sw_jhn_text_reg/11/15.txt

1 line
206 B
Plaintext

\v 15 Nina furaha kwa ajili yenu, kwamba sikuwepo kule ili kwamba mpate kuamini. Twendeni kwake." \v 16 Basi Tomaso, aliyeitwa Pacha, aliwaambia wanafunzi wenzake, "Nasi twendeni pia tukafe pamoja na Yesu."