forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.0 KiB
Markdown
32 lines
1.0 KiB
Markdown
# Wanarudi jioni
|
|
|
|
Wanaorudi ni watenda maovu.
|
|
|
|
# wanalia kama mbwa
|
|
|
|
Mwandishi anazungumzia vitishio vya adui zake kushambulia watu kana kwamba walikuwa ni mbwa wanaolia, kunguruma, au kubweka kwa watu. "wanatishia kushambulia watu"
|
|
|
|
# kuuzunguka mji
|
|
|
|
"kuuzunguka mji kumshambulia yeyote watakayemkuta"
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
Hapa neno "Tazama" linatumika kuvuta nadhari kwa kitu. "Sikia"
|
|
|
|
# wanateuka kwa midomo yao
|
|
|
|
Kusema vitu viovu inazungumziwa kama kuteuka. Vitu hivi vibaya vinaweza kuwa ni matusi au vitisho. "wanasema vitu vibaya" au "wanapiga kelele kwa kusema vitu vibaya"
|
|
|
|
# teuka
|
|
|
|
kutoa pumzi kwa nguvu kutoka mdomoni; kuruhusu hewa kutoka tumboni kupitia mdomoni kwa sauti kubwa ya kuudhi.
|
|
|
|
# panga ziko kwenye midomo yao
|
|
|
|
Vitu vya ukatili ambavyo watu waovu walikuwa wakisema vinazungumziwa kana kwamba ni panga. "wanasema vitu vya ukatili vinavyosababisha watu taabu kama panga zinavyoangamiza watu"
|
|
|
|
# Nani anatusikia?
|
|
|
|
Swali hili linatumika kuonesha kuwa waliamini kuwa Mungu hatawasikia na kuwaadhibu. "Hakuna mtu anayetusikia!" au "Mungu wenu hatusikii!"
|