|
# Mwenye haki pia ationa na kuogopa
|
|
|
|
"Wenye haki pia watamwona Mungu akimuondoa na watamwogopa"
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
"hakika"
|
|
|
|
# hakumfanya Mungu kuwa kimbilio lake
|
|
|
|
Hapa anayekimbiliwa inamaanisha mlinzi. "hakumfanya Mungu kuwa mlinzi wake" au "hakumwomba Mungu kumlinda"
|