sw_tn/jhn/03/05.md

12 lines
318 B
Markdown

# amezaliwa kwa maji na kwa roho
kuna maana mbili: 1)"kubatizwa ndani ya maji na katika Roho" au 2)"kuzaliwa kimwili na kiroho"
# Amini, amini
unaweza kufasiri mane haya kama yalivyotumika katika tafsiri za hapo mwanzo.
# ufalme wa Mungu
Neno "ufalme" ni fumbo kwa ajili ya utawala wa Mungu katika maisha ya mtu.