forked from WA-Catalog/sw_tn
753 B
753 B
Maelezo ya Jumla:
Maneno "Yeye" na "mwenyewe" yanaamaniisha Kristo. Neno "yake" linamaanisha makuhani wakuu wa duniani.
sheria uteua
Neno sheria hapa ni neno linalosimama kwa niaba ya Mungu, ambaye alianzisha sheria. Waisraeli waliteuwa makuhani wao kwa mjibu wa sheria.
wamaume waliokuwa dhaifu
wanaume waliokuwa dhaifu kiroho" au "wanaume ambao ni wadhaifu kw dhambi"
neno la kiapo, ambalo lilikuja baada ya sheria, lilimweka Mwana
"baada ya kuwapa sheria, Mungu aliapa kwa kiapo na kumteua Mwanawe"
kwa neno la kiapo
neno "kiapo" limepewa nafsi na linaelezewa kana kwamba ni mtu ambaye aliongea.
Mwana
Hiki ni cheo muhimu kwa Yesu, Mwana wa Mungu.
aliyefanywa kuwa mkamilifu
"aliyekamilishwa kumtii Mungu na kuwa mkomavu"