sw_tn/psa/059/014.md

237 B

kulia kama mbwa

Mwandishi anazungumzia adui zake kutishia kushambulia watu kana kwamba ni mbwa wanalia, wanaunguruma, au wanawabwekea watu. "wanatishia kutushambulia" au "wanatishia kutushambulia kama mbwa pori"

ridhika

"tosheki"