forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
318 B
Markdown
12 lines
318 B
Markdown
|
# amezaliwa kwa maji na kwa roho
|
||
|
|
||
|
kuna maana mbili: 1)"kubatizwa ndani ya maji na katika Roho" au 2)"kuzaliwa kimwili na kiroho"
|
||
|
|
||
|
# Amini, amini
|
||
|
|
||
|
unaweza kufasiri mane haya kama yalivyotumika katika tafsiri za hapo mwanzo.
|
||
|
|
||
|
# ufalme wa Mungu
|
||
|
|
||
|
Neno "ufalme" ni fumbo kwa ajili ya utawala wa Mungu katika maisha ya mtu.
|