sw_tn/psa/059/006.md

32 lines
1.0 KiB
Markdown

# Wanarudi jioni
Wanaorudi ni watenda maovu.
# wanalia kama mbwa
Mwandishi anazungumzia vitishio vya adui zake kushambulia watu kana kwamba walikuwa ni mbwa wanaolia, kunguruma, au kubweka kwa watu. "wanatishia kushambulia watu"
# kuuzunguka mji
"kuuzunguka mji kumshambulia yeyote watakayemkuta"
# Tazama
Hapa neno "Tazama" linatumika kuvuta nadhari kwa kitu. "Sikia"
# wanateuka kwa midomo yao
Kusema vitu viovu inazungumziwa kama kuteuka. Vitu hivi vibaya vinaweza kuwa ni matusi au vitisho. "wanasema vitu vibaya" au "wanapiga kelele kwa kusema vitu vibaya"
# teuka
kutoa pumzi kwa nguvu kutoka mdomoni; kuruhusu hewa kutoka tumboni kupitia mdomoni kwa sauti kubwa ya kuudhi.
# panga ziko kwenye midomo yao
Vitu vya ukatili ambavyo watu waovu walikuwa wakisema vinazungumziwa kana kwamba ni panga. "wanasema vitu vya ukatili vinavyosababisha watu taabu kama panga zinavyoangamiza watu"
# Nani anatusikia?
Swali hili linatumika kuonesha kuwa waliamini kuwa Mungu hatawasikia na kuwaadhibu. "Hakuna mtu anayetusikia!" au "Mungu wenu hatusikii!"