sw_jhn_text_reg/11/15.txt

1 line
206 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 15 Nina furaha kwa ajili yenu, kwamba sikuwepo kule ili kwamba mpate kuamini. Twendeni kwake." \v 16 Basi Tomaso, aliyeitwa Pacha, aliwaambia wanafunzi wenzake, "Nasi twendeni pia tukafe pamoja na Yesu."