanapaswa kujijaribu wenyewe ili kuona kama matendo yao yanahusiana na imani yao ya Kikristo. Wasomi wamegawanyika juu ya maana ya maneno haya. Wasomi wengine wanasema kwamba Wakristo wanapaswa kujijaribu wenyewe ili kuona kama matendo yao yanahusiana na imani yao ya Kikristo. Muktadha unapendeza ufahamu huu. Wengine wanasema maneno haya yanamaanisha kuwa Wakristo wanapaswa kuangalia matendo yao na kuuliza kama wameokolewa kwa kweli. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/save). Wengine wanasema maneno haya yanamaanisha kuwa Wakristo wanapaswa kuangalia matendo yao na kuuliza kama wameokolewa kwa kweli. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/save)
Wasomi wamegawanyika juu ya maana ya maneno haya. Wasomi wengine wanasema kwamba Wakristo wanapaswa kujijaribu wenyewe ili kuona kama matendo yao yanahusiana na imani yao ya Kikristo. Wasomi wamegawanyika juu ya maana ya maneno haya. Wasomi wengine wanasema kwamba Wakristo wanapaswa kujijaribu wenyewe ili kuona kama matendo yao yanahusiana na imani yao ya Kikristo. Muktadha unapendeza ufahamu huu. Wengine wanasema maneno haya yanamaanisha kuwa Wakristo wanapaswa kuangalia matendo yao na kuuliza kama wameokolewa kwa kweli. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/save]]). Wengine wanasema maneno haya yanamaanisha kuwa Wakristo wanapaswa kuangalia matendo yao na kuuliza kama wameokolewa kwa kweli. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/save]])
## Links:

View File

@ -24,7 +24,7 @@ Paulo pia aliwaandikia kuwahakikishia kwamba Yesu Kristo alimtuma awe mtume kuhu
### Je, kichwa cha kitabu hiki kinapaswa kutafsiriwaje?
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "Wakorintho wa Pili." Au wanaweza kuchagua kichwa wazi, kama "Barua ya pili ya Paulo kwa Kanisa la Korintho." (See: rc://*/ta/man/translate/translate-names)
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "Wakorintho wa Pili." Au wanaweza kuchagua kichwa wazi, kama "Barua ya pili ya Paulo kwa Kanisa la Korintho." (See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-names]])
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za Kidini na za Kitamaduni
@ -41,7 +41,7 @@ walikataa kile kilichoamuriwa na waongozi wa Yerusalemu.
### "Umoja na wingi wa neno "you"
Katika kitabu hiki, neno "mimi" linamaanisha Paulo. Pia, neno "nyinyi" ni karibu kila mara kwa wingi na linamaanisha waumini huko Korintho. Lakini, kuna tofauti mbili kati ya misitari ya 6:2 na 12:9. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-exclusive]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-you)
Katika kitabu hiki, neno "mimi" linamaanisha Paulo. Pia, neno "nyinyi" ni karibu kila mara kwa wingi na linamaanisha waumini huko Korintho. Lakini, kuna tofauti mbili kati ya misitari ya 6:2 na 12:9. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-exclusive]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-you]])
### Je, mawazo ya "takatifu" na "kutakasa" yanawakilishwaje katika 2 Wakorintho kwenye ULB?
@ -67,4 +67,4 @@ Ujumbe wa Paulo ni kwamba Mungu hufanya Wakristo kuwa sehemu ya "ulimwengu mpya"
* "na katika upendo wenu kwetu" (8:7). Matoleo mengi, na ULB na UDB pia, husoma namuna hii. Hata hivyo, matoleo mengine mengi yanasoma, "na katika upendo wetu kwa ajili yenu." Kuna ushahidi wenye nguvu kwamba kila somo ni la asili. Watafsiri wanapaswa kufuata somo iliyopendekezwa na matoleo mengine katika eneo lao.
(See: [[rc://*/ta/man/jit/translate-textvariants]])
(See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-textvariants]])

View File

@ -15,11 +15,11 @@ Barua haina jina la mwandishi. Mwandishi alijitambulisha mwenyewe kama "mzee." B
### Je, kitabu cha 2 Yohana kinahusu nini?
Yohana aliandika barua hii kwa mtu aliyemwita "mwanamke aliyechaguliwa" na "watoto wake" (1:1). Hii inaweza kutaja rafiki maalum na watoto wake. Au inaweza kutaja kundi fulani la waumini au waumini kwa ujumla. Kusudi la Yohana la kuandika barua hii lilikuwa kuwaonya wasikilizaji wake kuhusu walimu wa uongo. Yohana hakutaka waumini wawasaidie au watoe fedha kwa walimu wa uongo. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Yohana aliandika barua hii kwa mtu aliyemwita "mwanamke aliyechaguliwa" na "watoto wake" (1:1). Hii inaweza kutaja rafiki maalum na watoto wake. Au inaweza kutaja kundi fulani la waumini au waumini kwa ujumla. Kusudi la Yohana la kuandika barua hii lilikuwa kuwaonya wasikilizaji wake kuhusu walimu wa uongo. Yohana hakutaka waumini wawasaidie au watoe fedha kwa walimu wa uongo. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
### Je, kichwa cha kitabu hiki kinapaswa kutafsiriwaje?
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "2 Yohana" au "Yohana wa Pili." Au wanaweza kuchagua kichwa cha wazi, kama "Barua ya Pili Kutoka kwa Yohana" au "Barua ya Pili Aliyoandika Yohana." (See: rc://*/ta/man/translate/translate-names)
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "2 Yohana" au "Yohana wa Pili." Au wanaweza kuchagua kichwa cha wazi, kama "Barua ya Pili Kutoka kwa Yohana" au "Barua ya Pili Aliyoandika Yohana." (See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-names]])
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za Kidini na za Kitamaduni
@ -29,4 +29,4 @@ Ukarimu ulikuwa dhana muhimu katika Mashariki ya Karibu ya kale. Ilikuwa muhimu
### Je, ni watu gani ambao Yohana alizungumza dhidi yao?
Watu ambao Yohana alizungumza dhidi yao huenda walikuwa wale ambao watajulikana kama Wagnostiki. Watu hawa waliamini kwamba dunia ilikuwa mbaya. Kwa kuwa waliamini kwamba Yesu alikuwa wa kiungu, walikanusha kwamba alikuwa mwanadamu kweli. Hii ni kwa sababu walidhani kuwa Mungu hangeweza kuwa mwanadamu kwa sababu mwili ni mbaya. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/evil)
Watu ambao Yohana alizungumza dhidi yao huenda walikuwa wale ambao watajulikana kama Wagnostiki. Watu hawa waliamini kwamba dunia ilikuwa mbaya. Kwa kuwa waliamini kwamba Yesu alikuwa wa kiungu, walikanusha kwamba alikuwa mwanadamu kweli. Hii ni kwa sababu walidhani kuwa Mungu hangeweza kuwa mwanadamu kwa sababu mwili ni mbaya. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/evil]])

View File

@ -4,11 +4,11 @@
### Kumjua Mungu
Kumjua Mungu inamaanisha kumilikiwa naye ama kuwa na uhusiano naye. Hapa "ujuzi" ni zaidi ya kumjua Mungu na akili. Ni ujuzu unaomfanya Mungu kumuokoa mtu na kumpa neema na amani. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/other/know)
Kumjua Mungu inamaanisha kumilikiwa naye ama kuwa na uhusiano naye. Hapa "ujuzi" ni zaidi ya kumjua Mungu na akili. Ni ujuzu unaomfanya Mungu kumuokoa mtu na kumpa neema na amani. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/other/know]])
### Kuishi maisha ya ya kumcha Mungu
Petero anafundisha kwamba Mungu amewapa waumini yote wanayohitaji kuishi maisha ya kumcha Mungu. Kwa hivyo waumini wafanye kila waezalo kumtii Mungu zaidi. Waumini wakiendelea kufanya hivyo watakuwa imara na wenye manufaa kupitia uhusiano wao na Yesu. Lakini waumini wasipoendelea kuishi maisha ya kumcha Mungu, watakuwa ni kama wamesahau walichofanyiwa na Mungu kupitia kwa Kristo kuwaokoa. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/godly and rc://*/tw/dict/bible/kt/save)
Petero anafundisha kwamba Mungu amewapa waumini yote wanayohitaji kuishi maisha ya kumcha Mungu. Kwa hivyo waumini wafanye kila waezalo kumtii Mungu zaidi. Waumini wakiendelea kufanya hivyo watakuwa imara na wenye manufaa kupitia uhusiano wao na Yesu. Lakini waumini wasipoendelea kuishi maisha ya kumcha Mungu, watakuwa ni kama wamesahau walichofanyiwa na Mungu kupitia kwa Kristo kuwaokoa. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/godly]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/save]])
## Maswala mengine ya utata ya kutafsiri katika sura hii

View File

@ -4,11 +4,11 @@
### Nyama
"Nyama" ni mfano ya asili ya dhambi ya mtu. Siyo sehemu ya kimwili ya binadamu iliyo na dhambi. "Nyama" inawakilisha asili ya binadamu inayokataa vitu vyote vya uungu na kutamani vitu vya kidhambi. Hii ndiyo hali ya binadamu wote kabla ya kumpokea Roho Mtakatifu kwa njia ya kumwamini Yesu Krsito. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/flesh)
"Nyama" ni mfano ya asili ya dhambi ya mtu. Siyo sehemu ya kimwili ya binadamu iliyo na dhambi. "Nyama" inawakilisha asili ya binadamu inayokataa vitu vyote vya uungu na kutamani vitu vya kidhambi. Hii ndiyo hali ya binadamu wote kabla ya kumpokea Roho Mtakatifu kwa njia ya kumwamini Yesu Krsito. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/flesh]])
### Mafundisho fiche
Kuna ulinganifu katika 2:4-8 ambao ni mgumu kuelewa iwapo Agano la kale halijatafsiriwa. Maelezo zaidi ni muhimu. (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-explicit)
Kuna ulinganifu katika 2:4-8 ambao ni mgumu kuelewa iwapo Agano la kale halijatafsiriwa. Maelezo zaidi ni muhimu. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-explicit]])
## Links:

View File

@ -4,11 +4,11 @@
### Moto
Watu hutumia moto mara nyingi kuharibu vitu ama kukifanya kitu kiwe safi kwa kuondoa uchafu na vitu visivyofaa. Kwa hivyo Mungu anapowadhibu waovu ama kuwatakaza watu wake, huwa inalinganishwa na moto. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/other/fire)
Watu hutumia moto mara nyingi kuharibu vitu ama kukifanya kitu kiwe safi kwa kuondoa uchafu na vitu visivyofaa. Kwa hivyo Mungu anapowadhibu waovu ama kuwatakaza watu wake, huwa inalinganishwa na moto. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/other/fire]])
### Siku ya Bwana
Wakati kamili wa kurudi kwa Bwana itakuwa mshangao kwa wengi. Hii ndiyo maana ya tashbihi "kama mwizi wa usiku". Kwa sababu ya haya Wakristo wanafaa wajiandae kwa ajili ya kurudi kwake Bwana. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/dayofthelord and rc://*/ta/man/translate/figs-simile)
Wakati kamili wa kurudi kwa Bwana itakuwa mshangao kwa wengi. Hii ndiyo maana ya tashbihi "kama mwizi wa usiku". Kwa sababu ya haya Wakristo wanafaa wajiandae kwa ajili ya kurudi kwake Bwana. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/dayofthelord]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-simile]])
## Links:

View File

@ -19,7 +19,7 @@ Petero aliandika barua hii kuwapa moyo waumini waishi maisha mema. Aliwaonya kuh
### Kichwa cha kitabu hiki kinastahili kutafsiriwa namna gani?
Watafsiri wanaweza kukiita kitabu hiki kutumia jina lake la kitamaduni, "2 Petero" ama "Petero wa Pili" ama wanawezatumia kichwa kinachoeleweka zaidi kama, "Barua ya Pili kutoka kwa Petero" ama "Barua ya pili aliyoandika Petero" (Tazama: rc://*/ta/man/translate/translate-names)
Watafsiri wanaweza kukiita kitabu hiki kutumia jina lake la kitamaduni, "2 Petero" ama "Petero wa Pili" ama wanawezatumia kichwa kinachoeleweka zaidi kama, "Barua ya Pili kutoka kwa Petero" ama "Barua ya pili aliyoandika Petero" (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/translate-names]])
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za kidini na kitamaduni
@ -35,7 +35,7 @@ Mafundisho ya Maandiko ni muhimu sana. 2 Petero inawasaidia wasomaji kuelewa kwa
### Umoja na wingi wa "Wewe" na "Nyinyi"
Katika kitabu hiki, neno "mimi" linaashiria Petero. Pia neno "Nyinyi" linaashiria hadhira ya Petero. (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-exclusive and rc://*/ta/man/translate/figs-you)
Katika kitabu hiki, neno "mimi" linaashiria Petero. Pia neno "Nyinyi" linaashiria hadhira ya Petero. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-exclusive]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-you]])
### Ni maswala gani muhimu katika maandiko ya kitabu cha 2 Petero?
@ -46,4 +46,4 @@ Katika mistari ifuatayo, matoleo ya kisasa ya Bibilia yanatofautiana na matoleo
* "Beori"(2:15) matoleo mengine yanasoma, "Bosori".
* "Vitu vya asili vitachomwa kwa moto na ardhi na matendo yao yatatambulishwa" (3;10). Matoleo mengine yana, "Vitu vya asili vitachomwa kwa moto na ardhi na matendo yaliyomo vitachomeka."
(See: [[rc://*/ta/man/jit/translate-textvariants]])
(See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-textvariants]])

View File

@ -4,15 +4,15 @@
### "Kukusanyika pamoja "ili tukae naye"
Kifungu hiki kinaashiria wakati ambapo Yesu anawaita wale wanaomwamini. Wasomi wanatofautiana iwapo hii inaashiria kurudi kwa Yesu kwa mwisho kwa utukufu ama kama si hivyo.(Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/believe)
Kifungu hiki kinaashiria wakati ambapo Yesu anawaita wale wanaomwamini. Wasomi wanatofautiana iwapo hii inaashiria kurudi kwa Yesu kwa mwisho kwa utukufu ama kama si hivyo.(Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/believe]])
### Mtu muasi
Hii ni sawa na "mwana wa uharibifu" na "yule muasi" katika sura hii.Paulo anamhusisha na Shetani ambaye anafanya kazi kwa bidii duniani. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/antichrist)
Hii ni sawa na "mwana wa uharibifu" na "yule muasi" katika sura hii.Paulo anamhusisha na Shetani ambaye anafanya kazi kwa bidii duniani. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/antichrist]])
### Anakaa ndani ya hekalu la Mungu
Huenda Paulo anarejelea hekalu la Yerusalemu ambalo liliharibiwa na Warumi miaka chache baada ya kuandika hii barua. Ama anarejelea kwa hekalu lijalo la ukweli, ama kanisa kama hekalu la kiroho la Mungu.(Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-explicit)
Huenda Paulo anarejelea hekalu la Yerusalemu ambalo liliharibiwa na Warumi miaka chache baada ya kuandika hii barua. Ama anarejelea kwa hekalu lijalo la ukweli, ama kanisa kama hekalu la kiroho la Mungu.(Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-explicit]])
## Links:

View File

@ -4,11 +4,11 @@
### watu wasiofanya kazi na wavivu
atika mji wa Thesalonike, inaonekana kulikuwa na shida ya watu katika kanisa ambao walikuwa na uwezo wa kufanya kazi lakini wakakataa kufanya hivyo. (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-explicit)
atika mji wa Thesalonike, inaonekana kulikuwa na shida ya watu katika kanisa ambao walikuwa na uwezo wa kufanya kazi lakini wakakataa kufanya hivyo. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-explicit]])
### Utafanya nini ndugu yako akitenda dhambi?
Katika sura hii Paulo anawafundisha Wakristo kwamba wanastahili kuishi kwa njia inayomheshimu Mungu. Wakristo pia wanastahili kuhimizana na kuajibikiana wanachotenda.Kanisa pia lina wajibu wa kuwahimiza waumini kutubu wakati wanatenda dhambi. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/repent and rc://*/tw/dict/bible/kt/sin)
Katika sura hii Paulo anawafundisha Wakristo kwamba wanastahili kuishi kwa njia inayomheshimu Mungu. Wakristo pia wanastahili kuhimizana na kuajibikiana wanachotenda.Kanisa pia lina wajibu wa kuwahimiza waumini kutubu wakati wanatenda dhambi. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/repent]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]])
## Links:

View File

@ -33,7 +33,7 @@ Paulo aliandika barua hii kwa waumini katika mji wa Thesalonike. Aliwatia moyo w
### Kichwa cha Kitabu hiki kinastahili kutafsiriwa namna gani?
Watafsiri wanaweza amuru kukiita kitabu hiki kutumia kichwa chake cha kitamaduni, "2 Wathesalonike" ama " Wathesalonike wa pili." ama wanaweza chagua kichwa kinachoeleweka zaidi kama, "Barua ya pili kwa kanisa la Thesalonike," ama "Barua ya pili kwa Wakristo wa Thesalonike," (Tazama: rc://*/ta/man/translate/translate-names)
Watafsiri wanaweza amuru kukiita kitabu hiki kutumia kichwa chake cha kitamaduni, "2 Wathesalonike" ama " Wathesalonike wa pili." ama wanaweza chagua kichwa kinachoeleweka zaidi kama, "Barua ya pili kwa kanisa la Thesalonike," ama "Barua ya pili kwa Wakristo wa Thesalonike," (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/translate-names]])
## Sehemu 2: Dhana muhimu za kidini na kitamaduni
@ -54,4 +54,4 @@ Katika mistari ifuatayo, matoleo ya kisasa yanatofautiana na matoleo ya kale.ULB
* "Na yule mtu wa kuasi anatambulishwa" (2:3). ULB na UDB na matoleo mengi ya kisasa husoma hivi.Matoleo ya awali yanasoma, "na yule mtu wa dhambi anatambulishwa."
* "Kwa maana Mungu aliwachagua kama matunda ya kwanza ya wokovu" (2:13) ULB, UDB, na matoleo mengine husoma hivi. Matoleo mengine yanasoma, "Kwa vile Mungu aliwachagua "kutoka mwanzo kwa ajili ya wokovu."
(See: [[rc://*/ta/man/jit/translate-textvariants]])
(See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-textvariants]])

View File

@ -4,13 +4,13 @@
### Watoto wa kiroho
Paulo alimfundisha Timotheo kuwa Mkristo na kiongozi wa kanisa. Kuna uwezekano kwamba Paulo pia alimuongoza kumwamini Kristo. Kwa maana hiyo Paulo anamwita Timotheo (Mwanangu mpendwa" (Tazama:rc://*/tw/dict/bible/kt/disciple and rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit))
Paulo alimfundisha Timotheo kuwa Mkristo na kiongozi wa kanisa. Kuna uwezekano kwamba Paulo pia alimuongoza kumwamini Kristo. Kwa maana hiyo Paulo anamwita Timotheo (Mwanangu mpendwa" (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/disciple]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit]]))
## Maswala mengine ya utata katika kutafsiri sura hii
### Mateso makali
Paulo alikuwa gerezani wakati akiandika barua hii. Paulo anamhimiza Timotheo kuwa tayari kuteseka kwa sababu ya injili. (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-explicit)
Paulo alikuwa gerezani wakati akiandika barua hii. Paulo anamhimiza Timotheo kuwa tayari kuteseka kwa sababu ya injili. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-explicit]])
## Links:

View File

@ -8,7 +8,7 @@ Matoleo mengine yanaweka maneno kulia kwa ukurasa kuliko maandishi mengine. ULB
### "Tutatawala naye
Wakristo waaminifu watatawala pamoja na Kristo siku zijazo. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/faithful)
Wakristo waaminifu watatawala pamoja na Kristo siku zijazo. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faithful]])
## Mifano muhimu ya usemi katika sura hii

View File

@ -2,7 +2,7 @@
## Muundo na Mpangilio
"Siku za mwisho" inaweza kuwa na maana ya hapo mbeleni kabla ya Kristo kurudi. Kwa hivyo Paulo anatabiri katika mistari 1-9 na 13 kuhusu siku hizo. "Siku za mwisho" pia inaeza maanisha kipindi cha Ukristo (pamoja na wakati wa Paulo).Kwa hivyo anayofundisha Paulo kuhusu mateso yanahusu Wakristo wote. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/prophet and rc://*/tw/dict/bible/kt/lastday)
"Siku za mwisho" inaweza kuwa na maana ya hapo mbeleni kabla ya Kristo kurudi. Kwa hivyo Paulo anatabiri katika mistari 1-9 na 13 kuhusu siku hizo. "Siku za mwisho" pia inaeza maanisha kipindi cha Ukristo (pamoja na wakati wa Paulo).Kwa hivyo anayofundisha Paulo kuhusu mateso yanahusu Wakristo wote. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/prophet]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lastday]])
## Links:

View File

@ -21,7 +21,7 @@ Paulo alikuwa amemwacha Timotheo katika mji wa Efeso ili awasaidie waumini huko.
### Kichwa cha kitabu hiki kitafsiriwe namna gani?
Watafsiri wanaweza amua kukiita kitabu hiki kutumia jina la asili "2Timotheo" ama wanaweza tumia kichwa cha kueleweka zaidi kama "Barua ya Pili ya Paulo kwa Timotheo", ama "Barua ya Pili Kwa Timotheo."(Tazama: rc://*/ta/man/translate/translate-names)
Watafsiri wanaweza amua kukiita kitabu hiki kutumia jina la asili "2Timotheo" ama wanaweza tumia kichwa cha kueleweka zaidi kama "Barua ya Pili ya Paulo kwa Timotheo", ama "Barua ya Pili Kwa Timotheo."(Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/translate-names]])
## Sehemu ya 2 Dhana muhimu za kidini na kitamaduni
@ -37,7 +37,7 @@ Mungu ndiye mwandishi halisi wa maandiko. Aliwaongoza waandishi binadamu. Hii in
### Umoja na wingi wa "wewe/nyinyi"
Neno "mimi" katika kitabu hiki linaashiria Paulo. "Wewe" inamaanisha Timotheo. Tofauti ya haya ni 4:22 (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-exclusive and rc://*/ta/man/translate/figs-you)
Neno "mimi" katika kitabu hiki linaashiria Paulo. "Wewe" inamaanisha Timotheo. Tofauti ya haya ni 4:22 (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-exclusive]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-you]])
### Paulo alimaanisha nini na maelezo "ndani ya Kristo" na "ndani ya Bwana" na kadhalika?
@ -50,4 +50,4 @@ Katika aya zifuatazo,matoleo ya kisasa yanatofautiana na matoleo ya kale. Toleo
* "Kwa sababu hii niliteuliwa kuwa mhubiri, mtume na mwalimu."(1:11) Matoleo mengine yanasoma, "Kwa sababu hii,niliteuliwa kuwa mhubiri, mtume na mwalimu wa watu wa Mataifa."
* "Waonye mbele za Mungu" (2:14). Matoleo mengine ya zamani yanasoma, "Waonye mbele za Bwana."
(See: [[rc://*/ta/man/jit/translate-textvariants]])
(See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-textvariants]])

View File

@ -19,7 +19,7 @@ Yohana aliandika barua hii kwa muumini mmoja aitwaye Gayo. Alimwambia Gayo awe n
### Je, kichwa cha kitabu hiki kinapaswa kutafsiriwaje?
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "3 Yohana" au "Yohana wa Tatu." Au wanaweza kuchagua kichwa cha wazi, kama "Barua ya Tatu Kutoka kwa Yohana" au "Barua ya Tatu Aliyoandika Yohana." (See: rc://*/ta/man/translate/translate-names)
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "3 Yohana" au "Yohana wa Tatu." Au wanaweza kuchagua kichwa cha wazi, kama "Barua ya Tatu Kutoka kwa Yohana" au "Barua ya Tatu Aliyoandika Yohana." (See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-names]])
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za Kidini na za Kitamaduni

View File

@ -2,7 +2,7 @@
## Muundo na mpangilio
Sura hii inarekodi tukio,kawaida linajulikana kama "kupaa", wakati Yesu alirudi mbinguni baada ya ufufuko wake. Hatarudi tena mpaka "Ujio wake wa pili." (rejelea: rc://*/tw/dict/bible/kt/heaven and rc://*/tw/dict/bible/kt/resurrection).
Sura hii inarekodi tukio,kawaida linajulikana kama "kupaa", wakati Yesu alirudi mbinguni baada ya ufufuko wake. Hatarudi tena mpaka "Ujio wake wa pili." (rejelea: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/heaven]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/resurrection]]).
Toleo la UDB limeweka maneno "Kwa mpendwa Theofila" kando na maneno mengine. Hii ni kwa sabau Waiingereza huanza kuandika barua namna hivi. Unaeza anza kitabu hiki jinzi watu huanza kuandika waraka katika mila yako.
@ -12,7 +12,7 @@ Tafsiri zingine zinanukuu kutoka Agano la Kale kwenye kulia kwa ukurasa kuliko m
### BATIZA
Neno "batiza" lina maana mbili katika sura huu. Inaashiria ubatizo wa Yohana na ubatizo wa Roho Mtakatifu (Matendo 1:5). (Tazama: : rc://*/tw/dict/bible/kt/baptize)
Neno "batiza" lina maana mbili katika sura huu. Inaashiria ubatizo wa Yohana na ubatizo wa Roho Mtakatifu (Matendo 1:5). (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/baptize]])
### "Alizungumza kuhusu ufalme wa Mungu"
@ -40,7 +40,7 @@ Kuna uwezekano ya kwamba Thadayo na Yuda wa Yakobo ni mtu mmoja
### Akeldama
Hili ni neno la Kihebrania au Kiaramaiki. Luka alitumia maneno ya Kigiriki ili wasomaji wake wajue lilivyotamkua,kisha akawaeleza maana yake. Unatakikana kulitamka jinsi linalatamkwa kwa lugha yako kisha ukaeleza maana yake.(Tazama: rc://*/ta/man/translate/translate-transliterate)
Hili ni neno la Kihebrania au Kiaramaiki. Luka alitumia maneno ya Kigiriki ili wasomaji wake wajue lilivyotamkua,kisha akawaeleza maana yake. Unatakikana kulitamka jinsi linalatamkwa kwa lugha yako kisha ukaeleza maana yake.(Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/translate-transliterate]])
## Links:

View File

@ -16,15 +16,15 @@ Neno "ndimi" lina maana mbili katika sura hii. Luka anaelezea kilichoshuka kutok
### SIKU ZA MWISHO
Hakuna ajuaye wakati "Siku za mwisho" (Matendo 2:17) zilipoanza. Tafsiri yako lazima isielezee zaidi ya ULB inavyoeleza. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/lastday)
Hakuna ajuaye wakati "Siku za mwisho" (Matendo 2:17) zilipoanza. Tafsiri yako lazima isielezee zaidi ya ULB inavyoeleza. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lastday]])
### Batiza
Neno "batiza" katika sura hii linaashiria ubatizo wa Wakristo (Matendo 2:38-41). Ingawa tukio lililotajwa katika Matendo 2:1-11 ni ubatizo wa Roho Mtakatiu ambao Yesu aliahidi katika Matendo (1:5, neno "batiza" hapa halikuashiria hilo tukio (tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/baptize).
Neno "batiza" katika sura hii linaashiria ubatizo wa Wakristo (Matendo 2:38-41). Ingawa tukio lililotajwa katika Matendo 2:1-11 ni ubatizo wa Roho Mtakatiu ambao Yesu aliahidi katika Matendo (1:5, neno "batiza" hapa halikuashiria hilo tukio (tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/baptize]]).
### Unabii wa Yoeli
Utabiri mwingi wa Yoeli ulitimilika katika siku ya Pentekoste (Matendo 2:17-18), lakini vitu vingine alivyosema Yoeli havikutendeka (Matendo 2:19-20). (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/prophet)
Utabiri mwingi wa Yoeli ulitimilika katika siku ya Pentekoste (Matendo 2:17-18), lakini vitu vingine alivyosema Yoeli havikutendeka (Matendo 2:19-20). (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/prophet]])
### Maajabu na ishara

View File

@ -10,7 +10,7 @@ Sura hii inaeleza kwamba Yesu alikuja kwa Wayahudi kwa sababu Mungu alikuwa akit
### "Mliyemtia mikononi mwa wakuu"
Warumi ndio waliomuua Yesu, lakini walimuua kwa sababu Wayahudi walimkamata, wakamleta kwa Warumi, wakawaambia wamuue. Kwa sababu hii, Petero alifikiri kwamba hao ndio waliokuwa na hatia ya kumuua Yesu. Lakini anawaeleza yakwamba hao ndio wa kwanza ambao Mwenyezi Mungu ametuma wafuasi wa Yesu kuwakaribisha watubu (Luka 3:26). (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/repent)
Warumi ndio waliomuua Yesu, lakini walimuua kwa sababu Wayahudi walimkamata, wakamleta kwa Warumi, wakawaambia wamuue. Kwa sababu hii, Petero alifikiri kwamba hao ndio waliokuwa na hatia ya kumuua Yesu. Lakini anawaeleza yakwamba hao ndio wa kwanza ambao Mwenyezi Mungu ametuma wafuasi wa Yesu kuwakaribisha watubu (Luka 3:26). (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/repent]])
## Links:

View File

@ -18,7 +18,7 @@ Maneno haya yanaashiria vitu ambavyo vinaeza kufanywa tu na Mungu. Wakristo wali
### Jiwe la pembeni
Jiwe la pembeni lilikuwa kipande cha jiwe kilichowekwa chini wakati wa ujenzi wa jengo. Neno hili limetumika kumaanisha sehemu muhimu ya kitu,ile sehemu tegemeo. Kusema ya kwamba Yesu ni jiwe kuu la pembeni la kanisa ni kusema kwamba hakuna kitu ndani ya kanisa kilicho na umuhimu kuliko Yesu na ya kwamba kila kitu ndani ya kanisa kinamtegemea, (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor and rc://*/tw/dict/bible/kt/faith)
Jiwe la pembeni lilikuwa kipande cha jiwe kilichowekwa chini wakati wa ujenzi wa jengo. Neno hili limetumika kumaanisha sehemu muhimu ya kitu,ile sehemu tegemeo. Kusema ya kwamba Yesu ni jiwe kuu la pembeni la kanisa ni kusema kwamba hakuna kitu ndani ya kanisa kilicho na umuhimu kuliko Yesu na ya kwamba kila kitu ndani ya kanisa kinamtegemea, (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]])
## Sehemu zingine zenye utata katika tafsiri ya sura hii.

View File

@ -24,11 +24,11 @@ Mwandishi anapolizungumzia jambo ambalo si muhimu kwa wakati huo lakini litakuja
### Mawasiliano yaliyolengwa
Stefano alikuwa akizungumza na Wayahudi walizifahamu vyema sheria za Musa na kwa hivyo hakufafanua vitu ambavyo wasikilizaji wake walikuwa wanajua mbele. Lakini utahitajika kueleza baadhi ya vitu hivi ili wasomi wako waweze kuelewa alichokuwa anasema Stefano. Kwa mfano labda utaeleza vizuri kwamba wakati ndugu zake Yusufu "walimuuza Misri" (Matendo 7:9), Yosufu alikuwa anaenda kuwa mtumwa Misri, (tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-metonymy)
Stefano alikuwa akizungumza na Wayahudi walizifahamu vyema sheria za Musa na kwa hivyo hakufafanua vitu ambavyo wasikilizaji wake walikuwa wanajua mbele. Lakini utahitajika kueleza baadhi ya vitu hivi ili wasomi wako waweze kuelewa alichokuwa anasema Stefano. Kwa mfano labda utaeleza vizuri kwamba wakati ndugu zake Yusufu "walimuuza Misri" (Matendo 7:9), Yosufu alikuwa anaenda kuwa mtumwa Misri, (tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metonymy]])
### Metonymy
Stefano alizungumzia Yusufu kuongoza "Juu ya Misri" na juu ya nyumba ya Farao. Hapa alimaanisha ya kwamba Yusufu aliongoza watu wa Misri na watu na mali yote iliyokuwa ndani ya nyumba ya Farao (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-metonymy).
Stefano alizungumzia Yusufu kuongoza "Juu ya Misri" na juu ya nyumba ya Farao. Hapa alimaanisha ya kwamba Yusufu aliongoza watu wa Misri na watu na mali yote iliyokuwa ndani ya nyumba ya Farao (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metonymy]]).
## Matatizo mengine ya tafsiri katika sura hii

View File

@ -4,7 +4,7 @@
### Chafu(Najisi)
Wayahudi waliamini kwamba waliamini walitembelea ama kula na watu wa mataifa. Hii ni kwa sababu Wafarisayowalikuwa wameunda sheria kinyume nayo kwa vile walitaka watu wasikule chakula ambacho sheria Musa ilisema ni najisi. Sheria ya Musa ilisema kwamba chakula kingine kilikuwa najisi lakini haikusema kwamba watu hawakustahili kutembelea ama kula na watu wa mataifa. (Tazama:rc://*/tw/dict/bible/kt/clean and rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses)
Wayahudi waliamini kwamba waliamini walitembelea ama kula na watu wa mataifa. Hii ni kwa sababu Wafarisayowalikuwa wameunda sheria kinyume nayo kwa vile walitaka watu wasikule chakula ambacho sheria Musa ilisema ni najisi. Sheria ya Musa ilisema kwamba chakula kingine kilikuwa najisi lakini haikusema kwamba watu hawakustahili kutembelea ama kula na watu wa mataifa. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/clean]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]])
### Ubatizo na Roho Mtakatifu

View File

@ -8,7 +8,7 @@ Sura ya 12 inatuelezea kilichomtendekea mfalme Herode wakati Barnabas alikuwa an
### Kuwa na mfano wa kibinadamu
"Neno la Mungu" linazungumziwa kana kwamba ni kiumbe kinachoweza kumea na kuzaana. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/wordofgod and rc://*/ta/man/translate/figs-personification)
"Neno la Mungu" linazungumziwa kana kwamba ni kiumbe kinachoweza kumea na kuzaana. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/wordofgod]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-personification]])
## Links:

View File

@ -12,7 +12,7 @@ Nusu ya pili ya kitabu cha Matendo inaanzia katika sura hii. Luka anaandika zaid
### Mwanga kwa watu wa mataifa
Mara nyingi Biblia huzungumzia watu wasio wanyoofu, watu wasiotenda yanayomfurahisha Mungu,kana kwamba ni watu watembeayo kwa giza. Inazungumzia mwanga kana kwamba ndio unaweazesha wenye dhambi kubadilika ili wafahamu kwamba wanachotenda ni kibaya na waanze kumtii Mungu. Wayahudi waliwachukulia watu wote wa mataifa kama watembeao kwa giza lakini Paulo na Barnaba wakazungumzia watu wa mataifa kumhusu Yesu kama watakaoenda kuwaletea mwanga wa kawaida. (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor and rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous)Jesus as if they were going to bring them physical light. (See: [[rc://*/ta/man/jit/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]])
Mara nyingi Biblia huzungumzia watu wasio wanyoofu, watu wasiotenda yanayomfurahisha Mungu,kana kwamba ni watu watembeayo kwa giza. Inazungumzia mwanga kana kwamba ndio unaweazesha wenye dhambi kubadilika ili wafahamu kwamba wanachotenda ni kibaya na waanze kumtii Mungu. Wayahudi waliwachukulia watu wote wa mataifa kama watembeao kwa giza lakini Paulo na Barnaba wakazungumzia watu wa mataifa kumhusu Yesu kama watakaoenda kuwaletea mwanga wa kawaida. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]]) Jesus as if they were going to bring them physical light. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]])
## Links:

View File

@ -4,11 +4,11 @@
### "Ujumbe wa neema yake"
Ujumbe wa Yesu ni ujumbe wa Mungu ambao huwapa neema wanaomuamini Yesu. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/grace and rc://*/tw/dict/bible/kt/believe)
Ujumbe wa Yesu ni ujumbe wa Mungu ambao huwapa neema wanaomuamini Yesu. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/grace]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/believe]])
### Zeu na Herme
Watu wa mataifa katika himaya ya Warumi waliabudu miungu wengi ambao hawakuwepo. Paulo na Barnaba waliaambia kuamini katika "Mungu aliye hai" Yahwe. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/falsegod)
Watu wa mataifa katika himaya ya Warumi waliabudu miungu wengi ambao hawakuwepo. Paulo na Barnaba waliaambia kuamini katika "Mungu aliye hai" Yahwe. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/falsegod]])
## Maswala mengine tata kwenye tafsiri ya sura hii.

View File

@ -4,11 +4,11 @@
### Kutoelewana kuhusu Maasiya
Wayahudi walimtarajia Kristo ama Maasiya awe mfalme mwenye nguvu kwa vile Agano la Kale limesema hivyo mara nyingi. Agano hilo pia lizungumzia wakati ambapo Maasiya angeteseka na hayo ndio Paulo alikuwa akiwaambia Wayahudi. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/christ)
Wayahudi walimtarajia Kristo ama Maasiya awe mfalme mwenye nguvu kwa vile Agano la Kale limesema hivyo mara nyingi. Agano hilo pia lizungumzia wakati ambapo Maasiya angeteseka na hayo ndio Paulo alikuwa akiwaambia Wayahudi. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/christ]])
### Dini ya Athene
Paulo alisema kwamba watu wa Athene walikuwa watu wa "Kidini" lakini hawakumuabudu Yahweh. Waliiabudu miungu wengi wasio kweli. Hapo awali waliwaleta watu wengi chini ya utawala wao na baadaye wakaanza kuabudu miungu zao. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/falsegod)
Paulo alisema kwamba watu wa Athene walikuwa watu wa "Kidini" lakini hawakumuabudu Yahweh. Waliiabudu miungu wengi wasio kweli. Hapo awali waliwaleta watu wengi chini ya utawala wao na baadaye wakaanza kuabudu miungu zao. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/falsegod]])
Katika sura hii Luka anafafanua kwa mara ya kwanza jinsi Paulo alivyo waambia ujumbe wa Kristo kwa wale hawakufahamu lololete kuhusiana na agano la kale.

View File

@ -4,7 +4,7 @@
### Ubatizo wa Yohana
Wayahudi wengine walioishi mbali kutoka Yerusalemu na Judea walisikia kumhusu Yohane Mbatizaji na wakafuata mafundisho yake. Walikuwa bado kusikia habari za Yesu. Mmoja wa hao aliitwa Apollo. Alimfuata Yohane Mbatizaji lakini hakufahamu kwamba Maasiya alikuwa aliisha kuja. Yohane aliwabatiza watu kuonyesha ya kwamba walitubu dhambi zao na lakini ubatizo huu ulikuwa tofauti na ubatizo wa Kikristo. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/faithful and rc://*/tw/dict/bible/kt/christ and rc://*/tw/dict/bible/kt/repent)
Wayahudi wengine walioishi mbali kutoka Yerusalemu na Judea walisikia kumhusu Yohane Mbatizaji na wakafuata mafundisho yake. Walikuwa bado kusikia habari za Yesu. Mmoja wa hao aliitwa Apollo. Alimfuata Yohane Mbatizaji lakini hakufahamu kwamba Maasiya alikuwa aliisha kuja. Yohane aliwabatiza watu kuonyesha ya kwamba walitubu dhambi zao na lakini ubatizo huu ulikuwa tofauti na ubatizo wa Kikristo. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faithful]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/christ]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/repent]])
## Links:

View File

@ -8,7 +8,7 @@ Katika sura hii Luka anafafanua safari ya mwisho ya Paulo kwa waumini walioko ka
### Kupiga mbio
Paulo alifananisha maisha ndani ya Yesu kan kwamba alikuwa kwa mashindano ya kupiga mbio. Alimaanisha kwamba alihitaji kuendelea kufanya bidii sana hata kama mambo hayakumwendea vyema mpaka akataka kuachia njiani. (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor and rc://*/tw/dict/bible/kt/discipline)
Paulo alifananisha maisha ndani ya Yesu kan kwamba alikuwa kwa mashindano ya kupiga mbio. Alimaanisha kwamba alihitaji kuendelea kufanya bidii sana hata kama mambo hayakumwendea vyema mpaka akataka kuachia njiani. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/discipline]])
### "Kulazimishwa na Roho"

View File

@ -8,7 +8,7 @@ Tafsiri zingine zinanukuu kutoka Agano la Kale kwenye kulia kwa ukurasa kuliko m
### Ufufuko wa wafu
Wafarisayo waliamini kwamba baada ya watu kufa, wangefufuka tena na Mungu awazawadie ama awaadhibu. Wasadukayo waliamini kwamba pindi watu wanapokufa,hawangefufuka. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/other/raise and rc://*/tw/dict/bible/other/reward)
Wafarisayo waliamini kwamba baada ya watu kufa, wangefufuka tena na Mungu awazawadie ama awaadhibu. Wasadukayo waliamini kwamba pindi watu wanapokufa,hawangefufuka. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/other/raise]] and [[rc://*/tw/dict/bible/other/reward]])
### "Waliita laana"

View File

@ -4,7 +4,7 @@
### Neema/Msaada maalum
Neno hili limetumika kwa njia mbili katika sura hii. Wakati viongozi Wa Wayahudi walipomwomba Festus neema, walikuwa wanamuomba kuwafanyia kitu maalum ambacho hajazoea kukifanya. Wakati Festus "alitaka kupata neema ya Wayahudi", alitaka wakuwe kama yeye na wakuwe" tayari kumtii miezi na miaka inayokuja. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/favor)
Neno hili limetumika kwa njia mbili katika sura hii. Wakati viongozi Wa Wayahudi walipomwomba Festus neema, walikuwa wanamuomba kuwafanyia kitu maalum ambacho hajazoea kukifanya. Wakati Festus "alitaka kupata neema ya Wayahudi", alitaka wakuwe kama yeye na wakuwe" tayari kumtii miezi na miaka inayokuja. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/favor]])
### Uraia wa Urumi

View File

@ -10,7 +10,7 @@ Paulo alimwelezea Mfalme Agripa kwa nini alikitenda alichokitenda na ya kwamba m
### Mwanga na giza
Kila mara Biblia huzungumzia watu wasiokuwa waadilifu, watu wasiotenda yanayompendeza Mungu kana kwamba wanatembea gizani. Inazungumzia mwanga kama kinachowawezesha wenye dhambi kuwa waadilifu baada ya kugundua kwamba wanachofanya si kizuri na kumheshimu Mungu. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous)
Kila mara Biblia huzungumzia watu wasiokuwa waadilifu, watu wasiotenda yanayompendeza Mungu kana kwamba wanatembea gizani. Inazungumzia mwanga kama kinachowawezesha wenye dhambi kuwa waadilifu baada ya kugundua kwamba wanachofanya si kizuri na kumheshimu Mungu. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]])
## Links:

View File

@ -8,7 +8,7 @@ Watu walioishi karibu na bahari walisafiri kutumia boti zilizosukumwa na upepo.
### Uaminifu
Paulo alimwamini Mungu kama atamwezesha kusafiri kwa usalam hadi atakapofika inchi kavu. Aliwaambia mabaharia na wanajeshi kuamini pia kwamba Mungu atachunga maisha yao. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/trust)
Paulo alimwamini Mungu kama atamwezesha kusafiri kwa usalam hadi atakapofika inchi kavu. Aliwaambia mabaharia na wanajeshi kuamini pia kwamba Mungu atachunga maisha yao. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/trust]])
### Paulo anaumega mkate

View File

@ -53,4 +53,4 @@ Katika maandiko yafuatayo,haijulikani yaliyosema maandiko ya awali, Watafsiri wa
* "Aliwavumilia" (Matendo 13:18). Matoleo mengine husema, "Aliwahudumia".
* "Haya ndiyo Bwana asema, yeye aliyeyatenda haya mambo yaliyojulikana tangu zamano."(Matendo 15:17-18). Matoleo ya awali yasema, "Bwana asema, kwake ambako matendo yake yanajulikana kwanzia zamani."
(See: [[rc://*/ta/man/jit/translate-textvariants]]
(See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-textvariants]]

View File

@ -10,13 +10,13 @@ Paulo anazungumzia maswala mawili katika sura hii: Kristo ni nani na amefanyia W
### Ukweli wa siri
Paulo anaashiria ukweli wa siri katika sura hii. Jukumu la kanisa katika mipango ya Mungu halikujulikana hapo mwanzo. Lakini sasa Mungu amelitambulisha. Moja ya siri hii inahusisha watu wa Mataifa kuwa na nafasi sawa na Wayahudi katika mipango ya Mungu. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/reveal).
Paulo anaashiria ukweli wa siri katika sura hii. Jukumu la kanisa katika mipango ya Mungu halikujulikana hapo mwanzo. Lakini sasa Mungu amelitambulisha. Moja ya siri hii inahusisha watu wa Mataifa kuwa na nafasi sawa na Wayahudi katika mipango ya Mungu. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/reveal]]).
## Mifano muhimu katika sura hii
### Picha za maisha ya Kikristo
Paulo anatumia picha nyingi kuelezea maisha ya Kikristo katika sura hii. Anatumia mifano ya "kutembea" na "Kuzaa matunda." (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/other/fruit
Paulo anatumia picha nyingi kuelezea maisha ya Kikristo katika sura hii. Anatumia mifano ya "kutembea" na "Kuzaa matunda." (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/other/fruit]]
## Sehemu zingine zenye utata katika tafsiri ya sura hii

View File

@ -14,7 +14,7 @@ Hili ni swala ngumu. Labda "nyama" inatumiwa kama mfano ya asili yetu ya dhambi
### Maana iliyosemwa
Paulo amevitaja vitu vingi katika sura hii kuashiria mambo yaliyokuwa yanalikumba kanisa la Wakolosai. Ni vyema kuacha maandiko yabaki bila kuelezea kwa uwazi kuhusu maswala yenyewe ya ukweli, (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-explicit)
Paulo amevitaja vitu vingi katika sura hii kuashiria mambo yaliyokuwa yanalikumba kanisa la Wakolosai. Ni vyema kuacha maandiko yabaki bila kuelezea kwa uwazi kuhusu maswala yenyewe ya ukweli, (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-explicit]])
## Links:

View File

@ -8,13 +8,13 @@ Sehemu ya pili ya sura hii inafanana na Waefeso 5 na 6.
### Nafsi ya kale na nafsi mpya
Nafsi ya kale na nafsi mpya inamaanisha mtu wa kale na mtu mpya. Neno "Mtu wa kale" humaanisha asili ya dhambi ambayo mtu huzaliwa nayo. "Mtu mpya" ni asili mpya ama maisha mapya ambayo Mungu humpa mtu baada ya kuanza kumwamini Kristu. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/sin and rc://*/tw/dict/bible/kt/faith)
Nafsi ya kale na nafsi mpya inamaanisha mtu wa kale na mtu mpya. Neno "Mtu wa kale" humaanisha asili ya dhambi ambayo mtu huzaliwa nayo. "Mtu mpya" ni asili mpya ama maisha mapya ambayo Mungu humpa mtu baada ya kuanza kumwamini Kristu. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]])
## Sehemu zingine zenye utata katika tafsiri ya "sura hii
### Tabia
Maswala mengi Paulo anawahimiza wasomaji wake kufuata ama kuacha siyo matendo bali ni tabia. Kwa sababu ya hii, ni ngumu kutafsiri. (Tazama: rc://*/ta/man/translate/figs-abstractnouns)
Maswala mengi Paulo anawahimiza wasomaji wake kufuata ama kuacha siyo matendo bali ni tabia. Kwa sababu ya hii, ni ngumu kutafsiri. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-abstractnouns]])
### "Vitu vilivyo juu"

View File

@ -14,7 +14,7 @@ Ilikuwa kawaida kwa mwandishi wa kale katika inchi za Mashariki ya Karibu kuzung
### Ukweli wa siri
Paulo anaashiria ukweli wa siri katika sura hii. Jukumu la kanisa katika mipango ya Mungu halikujulikana hapo mwanzo. Lakini sasa Mungu amelitambulisha. Moja ya hii siri inahusisha watu wa Mataifa kuwa na nafasi sawa na Wayahudi katika mipango ya Mungu. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/reveal).
Paulo anaashiria ukweli wa siri katika sura hii. Jukumu la kanisa katika mipango ya Mungu halikujulikana hapo mwanzo. Lakini sasa Mungu amelitambulisha. Moja ya hii siri inahusisha watu wa Mataifa kuwa na nafasi sawa na Wayahudi katika mipango ya Mungu. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/reveal]]).
## Links:

View File

@ -24,7 +24,7 @@
- Paulo anamshukuru Tikiko na Onesimo (4:7-9)
- Paulo anatuma salamu kutoka kwa washirika wake (4:10-14)
- Paulo anatoa mwelekeo kwa Arkipo na Wakristu wa Laodikia (4:15-17).
- Salamu za kibinafsi za Paulo (4:18}
- Salamu za kibinafsi za Paulo (4:18)
### Nani aliandika kitabu cha Wakolosai?
@ -38,7 +38,7 @@ Paulo aliandika waraka huu kwa waumini wa Asia Ndogo walioko katika jiji la Kolo
### Kichwa cha Kitabu hiki kitafsiriwe namna gani?
Watafsiri wanaweza amua kukiita kitabu hiki na jina lake la asili, "Wakolosai," ama wanaweza kutumia kichwa cha kueleweka zaidi kama "Barua ya Paulo kwa kanisa la Kolosai", ama "Barua kwa Wakristo wa Kolosai." (Tazama: rc://*/ta/man/translate/translate-names).
Watafsiri wanaweza amua kukiita kitabu hiki na jina lake la asili, "Wakolosai," ama wanaweza kutumia kichwa cha kueleweka zaidi kama "Barua ya Paulo kwa kanisa la Kolosai", ama "Barua kwa Wakristo wa Kolosai." (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/translate-names]]).
## Sehemu ya 2: Maswala muhimu ya kidini na Kitamaduni
@ -48,7 +48,7 @@ Kanisa la Wakolosai lilkuwa na walimu wa uongo. Mafundisho yao kamili hayajulika
### Paulo alitumiaje istiara ya mbingu na nchi?
Kwenye waraka huu, Paulo amezungumzia mara nyingi mbingu kama iliyo juu akiitofautisha na ardhi inayozungumziwa kama iliyo chini. Lengo la istiara hii ni kufundisha Wakristo waishi kwa njia inayomheshimu Mungu aishie juu mbinguni. Paulo hafundishi kwamba dunia hii iliyeumbwa ina uovu. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/evil).
Kwenye waraka huu, Paulo amezungumzia mara nyingi mbingu kama iliyo juu akiitofautisha na ardhi inayozungumziwa kama iliyo chini. Lengo la istiara hii ni kufundisha Wakristo waishi kwa njia inayomheshimu Mungu aishie juu mbinguni. Paulo hafundishi kwamba dunia hii iliyeumbwa ina uovu. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/evil]]).
## Sehemu ya 3: Maswala muhimu ya Tafsiri
@ -77,4 +77,4 @@ Matoleo mengine ya kisasa yanatofautina na ya kale kwenye mistari ifuatayo. Tole
* "Ni kwa sababu ya mambo haya ndipo hasira ya Mungu inakuja kwa wana wasiotii" (3:6). Matoleo ya ULB,UDB ,na mengineyo ya kisasa husema hivi. Hata hivyo, kuna baadhi ya matoleo ya kisasa na ya kale ambayo husema, " Ni kwa sababu ya mambo haya ndipo hasira ya Mungu inakuja."
* 'Ni kwa sababu ya haya mambo nikamtuma kwenu ili myafahamu mambo kutuhusu sisi"(4:8). Matoleo mengine yanasem, "Nilimtuma kwenu "ili ayafahamu mambo kuhusu nyinyi."
(See: [[rc://*/ta/man/jit/translate-textvariants]])
(See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-textvariants]])

View File

@ -10,7 +10,7 @@ Paulo amepanga sehemu ya sura hii kama sala ya sifa kwa Mungu. Lakini Paulo hazu
### Kujaaliwa
Wasomi wengi wanaamini kwamba sura hii inafundisha juu ya somo inayojulikana kama "kujaaliwa." Hii inahusiana na dhana ya Biblia ya "kujaaliwa." Wasomi wengine huchukua hii kuonyesha kwamba Mungu amechagua, tangu kabla ya msingi wa dunia, baadhi ya watu ili kuwaokoa milele. Wakristo wana maoni tofauti juu ya kile Biblia inafundisha juu ya suala hili. Kwa hivyo watafsiri wanahitaji kuwa makini zaidi wakati wa kutafsiri sura hii, hasa kuhusiana na mambo ya usababisho. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/predestine)
Wasomi wengi wanaamini kwamba sura hii inafundisha juu ya somo inayojulikana kama "kujaaliwa." Hii inahusiana na dhana ya Biblia ya "kujaaliwa." Wasomi wengine huchukua hii kuonyesha kwamba Mungu amechagua, tangu kabla ya msingi wa dunia, baadhi ya watu ili kuwaokoa milele. Wakristo wana maoni tofauti juu ya kile Biblia inafundisha juu ya suala hili. Kwa hivyo watafsiri wanahitaji kuwa makini zaidi wakati wa kutafsiri sura hii, hasa kuhusiana na mambo ya usababisho. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/predestine]])
## Links:

View File

@ -2,7 +2,7 @@
## Muundo na upangiliaji
Sura hii inazingatia maisha ya Mkristo kabla ya kumwamini Yesu. Kwa hiyo Paulo anatumia habari hii kuelezea namna maisha ya zamani ya mtu ilivyo tofauti na utambulisho mpya wa Mkristo "katika Kristo." (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/faith)
Sura hii inazingatia maisha ya Mkristo kabla ya kumwamini Yesu. Kwa hiyo Paulo anatumia habari hii kuelezea namna maisha ya zamani ya mtu ilivyo tofauti na utambulisho mpya wa Mkristo "katika Kristo." (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]])
## Dhana maalum katika sura hii
@ -14,7 +14,7 @@ Paulo anafundisha kuhusu kanisa katika sura hii. Kanisa lina makundi mawili tofa
### Wamekufa katika makosa na dhambi"
Paulo anafundisha kwamba wale ambao si Wakristo "wamekufa" katika dhambi zao. Dhambi huwafunga au huwafanya kuwa watumwa. Hii inawafanya kuwa "wamekufa" kiroho . Paulo anaandika kwamba Mungu huwafanya Wakristo kuwa hai katika Kristo. (See: rc://*/tw/dict/bible/other/death, rc://*/tw/dict/bible/kt/sin and rc://*/tw/dict/bible/kt/faith and rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Paulo anafundisha kwamba wale ambao si Wakristo "wamekufa" katika dhambi zao. Dhambi huwafunga au huwafanya kuwa watumwa. Hii inawafanya kuwa "wamekufa" kiroho . Paulo anaandika kwamba Mungu huwafanya Wakristo kuwa hai katika Kristo. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/other/death]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
### Maelezo ya kuishi kidunia
@ -28,7 +28,7 @@ Wasomi fulani wanaamini "hilo" hapa linamaanisha kuokolewa. Wasomi wengine wanaa
### Mwili
Hii ni suala ngumu. "Mwili" ina uwezekano wa kuwa mfano wa asili ya dhambi ya mtu. Maneno ya "Wayunani kimwili" yanaonyesha Waefeso wakati mmoja waliishi bila ya kumjali Mungu. "Mwili" pia hutumiwa katika aya hii kutaja sehemu ya kimwili ya mwanadamu. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/fles
Hii ni suala ngumu. "Mwili" ina uwezekano wa kuwa mfano wa asili ya dhambi ya mtu. Maneno ya "Wayunani kimwili" yanaonyesha Waefeso wakati mmoja waliishi bila ya kumjali Mungu. "Mwili" pia hutumiwa katika aya hii kutaja sehemu ya kimwili ya mwanadamu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/fles]])
## Links:

View File

@ -8,7 +8,7 @@ Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi kuwa upande wa kulia zaidi kuli
### Vipawa vya kiroho
Vipawa vya kiroho ni uwezo usio wa kawaida ambao Roho Mtakatifu huwapa Wakristo baada ya kumwamini Yesu. Paulo anataja hapa baadhi tu ya vipawa vya kiroho. Wasomi wengine wanaamini kwamba Roho Mtakatifu alitoa vipawa vya kiroho kwa waumini katika kanisa la kwanza pekee. Vipawa hivi vya kiroho vilikuwa msingi kwa kuendeleza kanisa. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/faith)
Vipawa vya kiroho ni uwezo usio wa kawaida ambao Roho Mtakatifu huwapa Wakristo baada ya kumwamini Yesu. Paulo anataja hapa baadhi tu ya vipawa vya kiroho. Wasomi wengine wanaamini kwamba Roho Mtakatifu alitoa vipawa vya kiroho kwa waumini katika kanisa la kwanza pekee. Vipawa hivi vya kiroho vilikuwa msingi kwa kuendeleza kanisa. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]])
### Umoja

View File

@ -8,7 +8,7 @@ Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi upande wa kulia zaidi kuliko ma
### Urithi wa ufalme wa Kristo
Hii ni vigumu kuelewa. Baadhi ya wasomi wanaamini kuwa wale wanaoendelea kufanya mambo haya hawataurithi uzima wa milele. Lakini Mungu anaweza kusamehe dhambi zote zilizotajwa katika aya hii. Kwa hiyo washerati, wasio wasafi, au wenye tamaa wakingali wanaweza kupata uzima wa milele ikiwa wanatubu na kumwamini Yesu. Somo la asili zaidi ni "Hakuna mtu ambaye ni mzinzi au msherati, au mlafi (kwani hii ni sawa na kuabudu sanamu) atakayekuwa kati ya watu wa Mungu ambao Kristo anatawala kama mfalme." (UDB) (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/forgive, rc://*/tw/dict/bible/kt/eternity and rc://*/tw/dict/bible/kt/life and rc://*/tw/dict/bible/kt/inherit)
Hii ni vigumu kuelewa. Baadhi ya wasomi wanaamini kuwa wale wanaoendelea kufanya mambo haya hawataurithi uzima wa milele. Lakini Mungu anaweza kusamehe dhambi zote zilizotajwa katika aya hii. Kwa hiyo washerati, wasio wasafi, au wenye tamaa wakingali wanaweza kupata uzima wa milele ikiwa wanatubu na kumwamini Yesu. Somo la asili zaidi ni "Hakuna mtu ambaye ni mzinzi au msherati, au mlafi (kwani hii ni sawa na kuabudu sanamu) atakayekuwa kati ya watu wa Mungu ambao Kristo anatawala kama mfalme." (UDB) (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/forgive]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/eternity]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/life]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/inherit]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii

View File

@ -10,7 +10,7 @@ Paulo hajaandika katika sura hii ikiwa utumwa ni nzuri au mbaya. Paulo anafundis
### Silaha za Mungu
Mfano hii inaelezea jinsi Wakristo wanaweza kujikinga wakati wanavamiwa kiroho. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit and rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Mfano hii inaelezea jinsi Wakristo wanaweza kujikinga wakati wanavamiwa kiroho. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
## Links:

View File

@ -28,7 +28,7 @@ Paulo aliwaandikia barua hii Wakristo wa Waefeso kuwaeleza upendo wake Mungu kwa
### Je, kichwa cha kitabu hiki kinapaswa kutafsiriwaje?
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha asili, "Waefeso." Au wanaweza kuchagua kichwa wazi, kama "Barua ya Paulo kwa Kanisa la Efeso" au "Barua kwa Wakristo huko Efeso." (See: rc://*/ta/man/translate/translate-names)
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha asili, "Waefeso." Au wanaweza kuchagua kichwa wazi, kama "Barua ya Paulo kwa Kanisa la Efeso" au "Barua kwa Wakristo huko Efeso." (See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-names]])
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za Kidini na za Kitamaduni
@ -38,13 +38,13 @@ Maneno yaliyotafsiriwa katika ULB kama "ukweli uliofichwa" au "uliofichwa" hutok
### Je, Paulo alisema nini juu ya wokovu na kuishi kwa haki?
Paulo alisema mengi juu ya wokovu na kuishi kwa haki katika barua hii na katika barua zake nyingi. Alisema kuwa Mungu amekuwa na wema na kuwaokoa Wakristo kwa sababu wanaamini Yesu. Kwa hiyo, baada ya kuwa Wakristo, wanapaswa kuishi kwa njia ya haki ili kuonyesha kuwa wana imani katika Kristo. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous)
Paulo alisema mengi juu ya wokovu na kuishi kwa haki katika barua hii na katika barua zake nyingi. Alisema kuwa Mungu amekuwa na wema na kuwaokoa Wakristo kwa sababu wanaamini Yesu. Kwa hiyo, baada ya kuwa Wakristo, wanapaswa kuishi kwa njia ya haki ili kuonyesha kuwa wana imani katika Kristo. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]])
## Sehemu ya 3: Masuala muhimu ya Tafsiri
### "Wewe" kutumika kwa umoja na wingi
Katika kitabu hiki, neno "Mimi" linamaanisha Paulo. Neno "nyinyi" ni karibu kila mara na linawakilisha waumini ambao wanaweza kusoma barua hii, isipokuwa: 5:14, 6:2, na 6:3. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-you)
Katika kitabu hiki, neno "Mimi" linamaanisha Paulo. Neno "nyinyi" ni karibu kila mara na linawakilisha waumini ambao wanaweza kusoma barua hii, isipokuwa: 5:14, 6:2, na 6:3. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-you]])
### Je, Paulo alimaanisha nini na "Upekee
@ -75,4 +75,4 @@ Aina hii ya usemi hutokea katika 1:1, 3, 4, 6, 7, 9, 10, 11, 12, 13, 15, 20; 2:6
* "katika Efeso" (1:1). Kadhaa ya maandiko ya awali hayajajumuisha maneno haya, lakini labda yamo katika barua ya awali. ULB, UDB, na tafsiri nyingi za kisasa zinayajumuisha.
* "kwa sababu sisi ni viungo vya mwili wake" (5:30). Tafsiri nyingi za kisasa, ikiwa ni pamoja na ULB na UDB, husoma kwa njia hii. Baadhi ya matoleo ya zamani yanasoma, "kwa sababu sisi ni viungo vya mwili wake na mifupa yake." Watafsiri wanaweza kuamua kuchagua usomaji wa pili ikiwa matoleo mengine katika eneo lao yanafanana hivyo. Ikiwa watafsiri wanachagua usomaji wa pili, wanapaswa kuweka maneno ya ziada ndani ya mabano ya mraba ([]) ili kuonyesha kwamba labda asili yao sio Kitabu cha Waefeso.
(See: [[rc://*/ta/man/jit/translate-textvariants]])
(See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-textvariants]])

View File

@ -10,17 +10,17 @@ Dhana maalum katika sura hii
### Uzushi
Mungu milele huwaokoa watu kupitia injili ya kweli, ya kibiblia, tu. Mungu anakataa namuna lolote lingine la injili. Paulo anamwomba Mungu kuwalaani wale wanaofundisha injili ya uwongo. Huenda wasiokolewe. Wanapaswa kutendewa kama wasio Wakristo. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/save]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/eternity]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/goodnews]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/condemn]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/curse)
Mungu milele huwaokoa watu kupitia injili ya kweli, ya kibiblia, tu. Mungu anakataa namuna lolote lingine la injili. Paulo anamwomba Mungu kuwalaani wale wanaofundisha injili ya uwongo. Huenda wasiokolewe. Wanapaswa kutendewa kama wasio Wakristo. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/save]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/eternity]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/goodnews]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/condemn]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/curse]])
### Tabia za Paulo
Watu wamoja katika kanisa la kwanza walikuwa wakifundisha kwamba Wayunani walistahili kutii sheria ya Musa. Ili kukataa mafundisho haya, katika mistari ya 13-16 Paulo anaeleza jinsi zamani alikuwa Myahudi mwenye bidii. Lakini Mungu bado alikuwa anahitaji ya kumwokoa na kumwonyesha injili ya kweli. Kama Myahudi, na mtume kwa Wayunani, Paulo alikuwa na tabia ya sifa ya pekee ya kukabiliana na suala hili. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses)
Watu wamoja katika kanisa la kwanza walikuwa wakifundisha kwamba Wayunani walistahili kutii sheria ya Musa. Ili kukataa mafundisho haya, katika mistari ya 13-16 Paulo anaeleza jinsi zamani alikuwa Myahudi mwenye bidii. Lakini Mungu bado alikuwa anahitaji ya kumwokoa na kumwonyesha injili ya kweli. Kama Myahudi, na mtume kwa Wayunani, Paulo alikuwa na tabia ya sifa ya pekee ya kukabiliana na suala hili. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
### "Mnaacha upesi hivi na mnafuata injili ya namuna nyingine"
Kitabu cha Wagalatia ni mojawapo ya barua za kwanza za Paulo katika Maandiko. Inaonyesha kwamba vita vya uzushi vilikuwepo hata katika kanisa la kwanza. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-explicit)
Kitabu cha Wagalatia ni mojawapo ya barua za kwanza za Paulo katika Maandiko. Inaonyesha kwamba vita vya uzushi vilikuwepo hata katika kanisa la kwanza. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-explicit]])
## Links:

View File

@ -8,13 +8,13 @@ Paulo anaendelea kutetea injili ya kweli. Hii ilianza katika Wagalatia 1:11.
### Uhuru na utumwa
Katika barua hii, Paulo anatofautisha uhuru na utumwa. Mkristo ana uhuru katika Kristo kufanya mambo mengi tofauti. Lakini Mkristo ambaye anajaribu kufuata sheria ya Musa anahitaji kufuata sheria nzima. Paulo anaelezea kwamba kujaribu kufuata sheria ni kama aina ya utumwa. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses)
Katika barua hii, Paulo anatofautisha uhuru na utumwa. Mkristo ana uhuru katika Kristo kufanya mambo mengi tofauti. Lakini Mkristo ambaye anajaribu kufuata sheria ya Musa anahitaji kufuata sheria nzima. Paulo anaelezea kwamba kujaribu kufuata sheria ni kama aina ya utumwa. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]])
## hangamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
### "Siibatili neema ya Mungu"
Paulo anafundisha kwamba, ikiwa Mkristo anajaribu kufuata sheria ya Musa, haelewi neema ambayo Mungu amemwonyesha. Hii ni kosa la msingi. Lakini Paulo anatumia maneno "Siibatili neema ya Mungu" kama aina ya hali ya mawazo. Shabaha ya neno hili inaweza kuonekana kama, "Ikiwa ungeweza kuokolewa kwa kufuata sheria, basi hiyo ingeweza kupuuza neema ya Mungu." (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/grace]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-hypo)
Paulo anafundisha kwamba, ikiwa Mkristo anajaribu kufuata sheria ya Musa, haelewi neema ambayo Mungu amemwonyesha. Hii ni kosa la msingi. Lakini Paulo anatumia maneno "Siibatili neema ya Mungu" kama aina ya hali ya mawazo. Shabaha ya neno hili inaweza kuonekana kama, "Ikiwa ungeweza kuokolewa kwa kufuata sheria, basi hiyo ingeweza kupuuza neema ya Mungu." (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/grace]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-hypo]])
## Links:

View File

@ -10,17 +10,17 @@ Wakristo wote wameungana kwa usawa na Kristo. Wala uzazi, wala jinsia, wala cheo
### Maswali ya uhuishaji
Paulo hutumia maswali tofauti mengi ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia kuwashawishi Wagalatia juu ya dhambi zao. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin)
Paulo hutumia maswali tofauti mengi ya uhuishaji katika sura hii. Anayatumia kuwashawishi Wagalatia juu ya dhambi zao. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
### Mwili
Hili ni suala ngumu. "Mwili" inaweza kuwa mfano ya asili yetu ya dhambi. Paulo hafundishi kwamba sehemu ya kimwili ya mwanadamu ni ya dhambi. "Mwili" hutumiwa katika sura hii kutofautisha na yale ambayo ni ya kiroho. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/flesh)
Hili ni suala ngumu. "Mwili" inaweza kuwa mfano ya asili yetu ya dhambi. Paulo hafundishi kwamba sehemu ya kimwili ya mwanadamu ni ya dhambi. "Mwili" hutumiwa katika sura hii kutofautisha na yale ambayo ni ya kiroho. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/flesh]])
### "Wale wa imani ni watoto wa Abrahamu"
Wasomi wamegawanyika juu ya maana ya maneno haya. Baadhi yao wanaamini kama Wakristo wanarithi ahadi ambazo Mungu alimpa Abrahamu, kwa hiyo Wakristo wanachukua nafasi ya wazao wa Israeli. Wengine wanaamini kama Wakristo hufuata Abrahamu kiroho, lakini hawarithi ahadi ambazo Mung alimpa Abrahamu. Kwa kuzingatia mafundisho mengine ya Paulo na muktadha hapa, Labda Paulo anaandika hivi kuhusu Wakristo wa Kiyahudi na wa Mataifa walio na imani sawa na Abrahamu. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Wasomi wamegawanyika juu ya maana ya maneno haya. Baadhi yao wanaamini kama Wakristo wanarithi ahadi ambazo Mungu alimpa Abrahamu, kwa hiyo Wakristo wanachukua nafasi ya wazao wa Israeli. Wengine wanaamini kama Wakristo hufuata Abrahamu kiroho, lakini hawarithi ahadi ambazo Mung alimpa Abrahamu. Kwa kuzingatia mafundisho mengine ya Paulo na muktadha hapa, Labda Paulo anaandika hivi kuhusu Wakristo wa Kiyahudi na wa Mataifa walio na imani sawa na Abrahamu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
## Links:

View File

@ -8,13 +8,13 @@ Baadhi ya tafsiri huweka kila mstari wa mashairi upande wa kulia zaidi kuliko ma
### Uwana
Uwana ni suala ngumu. Wasomi wana maoni mengi juu ya uwana wa Israeli. Paulo anatumia uwana wa kufundisha jinsi kuwa chini ya sheria hutofautiana na kuwa huru katika Kristo. Si wote wa uzao wa Abrahamu ambao ni wao waliorithi ahadi za Mungu kwake. Uzazi wake tu kupitia Isaka na Yakobo walirithi ahadi. Na Mungu huweka katika familia yake wale tu wanaomfuata Abrahamu kiroho kupitia imani. Wao ni watoto wa Mungu wenye urithi. Paulo anawaita "watoto wa ahadi." (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/inherit]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/promise]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/adoption)
Uwana ni suala ngumu. Wasomi wana maoni mengi juu ya uwana wa Israeli. Paulo anatumia uwana wa kufundisha jinsi kuwa chini ya sheria hutofautiana na kuwa huru katika Kristo. Si wote wa uzao wa Abrahamu ambao ni wao waliorithi ahadi za Mungu kwake. Uzazi wake tu kupitia Isaka na Yakobo walirithi ahadi. Na Mungu huweka katika familia yake wale tu wanaomfuata Abrahamu kiroho kupitia imani. Wao ni watoto wa Mungu wenye urithi. Paulo anawaita "watoto wa ahadi." (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/inherit]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/promise]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/adoption]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
### Abba, Baba
"Abba" ni neno la Kiaramu. Katika Israeli ya kale, watu walitumia kwa usawa kutaja baba zao. Paulo "hufasiri" sauti zake kwa kuandika kwa herufi za Kigiriki. (See: rc://*/ta/man/translate/translate-transliterate)
"Abba" ni neno la Kiaramu. Katika Israeli ya kale, watu walitumia kwa usawa kutaja baba zao. Paulo "hufasiri" sauti zake kwa kuandika kwa herufi za Kigiriki. (See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-transliterate]])
## Links:

View File

@ -2,25 +2,25 @@
## Muundo na upangiliaji
Paulo anaendelea kuandika juu ya sheria ya Musa kama kitu kinachomtega mtu au kumfanya mtumwa. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses)
Paulo anaendelea kuandika juu ya sheria ya Musa kama kitu kinachomtega mtu au kumfanya mtumwa. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]])
## Dhana maalum katika sura hii
### Tunda la Roho
aneno "tunda la Roho" sio wingi, ingawa huanza orodha ya vitu kadhaa. Watafsiri wanapaswa kuweka fomu ya umoja ikiwezekana. (See: rc://*/tw/dict/bible/other/fruit)
aneno "tunda la Roho" sio wingi, ingawa huanza orodha ya vitu kadhaa. Watafsiri wanapaswa kuweka fomu ya umoja ikiwezekana. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/other/fruit]])
## Mfano muhimu ya matamshi katika sura hii
### Mifano
Paulo anatumia mifano kadhaa katika sura hii ili kuonyesha pointi zake na kusaidia kuelezea masuala magumu. (See: rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Paulo anatumia mifano kadhaa katika sura hii ili kuonyesha pointi zake na kusaidia kuelezea masuala magumu. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
### "Ninyi mmekatwa kutoka kwa Kristo, ninyi mtakaohesabiwa haki na sheria, hamna tena neema."
Wasomi wengine wanafikiri kama Paulo anafundisha kwamba kutahiriwa husababisha mtu kupoteza wokovu wake. Wataalamu wengine wanafikiri kama Paulo anamaanisha kwamba kutii sheria ili kujaribu kupata haki na Mungu utamzuia mtu kuokolewa kwa neema. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/grace)
Wasomi wengine wanafikiri kama Paulo anafundisha kwamba kutahiriwa husababisha mtu kupoteza wokovu wake. Wataalamu wengine wanafikiri kama Paulo anamaanisha kwamba kutii sheria ili kujaribu kupata haki na Mungu utamzuia mtu kuokolewa kwa neema. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/grace]])
## Links:

View File

@ -12,13 +12,13 @@ Paulo anaandika maneno katika sura hii kwa Wakristo. Anawaita "ndugu." Hii inahu
### Uumbaji Mpya
Watu ambao wamezaliwa tena ni uumbaji mpya katika Kristo. Wakristo wamepewa uzima mpya katika Kristo. Wana asili mpya ndani yao baada ya kuwa na imani katika Kristo. Kwa Paulo, hii ni muhimu zaidi kuliko ukoo cha mtu. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/bornagain]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith)
Watu ambao wamezaliwa tena ni uumbaji mpya katika Kristo. Wakristo wamepewa uzima mpya katika Kristo. Wana asili mpya ndani yao baada ya kuwa na imani katika Kristo. Kwa Paulo, hii ni muhimu zaidi kuliko ukoo cha mtu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/bornagain]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]])
## Changamoto nyingine za kutafsiri katika sura hii
### Mwili
Hili ni suala ngumu. "Mwili" inatofautishwa na "roho." Katika sura hii, mwili pia hutumiwa kutaja mwili halisi. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/flesh]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit)
Hili ni suala ngumu. "Mwili" inatofautishwa na "roho." Katika sura hii, mwili pia hutumiwa kutaja mwili halisi. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/flesh]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/spirit]])
## Links:

View File

@ -18,11 +18,11 @@ Haijulikani wakati gani Paulo aliandika barua hii na mahali gani alikuwa wakati
### Kitabu cha Wagalatia kinahusu nini?
Paulo aliandika barua hii kwa Wakristo Wayahudi na Wayunani katika eneo la Galatia. Alitaka kuandika dhidi ya walimu wa uongo ambao walisema kwamba Wakristo wanahitaji kufuata sheria ya Musa. Paulo alitetea injili kwa kueleza kwamba mtu anaokolewa kwa kuamini Yesu Kristo. Watu wanaokolewa kama matokeo ya Mungu kuwa wema na sio matokeo ya watu wanaofanya kazi nzuri. Hakuna mtu anayeweza kumtii kikamilifu sheria. Jaribio lolote la kumpendeza Mungu kwa kuitii sheria ya Musa litasababisha Mungu kuwahukumu. (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/goodnews]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/save]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/works)
Paulo aliandika barua hii kwa Wakristo Wayahudi na Wayunani katika eneo la Galatia. Alitaka kuandika dhidi ya walimu wa uongo ambao walisema kwamba Wakristo wanahitaji kufuata sheria ya Musa. Paulo alitetea injili kwa kueleza kwamba mtu anaokolewa kwa kuamini Yesu Kristo. Watu wanaokolewa kama matokeo ya Mungu kuwa wema na sio matokeo ya watu wanaofanya kazi nzuri. Hakuna mtu anayeweza kumtii kikamilifu sheria. Jaribio lolote la kumpendeza Mungu kwa kuitii sheria ya Musa litasababisha Mungu kuwahukumu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/goodnews]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/save]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/faith]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/works]])
### Je, kichwa cha kitabu hiki kinapaswa kutafsiriwaje?
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "Wagalatia." Au wanaweza kuchagua kichwa cha wazi zaidi, kama "Barua ya Paulo kwa Kanisa la Galatia." (See: rc://*/ta/man/translate/translate-names)
Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "Wagalatia." Au wanaweza kuchagua kichwa cha wazi zaidi, kama "Barua ya Paulo kwa Kanisa la Galatia." (See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-names]])
## Sehemu ya 2: Dhana muhimu za Kidini na za Kitamaduni
@ -34,7 +34,7 @@ Watafsiri wanaweza kuchagua kuita kitabu hiki kwa kichwa chake cha jadi, "Wagala
### Paulo alitumiaje maneno "sheria" na "neema" katika Kitabu cha Wagalatia?
Maneno haya hutumiwa kwa njia ya pekee katika Wagalatia. Kuna fundisho muhimu katika Wagalatia kuhusu maisha ya Kikristo. Chini ya sheria ya Musa, maisha ya haki au matakatifu yalihitaji mtu kuitii kanuni na masharti. Kama Wakristo, maisha matakatifu sasa yamehamasishwa na neema. Hii inamaanisha kwamba Wakristo wana uhuru katika Kristo na hawatakiwi kutii masharti ya binadamu. Lakini Wakristo wanapaswa kuishi maisha matakatifu kwa sababu wanashukuru kwamba Mungu amekuwa mwenye huruma kwao. Hii inaitwa "sheria ya Kristo." (See: rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/holy)
Maneno haya hutumiwa kwa njia ya pekee katika Wagalatia. Kuna fundisho muhimu katika Wagalatia kuhusu maisha ya Kikristo. Chini ya sheria ya Musa, maisha ya haki au matakatifu yalihitaji mtu kuitii kanuni na masharti. Kama Wakristo, maisha matakatifu sasa yamehamasishwa na neema. Hii inamaanisha kwamba Wakristo wana uhuru katika Kristo na hawatakiwi kutii masharti ya binadamu. Lakini Wakristo wanapaswa kuishi maisha matakatifu kwa sababu wanashukuru kwamba Mungu amekuwa mwenye huruma kwao. Hii inaitwa "sheria ya Kristo." (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/holy]])
### Paulo alimaanisha nini kwa maneno "katika Kristo," "katika Bwana," nk?
@ -46,4 +46,4 @@ Tafadhali angalia utangulizi wa Kitabu cha Warumi kwa maelezo zaidi juu ya aina
Kifungu kinachofuata ni suala la maana zaidi katika Kitabu cha Wagalatia:
* "Enyi Wagalatia msio na akili, ni nani aliyewaloga, ninyi ambao Yesu Kristo aliwekwa wazi mbele ya macho yenu ya kuwa amesulibiwa? " (3:1) ULB, UDB, na matoleo mengine ya kisasa yana somo hili. Hata hivyo, matoleo ya kale ya Biblia yanaongeza, "ili msipaswe kuutii ukweli." Watafsiri wanashauriwa kutoingiza maneno haya. Hata hivyo, ikiwa katika eneo la watafsiri kuna matoleo ya kale ya Biblia ambayo yana kifungu hicho, watafsiri wanaweza kukijumuisha. Ikiwa imetafsiriwa, inapaswa kuwekwa ndani ya mabano ya mraba ([]) ili kuonyesha kwamba labda asili yao sio Wagalatia. (See: rc://*/ta/man/translate/translate-textvariants)
* "Enyi Wagalatia msio na akili, ni nani aliyewaloga, ninyi ambao Yesu Kristo aliwekwa wazi mbele ya macho yenu ya kuwa amesulibiwa? " (3:1) ULB, UDB, na matoleo mengine ya kisasa yana somo hili. Hata hivyo, matoleo ya kale ya Biblia yanaongeza, "ili msipaswe kuutii ukweli." Watafsiri wanashauriwa kutoingiza maneno haya. Hata hivyo, ikiwa katika eneo la watafsiri kuna matoleo ya kale ya Biblia ambayo yana kifungu hicho, watafsiri wanaweza kukijumuisha. Ikiwa imetafsiriwa, inapaswa kuwekwa ndani ya mabano ya mraba ([]) ili kuonyesha kwamba labda asili yao sio Wagalatia. (See: [[rc://*/ta/man/translate/translate-textvariants]])

View File

@ -14,7 +14,7 @@ Huenda mwandishi anatumia neno "ndugu" kuashiria Wakristo waliokua kama Wayahudi
### Fanya mioyo yenu iwe ngumu
Mtu anayefanya moyo wake kuwa ngumu ni yule ambaye hatamsikiliza ama kumtii Mungu. (Tazama:rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Mtu anayefanya moyo wake kuwa ngumu ni yule ambaye hatamsikiliza ama kumtii Mungu. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
### Maswali ya hadith

View File

@ -16,7 +16,7 @@ Ni kuhani mkuu tu angetoa dhabihu ili Mungu asamehe dhambi na kwa hivyo lazima Y
### Maziwa na chakula kigumu
Mwandishi anazungumzia Wakristo ambao wako tu na uwezo wa kuelewa vitu rahisi kumhusu Yesu kana kwamba walikuwa watoto wachanga wanaokunywa tu maziwa na hawawezi kulaa chakula kigumu. (Tazama:rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor)
Mwandishi anazungumzia Wakristo ambao wako tu na uwezo wa kuelewa vitu rahisi kumhusu Yesu kana kwamba walikuwa watoto wachanga wanaokunywa tu maziwa na hawawezi kulaa chakula kigumu. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
## Links:

View File

@ -4,7 +4,7 @@
### Agano la Kiabrahamu
Katika agano Mungu alifanya na Abrahamu, Mungu aliahidi kuwafanya uzao wake kuwa taifa kubwa. Aliahidi pia kuwakinga uzao wa Abrahamu na kuwapa ardhi yao. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/covenant)
Katika agano Mungu alifanya na Abrahamu, Mungu aliahidi kuwafanya uzao wake kuwa taifa kubwa. Aliahidi pia kuwakinga uzao wa Abrahamu na kuwapa ardhi yao. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/covenant]])
## Links:

View File

@ -2,7 +2,7 @@
## Muundo na mpangilio
Mwandishi anamalizia kwa kufafanua jinsi gani na ni kwa nini Yesu ndiye kuhani mkuu muhumu. Halafu anaanza kuzungumzia jinsi agano jipya ni bora kuliko agano Mungu alifanya na Musa. (Tazama:rc://*/tw/dict/bible/kt/covenant)
Mwandishi anamalizia kwa kufafanua jinsi gani na ni kwa nini Yesu ndiye kuhani mkuu muhumu. Halafu anaanza kuzungumzia jinsi agano jipya ni bora kuliko agano Mungu alifanya na Musa. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/covenant]])
Watafsiri wengine wametenga kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 8:8-12, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
@ -10,7 +10,7 @@ Watafsiri wengine wametenga kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengi
### Agano jipya
Mwandishi anaelezea jinsi Yesu ameanzisha agano jipya ambalo ni bora kuliko agano Mungu alianzisha na wana wa Israeli. (Tazama: rc://*/tw/dict/bible/kt/covenant)
Mwandishi anaelezea jinsi Yesu ameanzisha agano jipya ambalo ni bora kuliko agano Mungu alianzisha na wana wa Israeli. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/covenant]])
## Links:

Some files were not shown because too many files have changed in this diff Show More