forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
399 B
Markdown
16 lines
399 B
Markdown
# O, ningekuwa na mbawa kama njiwa!
|
|
|
|
Mshangao huu unaelezea kitu ambacho mwandishi anatamani sana. "Ninatamani sana ningekuwana mbawa kama njiwa"
|
|
|
|
# Basi ningepaa
|
|
|
|
"Kama ningekuwa na mbawa, ningepaa"
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
"Hakika"
|
|
|
|
# Sela
|
|
|
|
Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki.
|