sw_tn/mrk/15/45.md

289 B

kaburi lile lililochimbwa katika mwamba

"awali lile kaburi lilichimbwa na mtu katika mwamba imara"

sanda

vazi lililotengenezwa kwa kitani inayopandwa kama ilivyotafsiriwa katika 14:51-52

mahali pale alipozikwa Yesu

"mahali pale ambapo Yusufu na wengine waliuzika mwili wa Yesu"