sw_tn/psa/055/006.md

16 lines
399 B
Markdown
Raw Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# O, ningekuwa na mbawa kama njiwa!
Mshangao huu unaelezea kitu ambacho mwandishi anatamani sana. "Ninatamani sana ningekuwana mbawa kama njiwa"
# Basi ningepaa
"Kama ningekuwa na mbawa, ningepaa"
# Tazama
"Hakika"
# Sela
Hili linaweza kuwa neno la kimuziki linalowaongoza watu jinsi ya kuimba au kujecheza vyombo hapa. Tafsiri zingine huandika neno hili la Kiebrania, na zingine haziliweki.