forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
753 B
Markdown
28 lines
753 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Maneno "Yeye" na "mwenyewe" yanaamaniisha Kristo. Neno "yake" linamaanisha makuhani wakuu wa duniani.
|
||
|
|
||
|
# sheria uteua
|
||
|
|
||
|
Neno sheria hapa ni neno linalosimama kwa niaba ya Mungu, ambaye alianzisha sheria. Waisraeli waliteuwa makuhani wao kwa mjibu wa sheria.
|
||
|
|
||
|
# wamaume waliokuwa dhaifu
|
||
|
|
||
|
wanaume waliokuwa dhaifu kiroho" au "wanaume ambao ni wadhaifu kw dhambi"
|
||
|
|
||
|
# neno la kiapo, ambalo lilikuja baada ya sheria, lilimweka Mwana
|
||
|
|
||
|
"baada ya kuwapa sheria, Mungu aliapa kwa kiapo na kumteua Mwanawe"
|
||
|
|
||
|
# kwa neno la kiapo
|
||
|
|
||
|
neno "kiapo" limepewa nafsi na linaelezewa kana kwamba ni mtu ambaye aliongea.
|
||
|
|
||
|
# Mwana
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# aliyefanywa kuwa mkamilifu
|
||
|
|
||
|
"aliyekamilishwa kumtii Mungu na kuwa mkomavu"
|