sw_tn/1ti/03/intro.md

24 lines
912 B
Markdown

# 1 Timotheo 03 Maelezo kwa ujumla
## Muundo na Mpangilio
1 Timotheo 3:16 huenda ni wimbo, shairi ama kanuni ya imani kanisa la mwanzo "lililotumia kuorodhesha mafundisho muhimu waumini wote walishiriki.
## Dhana muhimu katika sura hii
### Waangalizi na Mashemasi
Kanisa lilitumia vyeo tofauti vya viongozi wa kanisa. Vyeo vingine vilijumuisha, mzee, mchungaji na askofu. Neno "Mwaangalizi linaashiria maana ya luga ya awali katika misitari ya 1-2. Paulo anaandika kuhusu "Mashemasi" katika misitari ya 8 na 12 kama aina nyingine ya uongozi wa kanisa.
## Maswala mengine ya matata katika tafsiri ya sura hii
### Sifa za tabia
Sura hii inaorodhesha sifa chache ambazo lazima mwanaume anayetaka kuwa mwangalizi ama shemasi katika kanisa awe nazo. (Tazama: [[rc://*/ta/man/translate/figs-abstractnouns]])
## Links:
* __[1 Timothy 03:01 Notes](./01.md)__
__[<<](../02/intro.md) | [>>](../04/intro.md)__