sw_tn/psa/059/014.md

8 lines
237 B
Markdown

# kulia kama mbwa
Mwandishi anazungumzia adui zake kutishia kushambulia watu kana kwamba ni mbwa wanalia, wanaunguruma, au wanawabwekea watu. "wanatishia kutushambulia" au "wanatishia kutushambulia kama mbwa pori"
# ridhika
"tosheki"