forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
550 B
Markdown
20 lines
550 B
Markdown
|
# Hawa walikuwa mababu
|
||
|
|
||
|
Hii ya husu orodha ya mistari ya awali. Ingawa, baadhi ya tafsiri ya husisha haya majina katika mahusiano ya baba-mwana. Katika namna hii, baadhi ya tafsiri ya husisha Penueli kama baba wa Gedori, badala ya muanzilishi wa ukoo wa Gedori.
|
||
|
|
||
|
# Etamu ... Gedori ... Husha
|
||
|
|
||
|
Hay ni majina ya miji.
|
||
|
|
||
|
# Ishma ... Idbashi ... Penueli ... Ezeri ... Efrathi
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya wanaume.
|
||
|
|
||
|
# Haselelponi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mwanamke.
|
||
|
|
||
|
# Hawa walikuwa uzao wa Huri
|
||
|
|
||
|
"Penueli na Ezeri walikuwa uzao wa Huri." Hii ya tanguliza orodha itayofuata.
|