forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
504 B
Markdown
12 lines
504 B
Markdown
# anaye nishikilia
|
|
|
|
Kumtetea Daudi na kumweka salama inazungumziwa kama kumshikilia. "anaye nitetea" au "anaye niweka salama"
|
|
|
|
# Atawalipa adui zangu kwa uovu
|
|
|
|
Adhabu inazungumziwa kana kwamba ilikuwa ni malipo. "Atafanya uovu kwa adui zangu ambao walioufanya kwangu" au "Atasababisha uovu ambao adui zangu walifanya kwangu ufanywe kwao"
|
|
|
|
# katika uaminifu wako, waangamize
|
|
|
|
Hapa Daudi anabadilisha kutoka kuzungumza kumhusu Mungu na kuongea naye. "Mungu, waangamize kwa sababu wewe ni mwaminifu kwangu"
|