sw_jhn_text_reg/07/10.txt

1 line
190 B
Plaintext
Raw Permalink Normal View History

\v 10 Hata hivyo, ndugu zake walipokuwa wamekwenda katika sikukuu, ndipo naye alienda, siyo kwa wazi bali kwa siri. \v 11 Wayahudi walikuwa wakimtafuta katika sikukuu na kusema, "Yuko wapi?"