sw_tn/psa/054/004.md

504 B

anaye nishikilia

Kumtetea Daudi na kumweka salama inazungumziwa kama kumshikilia. "anaye nitetea" au "anaye niweka salama"

Atawalipa adui zangu kwa uovu

Adhabu inazungumziwa kana kwamba ilikuwa ni malipo. "Atafanya uovu kwa adui zangu ambao walioufanya kwangu" au "Atasababisha uovu ambao adui zangu walifanya kwangu ufanywe kwao"

katika uaminifu wako, waangamize

Hapa Daudi anabadilisha kutoka kuzungumza kumhusu Mungu na kuongea naye. "Mungu, waangamize kwa sababu wewe ni mwaminifu kwangu"