sw_tn/1co/02/06.md

21 lines
426 B
Markdown

# Maelezo ya Jumla
Paulo anaanza kufafanuao hoja yake, kwamba anaposema hekima anamaana gani kwa wasomaji wake.
# Sasa tunaizungumza
Neno "sasa" limetumiwa hapa kama alama ya kuonesha fundisho kuu. Paulo anaelezea kuwa hekima ya kweli ni ile hekima ya Mungu.
# watu wazima
"Waumini walikomaa kiimani"
# kabla ya nyakati
" Kabla Mungu hajaumba chochote"
# za utukufu wetu
" ili kudhibitisha ujio wa kutukuzwa kwetu"