sw_tn/act/12/01.md

36 lines
776 B
Markdown
Raw Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Sentensi unganishi
Hapa tena panaanza mateso upya. tukio la kwanza ni la kuuawa kwa Yakobo na kisha kukamatwa kwa Petro na kutiwa gerezani na baadaye kuwa huru.
# Maelezo ya jumla
Hii ni historia kuhusu Herode kumwua Yakobo.
# Sasa
Hii inaanzisha mwanzo wa simulizi.
# Wakati huo
Neno linalotambulisha wakati au kipindi cha njaa.
# akanyosha mkono wake
Inamaanisha Herode alikuwa ameanza kuwakamata waumini.
# wale wanaotoka kwenye kusanyiko
Ni Yakobo na Petro pekee wanatajwa kuashiria huwa hawa walikuwa viongozi wa kanisa la Yerusalemu.
# ili kuwatesa
"Kusababisha mateso kwa waumini"
# Akamwuua Yakobo nduguye Yohana kwa upanga.
Hii inaonyesha namna Yakobo alivyouawa.
# Akamwua
Inamaanisha ama "Herode Mfalme alimwua" au "Herode Mfalme aliagiza kuua."