sw_tn/act/12/01.md

776 B

Sentensi unganishi

Hapa tena panaanza mateso upya. tukio la kwanza ni la kuuawa kwa Yakobo na kisha kukamatwa kwa Petro na kutiwa gerezani na baadaye kuwa huru.

Maelezo ya jumla

Hii ni historia kuhusu Herode kumwua Yakobo.

Sasa

Hii inaanzisha mwanzo wa simulizi.

Wakati huo

Neno linalotambulisha wakati au kipindi cha njaa.

akanyosha mkono wake

Inamaanisha Herode alikuwa ameanza kuwakamata waumini.

wale wanaotoka kwenye kusanyiko

Ni Yakobo na Petro pekee wanatajwa kuashiria huwa hawa walikuwa viongozi wa kanisa la Yerusalemu.

ili kuwatesa

"Kusababisha mateso kwa waumini"

Akamwuua Yakobo nduguye Yohana kwa upanga.

Hii inaonyesha namna Yakobo alivyouawa.

Akamwua

Inamaanisha ama "Herode Mfalme alimwua" au "Herode Mfalme aliagiza kuua."