forked from WA-Catalog/sw_tn
21 lines
426 B
Markdown
21 lines
426 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Paulo anaanza kufafanuao hoja yake, kwamba anaposema hekima anamaana gani kwa wasomaji wake.
|
||
|
|
||
|
# Sasa tunaizungumza
|
||
|
|
||
|
Neno "sasa" limetumiwa hapa kama alama ya kuonesha fundisho kuu. Paulo anaelezea kuwa hekima ya kweli ni ile hekima ya Mungu.
|
||
|
|
||
|
# watu wazima
|
||
|
|
||
|
"Waumini walikomaa kiimani"
|
||
|
|
||
|
# kabla ya nyakati
|
||
|
|
||
|
" Kabla Mungu hajaumba chochote"
|
||
|
|
||
|
# za utukufu wetu
|
||
|
|
||
|
" ili kudhibitisha ujio wa kutukuzwa kwetu"
|
||
|
|