sw_tn/1ki/07/46.md

471 B

Mfalme alivisubu

"Mfalme alimruhusu Huramu awaagize wafanyakazi wake kuvisubu"

uwanda wa Yorodani

Hii inamaanisha eneo lililo tambarare karibu na Mto wa Yorodani.

kati ya Sukoti na Zarethani

"Sukoti" ni mji ulio upande wa mashariki mwa Mto Yorodani

Sulemani hakuvipima vyombo vyote

"Sulemani hakumwambia Huramu na wafanyakazi wake kuvipima vyombo vyote"

kwa sababu uzani wa shaba ulikuwa hauwezi kupimwa

"hakuna ambaye angeweza kuupima uzani wa shaba"