forked from WA-Catalog/sw_tn
493 B
493 B
Hivyo ikawa
"Ikatukia." Kifungu hiki kimetumika kutambulisha tukio linalofuata katika habari.
Njiani
"kusafiri njiani"
Habari ikamfikia Daudi kusema
Hapa inasema kwamba habari ilikuja,mtu alikuja na kumwambia Daudi ile habari.
Ndipo mfalme alipoinuka
"Kisha mfalme akainuka"
akachana nguo zake, na kulala juu ya sakafu
Alifanya hivi kuonesha kwamba alikuwa na huzuni sana.
pamoja na nguo zao zimechanwa
Walifanya hivi kuonesha huzuni yao na kuomboleza pamoja na mfalme.