sw_tn/psa/059/010.md

385 B

Mungu wangu atakuna na mimi

Mungu kumwokoa mwandishi wa zaburi inazungumziwa kana kwamba Mungu alikuwa anatakiwa kukutana naye. "Mungu wangu ataniokoa"

hamu yangu kwa adui zangu

"nachotaka kitokee kwa adui zangu"

Watawanye

"Wasababishe wazurure"

ngao yetu

Mungu kumlinda mwenye haki inazungumziwa kana kwamba Mungu ni ngao. "mlinzi wetu" au "yule anyetulinda kama ngao"