forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
912 B
Markdown
24 lines
912 B
Markdown
# 1 Timotheo 03 Maelezo kwa ujumla
|
|
|
|
## Muundo na Mpangilio
|
|
|
|
1 Timotheo 3:16 huenda ni wimbo, shairi ama kanuni ya imani kanisa la mwanzo "lililotumia kuorodhesha mafundisho muhimu waumini wote walishiriki.
|
|
|
|
## Dhana muhimu katika sura hii
|
|
|
|
### Waangalizi na Mashemasi
|
|
|
|
Kanisa lilitumia vyeo tofauti vya viongozi wa kanisa. Vyeo vingine vilijumuisha, mzee, mchungaji na askofu. Neno "Mwaangalizi linaashiria maana ya luga ya awali katika misitari ya 1-2. Paulo anaandika kuhusu "Mashemasi" katika misitari ya 8 na 12 kama aina nyingine ya uongozi wa kanisa.
|
|
|
|
## Maswala mengine ya matata katika tafsiri ya sura hii
|
|
|
|
### Sifa za tabia
|
|
|
|
Sura hii inaorodhesha sifa chache ambazo lazima mwanaume anayetaka kuwa mwangalizi ama shemasi katika kanisa awe nazo. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-abstractnouns]])
|
|
|
|
## Links:
|
|
|
|
* __[1 Timothy 03:01 Notes](./01.md)__
|
|
|
|
__[<<](../02/intro.md) | [>>](../04/intro.md)__
|