sw_jhn_text_reg/07/10.txt

1 line
190 B
Plaintext

\v 10 Hata hivyo, ndugu zake walipokuwa wamekwenda katika sikukuu, ndipo naye alienda, siyo kwa wazi bali kwa siri. \v 11 Wayahudi walikuwa wakimtafuta katika sikukuu na kusema, "Yuko wapi?"