forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
493 B
Markdown
24 lines
493 B
Markdown
# Hivyo ikawa
|
|
|
|
"Ikatukia." Kifungu hiki kimetumika kutambulisha tukio linalofuata katika habari.
|
|
|
|
# Njiani
|
|
|
|
"kusafiri njiani"
|
|
|
|
# Habari ikamfikia Daudi kusema
|
|
|
|
Hapa inasema kwamba habari ilikuja,mtu alikuja na kumwambia Daudi ile habari.
|
|
|
|
# Ndipo mfalme alipoinuka
|
|
|
|
"Kisha mfalme akainuka"
|
|
|
|
# akachana nguo zake, na kulala juu ya sakafu
|
|
|
|
Alifanya hivi kuonesha kwamba alikuwa na huzuni sana.
|
|
|
|
# pamoja na nguo zao zimechanwa
|
|
|
|
Walifanya hivi kuonesha huzuni yao na kuomboleza pamoja na mfalme.
|