forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
287 B
Markdown
16 lines
287 B
Markdown
|
# Mfalme Daudi akatuma
|
||
|
|
||
|
Inafahamika kwamba Daudi alituma wajumbe.
|
||
|
|
||
|
# Mefiboshethi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanaume
|
||
|
|
||
|
# alikuja kwa Daudi
|
||
|
|
||
|
Neno "alikuja" laweza fasiriwa kuwa "alikwenda."
|
||
|
|
||
|
# Mimi ni mtumishi wako
|
||
|
|
||
|
Mefiboshethi anajirejerea kama "mtumishi wako" kuonesha heshima kubwa kwa mfalme.
|