|
# Daudi alisema kuwa nani alimtuma Abigaili kukutana naye?
|
|
|
|
Daudi alisema kuwa Bwana alimtuma Abigaili.
|
|
|
|
# Kwa nini Daudi alisema kuwa Abigaili na hekima yake ibarikiwe?
|
|
|
|
Kwa sababu ya tendo la haraka la Abigaili, Daudi alighairi kumwaga damu na kutojilipizia kisasi mwenyewe.
|
|
|