sw_tn/1ch/04/03.md

550 B

Hawa walikuwa mababu

Hii ya husu orodha ya mistari ya awali. Ingawa, baadhi ya tafsiri ya husisha haya majina katika mahusiano ya baba-mwana. Katika namna hii, baadhi ya tafsiri ya husisha Penueli kama baba wa Gedori, badala ya muanzilishi wa ukoo wa Gedori.

Etamu ... Gedori ... Husha

Hay ni majina ya miji.

Ishma ... Idbashi ... Penueli ... Ezeri ... Efrathi

Haya ni majina ya wanaume.

Haselelponi

Hili ni jina la mwanamke.

Hawa walikuwa uzao wa Huri

"Penueli na Ezeri walikuwa uzao wa Huri." Hii ya tanguliza orodha itayofuata.