sw_tn/heb/08/intro.md

20 lines
796 B
Markdown
Raw Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# Waebrania 08 Maelezo kwa jumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Muundo na mpangilio
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Mwandishi anamalizia kwa kufafanua jinsi gani na ni kwa nini Yesu ndiye kuhani mkuu muhumu. Halafu anaanza kuzungumzia jinsi agano jipya ni bora kuliko agano Mungu alifanya na Musa. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/covenant]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Watafsiri wengine wametenga kila msitari wa ushairi kulia kuliko maandishi mengine ili isomeke kwa urahisi. ULB inafanya hivi na ushairi katika 8:8-12, ambayo ni maneno kutoka Agano la Kale.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana muhimu katika sura hii.
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Agano jipya
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Mwandishi anaelezea jinsi Yesu ameanzisha agano jipya ambalo ni bora kuliko agano Mungu alianzisha na wana wa Israeli. (Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/covenant]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
## Links:
* __[Hebrews 08:01 Notes](./01.md)__
2021-09-10 19:21:44 +00:00
__[<<](../07/intro.md) | [>>](../09/intro.md)__