sw_tn/jas/04/intro.md

30 lines
1.1 KiB
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# Yakobo 04 Maelezo kwa jumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana muhimu katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Uzinzi
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Wandishi katika Bibilia huzungumzia mara nyingi uzinzi kama mfano kwa watu wanaosema wanampenda Mungu lakini wanatenda mambo Mungu huchukia. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/godly]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Sheria
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Kuna uwezekano Yakobo analitumia neno hili katika Yakobo 4:11 kumaanisha "sheria ya kifalme" (Yakobo 2:8) na siyo sheria ya Musa(Tazama: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Mifano muhimu ya usemi katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Maswali ya kana
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Yakobo anauliza maswali mengi kwa sababu anataka wasomaji wake wafikirie jinsi wanavyoishi. Anataka kuwarekebisha na kuwafudisha. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-rquestion]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Maswala mengine ya utata katika tafsiri ya sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Nyenyekevu
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Kuna uwezekano neno hili hutumika kumaanisha watu wasiyo na majivuno. Yakobo analitumia neno hili kuashiria watu wasiyokuwa na majivuno na wanaoeza kumtumainia Yesu na kumtii.
## Links:
* __[James 04:01 Notes](./01.md)__
2021-09-10 19:21:44 +00:00
__[<<](../03/intro.md) | [>>](../05/intro.md)__