Mfalme Daudi akatuma
Inafahamika kwamba Daudi alituma wajumbe.
Mefiboshethi
Hili ni jina la mwanaume
alikuja kwa Daudi
Neno "alikuja" laweza fasiriwa kuwa "alikwenda."
Mimi ni mtumishi wako
Mefiboshethi anajirejerea kama "mtumishi wako" kuonesha heshima kubwa kwa mfalme.