sw_tn/psa/052/006.md

263 B

Mwenye haki pia ationa na kuogopa

"Wenye haki pia watamwona Mungu akimuondoa na watamwogopa"

Tazama

"hakika"

hakumfanya Mungu kuwa kimbilio lake

Hapa anayekimbiliwa inamaanisha mlinzi. "hakumfanya Mungu kuwa mlinzi wake" au "hakumwomba Mungu kumlinda"