sw_tn/job/30/24.md

593 B

je hapana mtu wa kufikisha mkono wake kuomba msaada wakati anapoanguka? Je mtu mwenye shida hawezi kuomba msaada?

(1) "Niliwasaidia watu ambao walianguka wakati waliponiomba msaada . Niliwasaidia waliokuwa na taabu walipoomba msaada". au (2) "Nimeanguka na Mungu hapaswi kuona kama ninakosea ninapoomba msaada wake. Niko kwenye shida, naomba msaada!"

Je sikulia...shida? Je sikusononeka...mtu?

"Unajua kwamba nililia ...shida, na nilisononeka ...mtu!"

Nilisubiri mwanga ...giza likaja

Hapa "mwanga" unawakilisha baraka na kibali cha Mungu na "giza" linawakilisha shida na mateso.