sw_tn/job/30/04.md

20 lines
598 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Sentensi Unganishi
Ayubu anaendelea kuongea kuhusu baba zao wenye kudhihaki
# mboga ya chumvi ...majani ya vichakani...mizizi ya miretemu
Hii ni mimea ambayo watu waliweza kula endapo hawakuwa kupata chakula kizuri.
# mizizi ya miretemu kilikuwa chakula chao
2021-09-10 23:29:28 +00:00
(1) watu walikula mizizi ya miretemu au 2) watu waliota moto kwa kuchoma mizizi ya miretemu.
2019-05-21 20:17:16 +00:00
# walifukuzwa kutoka kati ya watu ambao waliwapigia kelele... mwizi
"walipigiwa kelele na watu ...mwizi na kulazimishwa kuondoka"
# waliwapigia kelele kama mtu anavyompigia kelele mwizi
"waliwapigia kelele kana kwamba walikuwa wezi"