sw_tn/psa/055/006.md

399 B

O, ningekuwa na mbawa kama njiwa!

Mshangao huu unaelezea kitu ambacho mwandishi anatamani sana. "Ninatamani sana ningekuwana mbawa kama njiwa"

Basi ningepaa

"Kama ningekuwa na mbawa, ningepaa"

Tazama

"Hakika"

Sela

Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki.