20 lines
471 B
Markdown
20 lines
471 B
Markdown
|
# Mfalme alivisubu
|
||
|
|
||
|
"Mfalme alimruhusu Huramu awaagize wafanyakazi wake kuvisubu"
|
||
|
|
||
|
# uwanda wa Yorodani
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha eneo lililo tambarare karibu na Mto wa Yorodani.
|
||
|
|
||
|
# kati ya Sukoti na Zarethani
|
||
|
|
||
|
"Sukoti" ni mji ulio upande wa mashariki mwa Mto Yorodani
|
||
|
|
||
|
# Sulemani hakuvipima vyombo vyote
|
||
|
|
||
|
"Sulemani hakumwambia Huramu na wafanyakazi wake kuvipima vyombo vyote"
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu uzani wa shaba ulikuwa hauwezi kupimwa
|
||
|
|
||
|
"hakuna ambaye angeweza kuupima uzani wa shaba"
|