forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
616 B
Markdown
24 lines
616 B
Markdown
# Sentensi unganishi
|
|
|
|
Paulo anasimama mbele ya wakuu wa makuhani na wajumbe wa baraza.
|
|
|
|
# Ndugu zangu
|
|
|
|
Hii ina maana " Wayahudi."
|
|
|
|
# Nimeishi mbele za Mungu na dhamiri njema mpaka leo
|
|
|
|
"Mimi najua kuwa hata leo nimefanya kila kitu Mungu alichotaka mimi kufanya"
|
|
|
|
# Anania
|
|
|
|
Ni mtu tofauti na Anania anayetajwa sura ya 5:3
|
|
|
|
# ukuta uliopakwa chokaa
|
|
|
|
Inamaanisha ukuta uliopakwa chokaa ili uonekane kuwa safi. Paulo anamwambia Anania kuwa anaonekana safi kama ukuta uliopakwa chokaa lakini ndani kumejaa uovu.
|
|
|
|
# Umeketi kuhukumu ... kinyume cha sheria?
|
|
|
|
Paulo anatumia swali ili kumdhihirisha Anania kuwa ni mnafiki.
|