sw_tn/job/30/04.md

598 B

Sentensi Unganishi

Ayubu anaendelea kuongea kuhusu baba zao wenye kudhihaki

mboga ya chumvi ...majani ya vichakani...mizizi ya miretemu

Hii ni mimea ambayo watu waliweza kula endapo hawakuwa kupata chakula kizuri.

mizizi ya miretemu kilikuwa chakula chao

(1) watu walikula mizizi ya miretemu au 2) watu waliota moto kwa kuchoma mizizi ya miretemu.

walifukuzwa kutoka kati ya watu ambao waliwapigia kelele... mwizi

"walipigiwa kelele na watu ...mwizi na kulazimishwa kuondoka"

waliwapigia kelele kama mtu anavyompigia kelele mwizi

"waliwapigia kelele kana kwamba walikuwa wezi"